Ujumbe kwako wewe mwanaume

Age Go ndo tatizo unafikiri watu hatupendi kujifunza skills mpya tunatamani sana ila tatizo umri
 
Koote huko naunga mkono, mwanaume inabidi uwe unajua vitu tofauti tofauti, idea ya umeme kidogo, ujenzi kidogo, mechanics kidogo, useremala kidogo etc..
Lakini hapa unaposema sayansi na teknolojia ni scam nakushangaa napingana na wewe, ama labda mimi ndio teknolojia siijui..
Mfano mie nikichukua ODB nikapima gari yangu na kubadili kifaa, hapo sijatumia teknolojia, kutoka kugonga msumali nikatumia drill hapo sijatumia teknolojia, ama mimi ndio sijaelewa..
Ni kweli mtoto wa kiumr haiwezekani kubadili bulb mpaka uite fundi, lakini teknolojia haikwepeki. Vipi badala ya kupanda kwenye kistuli nikatumia ngazi, hii ngazi sio teknolojia wala sayansi?
 
Unakubali au unabisha?
Nabisha mkuu mana udongo ni tororli 3 kwa mfuko na unachanganya tepe wa plasta. Kuna kupiga rati hapo kupiga konabao ukuta unyooke mana rati haitakiwi iache tobo!

Alafu kuna kunyoosha kopla! Koplasenta 😅
 
Nabisha mkuu mana udongo ni tororli 3 kwa mfuko na unachanganya tepe wa plasta. Kuna kupiga rati hapo kupiga konabao ukuta unyooke mana rati haitakiwi iache tobo!

Alafu kuna kunyoosha kopla! Koplasenta 😅
Sasa ugumu upo wapi hapo Mimi sio fundi Lakini kwa maelezo yako tayari nimeelewa na ninaweza kupiga plasta. Maana kazi zingine inabidi ufundishwe practically Lakini hii ya plasta nyepesi tu mkuu.
 
Sasa ugumu upo wapi hapo Mimi sio fundi Lakini kwa maelezo yako tayari nimeelewa na ninaweza kupiga plasta. Maana kazi zingine inabidi ufundishwe practically Lakini hii ya plasta nyepesi tu mkuu.
Oke oke mkuu, my aim was not to change your mind. Bakia ulipo ila uwe unaelewa unachokiongea
 
Kwa upande wa sayansi ya technology Sina maana hiyo.. ukipata time ingia youtube sikiliza hotuba ya jack ma... utanielewa vizuri hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…