Ujumbe kwa wanaume

Si wanaume tunapenda kudekezwa kama watoto,sasa mama akishakuwa na watoto mapenzi yanahama...unajikuta unatafuta wa kukudekeza ingawa kuna garama pia.Lakini ndio maisha..
Sasa basi kama mnataka kudekezwa maisha yote msizae watoto.
Au ndio ivyo chepuka fanya kama nilivyokwambia
 
Sasa basi kama mnataka kudekezwa maisha yote msizae watoto.
Au ndio ivyo chepuka fanya kama nilivyokwambia
Watoto wanaumuhimu mkubwa sana hasa miaka inavyokimbia...inabidi kuchepuka tu kwa akili bila kuleta madhara
 
Kwani tunagombana basi

Wewe
Kama unajilisha upepo jilishe tu kwa amani.
 
Kabisa
Ila usijali kila mtu atajitambua kwa muda wake
 
hapo unatuwakilisha wengi mkuu,big up sana
 
Hahahahaha........umenifanya nicheke kama mwehu eti "mama Afghanistan" huyu anapatkana WAP?
 
This thing is too complicated than you think. Ingia kwanza kwenye ndoa ndio tuongee vema
 
Haha kama vile kuna mtu mume wake kachepuka haha

Man will be a man tu
 
This thing is too complicated than you think. Ingia kwanza kwenye ndoa ndio tuongee vema
Sidhani kama hakuna kisichojulikana mkuu.
Ukiona nmeongea wrong ujue sio situation zako izo
 
Basi usishaurike endelea na hio mentality yako ya kitoshaurika mkuu.
Jilishe tu upepo hakuna atakae kuombea kabisa.
Ukichoka utakaa kitako
Ndio kama hivyo aiseee, sisi hatushauriwi ila tunaosaidiwa kuomba dua kwa aliyetuumba atudhibiti.
 
kunasehem uliposema kuwa mchepuko unapaswa usitume sms ukiwa na mke wako ,hapo ndo nimeelewa na ndo uwa nafanyia kazi.
Na pia kuchepuka mkeo asijue.Ukiwa njiani kutoka kwa mchepuko unapiga lucozade boost , Unakuwa new again Mke unampa vyake sita .

Hawezi waza kuwa unachepuka.


Msiniulize kuwa hiyo ya kuboost nimejulia wapi
 
adui ya mwanamke ni mwanamke mwenyewe, hawa waume zenu wanachepuka kwa wanawake wenzenu tena wakifahamu kabisa ni mme wa mtu fulani, mkikaa kikao kikubwa mkaonyana hili wanaume watashindwa kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…