Ujumbe kwa wanaume

Ujumbe kwa wanaume

Vi rendra

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
3,272
Reaction score
5,631
Habari MMU
Naomba niwape ujumbe nilioutafakari kwa kipindi kirefu,mimi sijaolewa kwa maana hio sijui ndoa ila ntawashauri wanaume mliooa wenye ndoa zenu.

Wanaume mna hii mentality kuwa huwezi kukaa na mwanamke mmoja, lazima uchepuke !

Umeanza kuchepuka mtoto wa watu anakupenda anaamini utatulia anakufanyia kila kitu chako kama kakuzaa,anakuzalia na watoto anawalea kama unamlipa. Wewe kazi yako kubwa ulioiona ni kujilisha upepo wa kucheat!

Haya basi mtoto watu kakaa kaona isiwe tabu mme wangu labda ndo nature yenu kucheat "my hubby Cheat in peace" basi unajiona ndo umeshinda kombe unabadili wadada kila siku dharau nyumbani.

Ngoja niwaambie kitu wanaume ,mwanamke akishakuacha u cheat in peace kwanza kashakuona wewe ni mpumbavu. Hata kama una miaka 50 wewe utabaki kuwa mpumbavu mbele yake!usijidanganye "mwanamke wangu ata hanifatilii yanii nna raha kweli"

Mynigga hakufatilii kwasababu hawezi kuhangaisha akili yake kwa ajili ya "mpumbavu"

Na wewe kuacha hawara zako wampande mkeo kichwani ni Upumbavu XXL.

Haicost kitu kuambia mpango wa kando nna mke mapenzi yetu yawe na mipaka, usinipigie masimu ovyo ovyo usinitumie masms huwezi kushindana na mtu anaenilea kwa kila kitu!

Ukiona unachepuka na mwanamke anaeshindwa kuyaelewa hayo muache tu mbona wamejaa sana ambao watakubaliana na term zako ili mjilishe upepo vizuri.

Lingine my nigga's wanawake wa sikuizi wanaroga,mtarogwa msahau future zenu na wake zenu/watoto/familia zenu!

Wewe chekelea kujilisha upepo na akina mwajuma wa buza kumbe unarogwa na wewe unachekelea.

Hakuna mwanamke kama mke wako,wewe jilishe upepo weeeh kwa mama fulani utarudi siku moja,jifunzeni kutofautisha kati ya An empress na concubine,Weka mpaka kati ya Hawara na Mke wa ndoa.

NB: Hii ni kwa wanaume waliooa wanawake wanaojielewa,wanaotimiza wajibu wote.

Wanawake mlioolewa na tabia zenu mbofu mbofu sina la kuwatetea.
 
Wengine wanachepuka mpaka wanahama kabisaa na mji,.siku mambo yameenda alijojo unamuona huyo anarudi kwa mkewe kanyonyoka hana hata mia mfukoni,.ukurutu na kupe vimemganda mpaka kwenye kope,.hapo utamsikia "wewe ni mke wangu hata iweje nisamehe tuu" kirahisirahisi tuu chee...ukimpokea ukampikia uji wa lishe siku 2 tuu huyoooo kwa mama Afghanistan tena..lol...wanawake mnaovumilia huu ujinga in the name of ndoa aseee mtahitaji tuzo za Nobel..na nahisi mtakuwa na pepo ya pekeenu mbinguni.
 
Wengine wanachepuka mpaka wanahama kabisaa na mji,.siku mambo yameenda alijojo unamuona huyo anarudi kwa mkewe kanyonyoka hana hata mia mfukoni,.ukurutu na kupe vimemganda mpaka kwenye kope,.hapo utamsikia "wewe ni mke wangu hata iweje nisamehe tuu" kirahisirahisi tuu chee...ukimpokea ukampikia uji wa lishe siku 2 tuu huyoooo kwa mama Afghanistan tena..lol...wanawake mnaovumilia huu ujinga in the name of ndoa aseee mtahitaji tuzo za Nobel..na nahisi mtakuwa na pepo ya pekeenu mbinguni.

Mother con
Ukilitafakari neno la upumbavu utapata jibu,kwanza ile siku anayoamua kukupa cheo cha upumbavu ndio siku anayoacha kukupenda. Sasa anakuchukulia kama mtu dhaifu anaehitaji msaada
Kwahiyo ww hata ukienda cambodia ukarudi kama mbwa wa kienyeji atakupokea tu atakulisha ukaendelee na mambo yako uko'
Let asshole be asshole u'll sleep better
 
Habari MMU
Naomba niwape ujumbe nilioutafakari kwa kipindi kirefu,mimi sijaolewa kwa maana hio sijui ndoa ila ntawashauri wanaume mliooa wenye ndoa zenu.
Wanaume mna hii mentality kuwa huwezi kukaa na mwanamke mmoja, lazima uchepuke ! Umeanza kuchepuka mtoto wa watu anakupenda anaamini utatulia anakufanyia kila kitu chako kama kakuzaa,anakuzalia na watoto anawalea kama unamlipa. Wewe kazi yako kubwa ulioiona ni kujilisha upepo wa kucheat!
Haya basi mtoto watu kakaa kaona isiwe tabu mme wangu labda ndo nature yenu kucheat "my hubby Cheat in peace" basi unajiona ndo umeshinda kombe unabadili wadada kila siku dharau nyumbani.

Ngoja niwaambie kitu wanaume ,mwanamke akishakuacha u cheat in peace kwanza kashakuona wewe ni mpumbavu. Hata kama una miaka 50 wewe utabaki kuwa mpumbavu mbele yake!usijidanganye "mwanamke wangu ata hanifatilii yanii nna raha kweli"
Mynigga hakufatilii kwasababu hawezi kuhangaisha akili yake kwa ajili ya "mpumbavu"
Na wewe kuacha hawara zako wampande mkeo kichwani ni Upumbavu XXL.
Haicost kitu kuambia mpango wa kando nna mke mapenzi yetu yawe na mipaka, usinipigie masimu ovyo ovyo usinitumie masms huwezi kushindana na mtu anaenilea kwa kila kitu! Ukiona unachepuka na mwanamke anaeshindwa kuyaelewa hayo muache tu mbona wamejaa sana ambao watakubaliana na term zako ili mjilishe upepo vizuri.
Lingine my nigga's wanawake wa sikuizi wanaroga,mtarogwa msahau future zenu na wake zenu/watoto/familia zenu! Wewe chekelea kujilisha upepo na akina mwajuma wa buza kumbe unarogwa na wewe unachekelea.. Hakuna mwanamke kama mke wako,wewe jilishe upepo weeeh kwa mama fulani utarudi sikumoja,jifunzeni kutofautisha kati ya An empress na concubine,Weka mpaka kati ya Hawara na Mke wa ndoa.

NB: Hii ni kwa wanaume waliooa wanawake wanaojielewa,wanaotimiza wajibu wote.
Wanawake mlioolewa na tabia zenu mbofu mbofu sina la kuwatetea.
kunasehem uliposema kuwa mchepuko unapaswa usitume sms ukiwa na mke wako ,hapo ndo nimeelewa na ndo uwa nafanyia kazi.
 
Ushauri mzuri;kwa tunaojielewa huwa tunaakikisha 3/4 ya mapato ni kwa bi mkubwa pamoja na maendeleo,na 1/4 ni kwa michepuko na starehe,na mchepuko ili ufaidi matunda yangu lazima nimjaze tumbo (wako wawili tu);kuhusu kulogwa,nilishawaambia watu wangu wa karibu pamoja na bi mkubwa,kama nitakuwa tofauti kimaamuzi,inabidi waingie kazini.
 
Wanaume wanao kubaliwa na Mipango ya kando wengi wao huwa hawana Akili.

Mwanaume mwenye Akili ni ngumu sana kukubaliwa uku ukiwa unajulikana umeoa.

Kuliko kuwa na Mpango wa kando bora muda wangu nipoteze kwenye kuvuta Bange weee mpaka jicho liwe Nyanya.
 
Ushauri mzuri;kwa tunaojielewa huwa tunaakikisha 3/4 ya mapato ni kwa bi mkubwa pamoja na maendeleo,na 1/4 ni kwa michepuko na starehe,na mchepuko ili ufaidi matunda yangu lazima nimjaze tumbo (wako wawili tu);kuhusu kulogwa,nilishawaambia watu wangu wa karibu pamoja na bi mkubwa,kama nitakuwa tofauti kimaamuzi,inabidi waingie kazini.
Shida zote hizo za nini si utulie tu na mkeo? Jamani
 
Wengine wanachepuka mpaka wanahama kabisaa na mji,.siku mambo yameenda alijojo unamuona huyo anarudi kwa mkewe kanyonyoka hana hata mia mfukoni,.ukurutu na kupe vimemganda mpaka kwenye kope,.hapo utamsikia "wewe ni mke wangu hata iweje nisamehe tuu" kirahisirahisi tuu chee...ukimpokea ukampikia uji wa lishe siku 2 tuu huyoooo kwa mama Afghanistan tena..lol...wanawake mnaovumilia huu ujinga in the name of ndoa aseee mtahitaji tuzo za Nobel..na nahisi mtakuwa na pepo ya pekeenu mbinguni.
Mmeamua kutusema sasa
tena mmejiachia mnatusema vibaya wanaume
 
bora umejitambua
Ushauri mzuri;kwa tunaojielewa huwa tunaakikisha 3/4 ya mapato ni kwa bi mkubwa pamoja na maendeleo,na 1/4 ni kwa michepuko na starehe,na mchepuko ili ufaidi matunda yangu lazima nimjaze tumbo (wako wawili tu);kuhusu kulogwa,nilishawaambia watu wangu wa karibu pamoja na bi mkubwa,kama nitakuwa tofauti kimaamuzi,inabidi waingie kazini.
 
Back
Top Bottom