Winner Magele
Member
- Jan 9, 2013
- 86
- 49
Mwaka 2019[emoji116][emoji116]
Mathayo 5;27-29 Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;
[28] Lakini mimi nawaambia,kila mtu amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
[29] Jicho lako la kuume likikukosesha, lingoe ulitupe mbali nawe; Kwa maana yafaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehanamu.
Mwanaume,sio maneno yangu ni maneno ya Yesu, nami nime nukuu, sasa wee endelea kusema yahee umeona neema za alah,uku moyoni una zini kidogo kidogo kumbuka kuna jehanamu pia,wewe chukulia poa tu hata kama nyumba ni choo Mungu akubariki mwaka 2019 ukawe mwaka wa baraka kwako barikiwa @pastorwinner @magelewinner_tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Mathayo 5;27-29 Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;
[28] Lakini mimi nawaambia,kila mtu amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
[29] Jicho lako la kuume likikukosesha, lingoe ulitupe mbali nawe; Kwa maana yafaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehanamu.
Mwanaume,sio maneno yangu ni maneno ya Yesu, nami nime nukuu, sasa wee endelea kusema yahee umeona neema za alah,uku moyoni una zini kidogo kidogo kumbuka kuna jehanamu pia,wewe chukulia poa tu hata kama nyumba ni choo Mungu akubariki mwaka 2019 ukawe mwaka wa baraka kwako barikiwa @pastorwinner @magelewinner_tz
Sent using Jamii Forums mobile app