Ujumbe kwa walimu wote

Ujumbe kwa walimu wote

hhhhj

Member
Joined
Oct 5, 2016
Posts
41
Reaction score
68
Hakuna anayepinga sekta ya elimu nimoja ya sekta muhimu sana ila ajabu nipale sekta hii kukosa ule mvuto nakukosa hadhi hasa upande wa umma.

Haiingii akilini wamachinga wapige kelele kidogo tu mkuu wa nchi aingilie kati kwa kuwakingia kifua kwa kisingizio hao ndiyo waliompa kura.

NYINYI WALIMU Si ndiyo mnaosimamia uchaguzi.

Si ndiyo mnalipa kodi kuliko machinga.

Si ndiyo mnaotegemewa kufuta ujinga.

Si ndiyo mlisema rais ni mwalimu au alikuwa machinga.

Walimu ndiyo watumishi peke yenu hamna posho.

Walimu ndiyo watumishi peke yenu mna waajiri zaidi ya mmoja.

Walimu ndiyo watumishi peke yenu hamna malipo ya muda wa ziada.

Walimu ndiyo mnaongoza kupigwa makofi kutolipwa stahiki zenu kwa wakati n.k.

Ila pamoja na yote hayo sijawasikia hata mkimuomba rais au waziri mkutane na kujadili.

Msije mkaniona mbaya ila ukweli CWT hamna mnachofanya mnanyonya wenzenu.

Nyie ndiyo mna sauti zao mmekaa kimya mnahangaika na benki sijui ndiyo itawaongezea mshahara au posho.
 
Hakuna anayepinga sekta ya elimu nimoja ya sekta muhimu sana ila ajabu nipale sekta hii kukosa ule mvuto nakukosa hadhi hasa upande wa uma......

Haiingii akilini wamachinga wapige kelele kidogo tu mkuu wa nchi aingilie kati kwa kuwakingia kifua kwa kisingizio hao ndiyo waliompa kura.....
NYINYI WALIMU
Sindiyo mnao simamia uchaguzi...

Sindiyo mnalipa kodi kuliko machinga.....

Sindiyo mnao tegemewa kufuta ujinga....

Sindiyo mlisema raisi ni mwalimu au alikuwa machinga....

Walimu ndiyo watumishi peke yenu hamna posho...

Walimu ndiyo watumishi peke yenu mnawaajiri zaidi ya mmoja.....

Walimu ndiyo watumishi peke yenu hamna malipo ya muda waziada...

Walimu ndiyo mnaongoza kupigwa makofi kutolipwa stahiki zenu kwa wakati n.k.....
Ila pamoja na yote hayo sijawasikia hata mkimuomba raisi au wazir mkutane na kujadili.....

Msije mkaniona mbaya ila ukweli CWT hamna mnachofanya mnanyonya wenzenu.Nyie ndiyo mnasauti zao mmekaa kimya mnahangaika na bank Sijui ndiyo itawaongezea mshahara au posho
Wapo watumishi wengi wa serikali wenye malipo duni zaidi ya walimu lakin hawasikiki na walimu wanasikia sana kwa sababu ya uwingi wao na si vinginevyo
 
Hakuna anayepinga sekta ya elimu nimoja ya sekta muhimu sana ila ajabu nipale sekta hii kukosa ule mvuto nakukosa hadhi hasa upande wa uma......

Haiingii akilini wamachinga wapige kelele kidogo tu mkuu wa nchi aingilie kati kwa kuwakingia kifua kwa kisingizio hao ndiyo waliompa kura.....
NYINYI WALIMU
Sindiyo mnao simamia uchaguzi...

Sindiyo mnalipa kodi kuliko machinga.....

Sindiyo mnao tegemewa kufuta ujinga....

Sindiyo mlisema raisi ni mwalimu au alikuwa machinga....

Walimu ndiyo watumishi peke yenu hamna posho...

Walimu ndiyo watumishi peke yenu mnawaajiri zaidi ya mmoja.....

Walimu ndiyo watumishi peke yenu hamna malipo ya muda waziada...

Walimu ndiyo mnaongoza kupigwa makofi kutolipwa stahiki zenu kwa wakati n.k.....
Ila pamoja na yote hayo sijawasikia hata mkimuomba raisi au wazir mkutane na kujadili.....

Msije mkaniona mbaya ila ukweli CWT hamna mnachofanya mnanyonya wenzenu.Nyie ndiyo mnasauti zao mmekaa kimya mnahangaika na bank Sijui ndiyo itawaongezea mshahara au posho
wa....nga ndo waliwao
 
Achana na sisi mind your business, fani haikuhusu wew unaingilia nini,magu ni mkombozi tunasubiri mema yanakuja wew hujui
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Nilijifunza kwamba maamuzi ya mtu ni matokeo ya mawazo yake
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Dah! hiyo avatar yako tu mtoa mada inanifanya nihisi na wewe ni walewale, unapigwa nyundo ufe halafu jembe lipo pembeni kukuchimbia kaburi uzikwe usahaulike.
 
Mtoa mada umenifanya nicheke mwenyewe.yatosha.
 
Walimu kama wanaridhika na kipato chao hakuna haja ya kuwaiga machinga.
Na wenye watoto kama mnaridhika na matokeo ya watoto wenu basi, walimu hawana shida ya maslahi bora! Watausimamia uchaguzi ujao na kuhakikisha ushindi wa kishindo kwa chama partner na cwt kisha watawekwa pembeni kama gauni la bi harusi baada ya kufunga ndoa kusubiri kukodishwa!
 
Na wenye watoto kama mnaridhika na matokeo ya watoto wenu basi, walimu hawana shida ya maslahi bora! Watausimamia uchaguzi ujao na kuhakikisha ushindi wa kishindo kwa chama partner na cwt kisha watawekwa pembeni kama gauni la bi harusi baada ya kufunga ndoa kusubiri kukodishwa!
Walimu wanafurahia sana utawala wa awamu hii.
 
Back
Top Bottom