Ujumbe kwa Mwigulu Nchemba. Tumechoka!

Mangi flani hivi

JF-Expert Member
Jan 2, 2016
2,026
3,100
Salaam,

Kwanza nikupe pole mh. Mwigulu Nchemba kwa starehe za krismas. Nimekuona leo unazurura Huko timu wasafi hongera.

Labda nianze kwa kusema tumechoka kuzika vijana wetu na hasa nguvu kazi ya taifa hili changa kwa sababu tu ya kitu MADAWA ya KULEVYA. Kama hawa watu wasio na majina huku mitaani hawakushtui sasa nitakutajia majina ya vijana wachache ambao walikuwa na nguvu ya kulichangia pato la taifa na kupeperusha jina la Tanzania nje ya mipaka lakini kwa sababu ya hayo madawa hawapo au hawawezi tena;

Ngwea- RIP
Langa- RIP
Fanani- Sijui
Ray C- hakuna kitu
20%- Tia maji Tia maji
Na sasa Chidi Benzi

Mheshimiwa, hivi ni vifo ambavyo wizara yako kwa umakini wake inaweza kabisa kuzuia. Mbona umekuwa kimya juu ya hili mkuu??? Una watoto baba, unajua hujavuka mto. Hebu usiwe sababu ya machozi kututiririka mashavuni kila siku Mheshimiwa.
Hivi unajua mama Makwiro anajisikaje akimwangalia mwanae??? Najua kuna watakaosema kajitakia ila mkuu usipouzuia huu unga kwa nguvu, let "ancestors wrath" rain on (na laana ikuangukie) tumechoka.
Nimeangalia pich za chid zinazozunguka mitandaoni nikashindwa kuelewa nani atatuimbia wimbo Kama: Dar stand up, nipe raha ya dunia na nyingine nyingiiiii.


Namaliza kwa kusema tumechoka, usipozuia kifo cha chidi una Kesi ya kujibu mbinguni na duniani.

Ngoja nikimkumbusha chid ninayemjua.

 
Mkuu,

kila mahali hili swala la utumiaji wa madawa ya kulevya lipo,

China pamoja na kuweka sheria kali,bado watu wanajitosa kwenye hii biashara,

Labda tuchunguze kiini,cha why people turn into drugs and alcohol,

Mimi naona wengi wakishakuwa maarufu,wana pata pressure ya kuremain on top,

This can lead to anxiety and depression,and because of this,people affected most turns to drugs and alcohol,

Nchi nyingine kuna rehabilitations units,wanamuziki maarufu wanaenda kwa muda wanatoka wako clean,

Sasa kwetu ,ni janga la familia,mtu akitumia madawa,access to treatment,hakuna,so hili linakua mzigo wa familia,(sina uhakika na hili)

Mwigulu I think ukiweza kutreat watu kutoka kwenye depression and anxiety,utakuwa umepiga hatua moja kubwa sana,kwenye kuzuia matumizi ya madawa ya kulevya.

Is just my opinion,based on my own experiences,hamna facts lol
 
Mkuu,

kila mahali hili swala la utumiaji wa madawa ya kulevya lipo,

China pamoja na kuweka sheria kali,bado watu wanajitosa kwenye hii biashara,

Labda tuchunguze kiini,cha why people turn into drugs and alcohol,

Mimi naona wengi wakishakuwa maarufu,wana pata pressure ya kuremain on top,

This can lead to anxiety and depression,and because of this,people affected most turns to drugs and alcohol,

Nchi nyingine kuna rehabilitations units,wanamuziki maarufu wanaenda kwa muda wanatoka wako clean,

Sasa kwetu ,ni janga la familia,mtu akitumia madawa,access to treatment,hakuna,so hili linakua mzigo wa familia,(sina uhakika na hili)

Mwigulu I think ukiweza kutreat watu kutoka kwenye depression and anxiety,utakuwa umepiga hatua moja kubwa sana,kwenye kuzuia matumizi ya madawa ya kulevya.

Is just my opinion,based on my own experiences,hamna facts lol
Well said Rebeca, ila pamoja na hayo bado kuna nchi na maeneo duniani wametunga sheria kali juu ya hili na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa sana... Kwa mfano china, ukidakwa na sembe umekufa. Nani anataka Kufa?? Ila wizara ya mambo ya ndani Ina part to play, unadhani hawawajui???????
 
Kwani nyie mnajua hela ya kampeni inapatikanaga wapi? Hatufukui makaburi.
 
Well said Rebeca, ila pamoja na hayo bado kuna nchi na maeneo duniani wametunga sheria kali juu ya hili na wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa sana... Kwa mfano china, ukidakwa na sembe umekufa. Nani anataka Kufa?? Ila wizara ya mambo ya ndani Ina part to play, unadhani hawawajui???????

Mkuu wamefanikiwa ,ila almost certain,sio kabisa, bado kuna watu wanajitosa hawaogopi kunyongwa,tena waliojaribu kuingiza hayo madawa waTanzania walikuwemo lol,kuna dada anaitwa Jack sijui jina lake la pili,ila ni video queen maarufu,alidakwa,sijui kesi iliishia vipi,lol.
 
Mkuu wamefanikiwa ,ila almost certain,sio kabisa, bado kuna watu wanajitosa hawaogopi kunyongwa,tena waliojaribu kuingiza hayo madawa waTanzania walikuwemo lol,kuna dada anaitwa Jack sijui jina lake la pili,ila ni video queen maarufu,alidakwa,sijui kesi iliishia vipi,lol.
Rebeca hiyo ni china lakini kuna baadhi ya majimbo yana loopholes... Jack yupo Macau, nipe mtu aliyeingiza unga hongkong Aliye hai.
 
Mkuu,

kila mahali hili swala la utumiaji wa madawa ya kulevya lipo,

China pamoja na kuweka sheria kali,bado watu wanajitosa kwenye hii biashara,

Labda tuchunguze kiini,cha why people turn into drugs and alcohol,

Mimi naona wengi wakishakuwa maarufu,wana pata pressure ya kuremain on top,

This can lead to anxiety and depression,and because of this,people affected most turns to drugs and alcohol,

Nchi nyingine kuna rehabilitations units,wanamuziki maarufu wanaenda kwa muda wanatoka wako clean,

Sasa kwetu ,ni janga la familia,mtu akitumia madawa,access to treatment,hakuna,so hili linakua mzigo wa familia,(sina uhakika na hili)

Mwigulu I think ukiweza kutreat watu kutoka kwenye depression and anxiety,utakuwa umepiga hatua moja kubwa sana,kwenye kuzuia matumizi ya madawa ya kulevya.

Is just my opinion,based on my own experiences,hamna facts lol

Rebeca83
Tanzania bara Na visiwani viko vituo vya kuwasaidia wa athiriwa wa madawa ya kulevya.Ndugu Alphonso aliekuwa balozi wa USA hapa Tanzania Pamoja Na mkewe walikuwa mstari wa mbele Kwa hali Na mali
Mdogo Wangu wa adamu NI Mfano.Alikuwa ameathiriwa Na madawa ya kulevya.Tukampeleka Zanzibar kwenye kimoja cha vituo hivyo.Alikaa miezi mitatu Halafu alitoroka hali yake mpaka Sasa ni powa Lakini anakuwa mkali wakati mwingine anakuwa mpole sana.Ilitugharimu laki sita lakini Kwa wasio Na uwezo wanakubaliwa.
Rebeca83 nakubaliana Nawe kutibiwa Kwa
HUZUNI NA WASI WASI.
Hili NI janga Kwa familia Na Kwa Taifa.
 
Rebeca hiyo ni china lakini kuna baadhi ya majimbo yana loopholes... Jack yupo Macau, nipe mtu aliyeingiza unga hongkong Aliye hai.

Mangi flani hivi
Visiwa vya Philippine Na Raisi wao mbabe wametoa Sheria Kali ya kuuliwa wauzaji wa madawa ya kulevya.Hawa wauzaji nikuuliwa tu hakuna "haki za binadamu"
 
Mkuu,

kila mahali hili swala la utumiaji wa madawa ya kulevya lipo,

China pamoja na kuweka sheria kali,bado watu wanajitosa kwenye hii biashara,

Labda tuchunguze kiini,cha why people turn into drugs and alcohol,

Mimi naona wengi wakishakuwa maarufu,wana pata pressure ya kuremain on top,

This can lead to anxiety and depression,and because of this,people affected most turns to drugs and alcohol,

Nchi nyingine kuna rehabilitations units,wanamuziki maarufu wanaenda kwa muda wanatoka wako clean,

Sasa kwetu ,ni janga la familia,mtu akitumia madawa,access to treatment,hakuna,so hili linakua mzigo wa familia,(sina uhakika na hili)

Mwigulu I think ukiweza kutreat watu kutoka kwenye depression and anxiety,utakuwa umepiga hatua moja kubwa sana,kwenye kuzuia matumizi ya madawa ya kulevya.

Is just my opinion,based on my own experiences,hamna facts lol
.....utakuwa sistaduu;kiswanglish nini!
...una hoja za msingi lakini!
 
Rebeca83
Tanzania bara Na visiwani viko vituo vya kuwasaidia wa athiriwa wa madawa ya kulevya.Ndugu Alphonso aliekuwa balozi wa USA hapa Tanzania Pamoja Na mkewe walikuwa mstari wa mbele Kwa hali Na mali
Mdogo Wangu wa adamu NI Mfano.Alikuwa ameathiriwa Na madawa ya kulevya.Tukampeleka Zanzibar kwenye kimoja cha vituo hivyo.Alikaa miezi mitatu Halafu alitoroka hali yake mpaka Sasa ni powa Lakini anakuwa mkali wakati mwingine anakuwa mpole sana.Ilitugharimu laki sita lakini Kwa wasio Na uwezo wanakubaliwa.
Rebeca83 nakubaliana Nawe kutibiwa Kwa
HUZUNI NA WASI WASI.
Hili NI janga Kwa familia Na Kwa Taifa.

Asante mkuu,

Kwa kutujuza kuwa hivi vituo vipo,

Nadhani kuwe na kampeni,kuwajulisha watu kuwa hivi vituo vipo,waende wakapate msaada wa kimatibabu pale inapobidi,

Na pia kujengwe vituo vingi Zaidi vya namna hii,

Na funds zielekezwe kwenye kuelimisha madaktari wapya wa mambo ya akili,
 
Mkuu,

kila mahali hili swala la utumiaji wa madawa ya kulevya lipo,

China pamoja na kuweka sheria kali,bado watu wanajitosa kwenye hii biashara,

Labda tuchunguze kiini,cha why people turn into drugs and alcohol,

Mimi naona wengi wakishakuwa maarufu,wana pata pressure ya kuremain on top,

This can lead to anxiety and depression,and because of this,people affected most turns to drugs and alcohol,

Nchi nyingine kuna rehabilitations units,wanamuziki maarufu wanaenda kwa muda wanatoka wako clean,

Sasa kwetu ,ni janga la familia,mtu akitumia madawa,access to treatment,hakuna,so hili linakua mzigo wa familia,(sina uhakika na hili)

Mwigulu I think ukiweza kutreat watu kutoka kwenye depression and anxiety,utakuwa umepiga hatua moja kubwa sana,kwenye kuzuia matumizi ya madawa ya kulevya.

Is just my opinion,based on my own experiences,hamna facts lol
Hapa tinahangaika na madhara,ISSUE NI KIDHIBITI uingizwaji wa dawa za kulevya tu.MATEJA HAWAISH mitaani,kwanini?
Marekani na Uchina wanapambana na UINGIZAJI WA HAYO MADAWA si kingine,ila hapa tunacheka nao,hakuna mti aloadhibiwa effectively kwa kes za UNGA
 
Salaam,

Kwanza nikupe pole mh. Mwigulu Nchemba kwa starehe za krismas. Nimekuona leo unazurura Huko timu wasafi hongera.

Labda nianze kwa kusema tumechoka kuzika vijana wetu na hasa nguvu kazi ya taifa hili changa kwa sababu tu ya kitu MADAWA ya KULEVYA. Kama hawa watu wasio na majina huku mitaani hawakushtui sasa nitakutajia majina ya vijana wachache ambao walikuwa na nguvu ya kulichangia pato la taifa na kupeperusha jina la Tanzania nje ya mipaka lakini kwa sababu ya hayo madawa hawapo au hawawezi tena;

Ngwea- RIP
Langa- RIP
Fanani- Sijui
Ray C- hakuna kitu
20%- Tia maji Tia maji
Na sasa Chidi Benzi

Mheshimiwa, hivi ni vifo ambavyo wizara yako kwa umakini wake inaweza kabisa kuzuia. Mbona umekuwa kimya juu ya hili mkuu??? Una watoto baba, unajua hujavuka mto. Hebu usiwe sababu ya machozi kututiririka mashavuni kila siku Mheshimiwa.
Hivi unajua mama Makwiro anajisikaje akimwangalia mwanae??? Najua kuna watakaosema kajitakia ila mkuu usipouzuia huu unga kwa nguvu, let "ancestors wrath" rain on (na laana ikuangukie) tumechoka.
Nimeangalia pich za chid zinazozunguka mitandaoni nikashindwa kuelewa nani atatuimbia wimbo Kama: Dar stand up, nipe raha ya dunia na nyingine nyingiiiii.


Namaliza kwa kusema tumechoka, usipozuia kifo cha chidi una Kesi ya kujibu mbinguni na duniani.

Ngoja nikimkumbusha chid ninayemjua.


Huu wimbo wa jamaa naupenda sana,ila the way he was and the way he looks like now, na kesho ataibuka mwingine,kwani yeye hakumuona Ray V,alipokamatwa na Unga airport ni mahakama ndo ilimdekeza,yeah nasema ilimdekeza kwa kumpiga fine,badala ya kumfunga,ndo shida ya nchini kwetu hukumu za wenye majina hutofautiana na wasio na majina
 
Back
Top Bottom