Ujumbe kwa dada zetu.

Ujumbe kwa dada zetu.

sambeke

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2014
Posts
713
Reaction score
651
NYUNDO NZITO KWA WADADA,

Umepata Mume, Umempenda Kweli kweli na Umemlalamikia Sana Eti Kwanini Hakupeleki Kwa Wazazi Wake Kukutambulisha,

Jamaa Alikuwa hataki kukupeleka lkn mwishowe akaona isiwe tabu Akakupeleka kwa wazazi wake

Wewe badala kuitumia hiyo nafasi vizuri ,, eti Wewe umefika tu Siku ya Kwanza Umeshinda Unachati na simu , Siku ya Pili Umeshinda Unachati Tena ndio unajisifia kwenye groups upo ukweni

Kumbe ukweni wao Wanakutazama tu na kukupimia Wala Hawakwambii Kitu

Siku ya Tatu Wanakwambia leo ni zamu yako Kupika, Unaingia Jikoni unaona Kila Kitu Kigeni

Vya Huku Unaweka Kule, Vya kule Unaweka Huku (Yaani Hujui Kupika Chochote) unakodoa tu macho

Sufuria Unashika Kama Umeshika smartphone au Power Bank,

Unapika Na Lipstick, Mdomo Mwekunduuu Utafikiri Mtoto wa Jini kahaba Katoka Kufundishwa Kunyonya Damu tena huku Umevaa cloves ,

Umevaa kucha za bandia Zimejaa Nusu Ya Mkono yote, Umevaa Mini Skirt Kama Wafanyakazi Wa ndege ya KLM

Msosi wa Wakwe Huwezi Kupika. Ukiambiwa Hufai Kuolewa Unavuta mdomo ...Unaanza Kulalamika Wakwe Hawakupendi,

Unalalamika Weee, Wewe Unashindwa Kuelewa Kuwa Wewe Ndo Tatizo.

Usitake Kuolewa Ukidhani Mumeo Atakula Chips na Wewe Utakuwa Utakula Pizzas Kila Siku,

Jifunze Hata Kuchemsha Chai Basi, Wewe Muda wote umelala kazi yako kuchat tu Au Unadhani Google Wataleta App Ambayo Unaweka USB Kwenye Simu Yako Alafu Unaielekezea Kwenye Sahani kuandaa chakula

JIPANGE DADA Usidhani Ndoa Ni Kama Kupiga Picha Selfie

Utaishia kuuza ice cream au kusema umelogwa kumbe we mwenyewe ndo mchawi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanaangalia uzuri, na kutafuta wanao wapenda na kusema huyu mwanamke ananishahur mazur ngoja nimuowe.

Unasahau kuwa kuna mengi ya muhimu wapaswa kuya judge kwa demu wako

Hitikadi hizo muache dada zetu hazifai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla ya kumfikisha huko kwa wakwe naamini atakuwa kakuridhisha kiasi cha kuwa mke!
 
Kama yupo wa kufanya hivi basi hata huyo mwanaume wake naye ni tatizo.
 
Wakati na date na shemeji yenu alikuwa very real tukiagiza msosi anakula wote na anadokoa hata nyama kwangu au samaki. Sasa siku alikuja na rafiki yake kulikuwa na mgahawa flani pale posta almaarufu sana wakati huo karibu na ofisi za zamani za NBAA mavuno house. Siku hiyo tukaagiza wali samaki Yule rafiki yake akaagiza burger nikamwuliza utashiba kweli akasema ndio. Sie tukaupiga wote halafu wife akawa wanachukua chukua samaki kwangu. Tukala nikalipa wakasepa nikarudi zangu job. Jioni mchumba kaja analalamika ooh rafiki yake kamponda kweli kweli eti anatakiwa ukila na mchumba unakula kidogo halafu unaacha! Hutakiwi Kula wali unaagiza kitu kidogo dogo. Khaaa nikamshangaa kweli kweli huyo rafiki yake. Kwa mama huyu wa kichaga yaani tulipokuwa kama na miezi miwili kitu cha kwanza aliniambia kuna viwanja vinauzwa kimara tukanunue! Tukaenda ikawa bondeni sikupapenda. Mara ya pili akaniambia friji zinauzwa migo migo bei poa tukaenda tunanunua. Haka ka friji tumekatumia 12 yrs. Alikuwa focused na Maisha mpaka nikawa mnashangilia mwenyewe nikiwa alone. Sasa Mwanamke kama huyo hafai kwa kweli be real na maisha sio kuigiza mambo ambayo hayana au hayatakusaidia maishani mwako. Sasa huyo rafiki yake hiyo siku ya menu usiku wake alimpigia km mara nne hivi nikipokea anajidai kakosea Namba!
 
Wakati na date na shemeji yenu alikuwa very real tukiagiza msosi anakula wote na anadokoa hata nyama kwangu au samaki. Sasa siku alikuja na rafiki yake kulikuwa na mgahawa flani pale posta almaarufu sana wakati huo karibu na ofisi za zamani za NBAA mavuno house. Siku hiyo tukaagiza wali samaki Yule rafiki yake akaagiza burger nikamwuliza utashiba kweli akasema ndio. Sie tukaupiga wote halafu wife akawa wanachukua chukua samaki kwangu. Tukala nikalipa wakasepa nikarudi zangu job. Jioni mchumba kaja analalamika ooh rafiki yake kamponda kweli kweli eti anatakiwa ukila na mchumba unakula kidogo halafu unaacha! Hutakiwi Kula wali unaagiza kitu kidogo dogo. Khaaa nikamshangaa kweli kweli huyo rafiki yake. Kwa mama huyu wa kichaga yaani tulipokuwa kama na miezi miwili kitu cha kwanza aliniambia kuna viwanja vinauzwa kimara tukanunue! Tukaenda ikawa bondeni sikupapenda. Mara ya pili akaniambia friji zinauzwa migo migo bei poa tukaenda tunanunua. Haka ka friji tumekatumia 12 yrs. Alikuwa focused na Maisha mpaka nikawa mnashangilia mwenyewe nikiwa alone. Sasa Mwanamke kama huyo hafai kwa kweli be real na maisha sio kuigiza mambo ambayo hayana au hayatakusaidia maishani mwako. Sasa huyo rafiki yake hiyo siku ya menu usiku wake alimpigia km mara nne hivi nikipokea anajidai kakosea Namba!
Hapa sijaambulia kitu...hii balimi huenda ina mixture na bangi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa unamchukuwa mwanamke ukweni kwa mwanaume anatakiwa awapikie wakwe hivi sisi wanaume tukipelekwa ukweni kwa mwanamke tunatakiwa tufanye nini? Kuchanja kuni? Kulima au Kuvuna? Kumgegeda mtoto wao mbele yao ili nionekane mgegedaji mzuri?. Ikiwa umekwenda kumtambulisha mke mtarajiwa inamaanisha mmekwenda matembezi. Sasa kumpa mtoto wa watu jungu la watu 20 wakati yeye kishazowea makisio ya mapishi ya watu 2 hadi 4. Huoni kama hapo unamuonea?


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Huyo itakuwa uliokotana nae club ukavutiwa na mikato ukaamua kubeba jumla

Sent using Jamii Forums mobile app

ila jamani tuache utani yale matako club unaweza ukaona isiwe tabu ni huyu huyu ...alafu wanawake wa namna hiyo wajaja...full burudani kitandani mpaka unasema kupika kitu gani bwana. nitakula kwenye mighahawa hahaha
 
Sasa unamchukuwa mwanamke ukweni kwa mwanaume anatakiwa awapikie wakwe hivi sisi wanaume tukipelekwa ukweni kwa mwanamke tunatakiwa tufanye nini? Kuchanja kuni? Kulima au Kuvuna? Kumgegeda mtoto wao mbele yao ili nionekane mgegedaji mzuri?. Ikiwa umekwenda kumtambulisha mke mtarajiwa inamaanisha mmekwenda matembezi. Sasa kumpa mtoto wa watu jungu la watu 20 wakati yeye kishazowea makisio ya mapishi ya watu 2 hadi 4. Huoni kama hapo unamuonea?


Ndukiiiii


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka amini hayo ndo tunayokutana nayo ukweni, hata likizo ya mwezi wa 12 huwa hatuendi kupumzika ukifika unakabidhiwa mkungu wa ndizi, mbuzi mzima, kuku 3, maini kilo 3, mchele kilo 5 unaambiwa upike.

Usisahau kutengeneza juice na kuhakikisha kuwa soda za baridi.

Unawatengea mezani, unawawanawisha, unawapakulia wanakula baada ya hapo ndo kidogo mawifi au waliopo watajiongeza kuosha vyombo.

Sasa unamchukuwa mwanamke ukweni kwa mwanaume anatakiwa awapikie wakwe hivi sisi wanaume tukipelekwa ukweni kwa mwanamke tunatakiwa tufanye nini? Kuchanja kuni? Kulima au Kuvuna? Kumgegeda mtoto wao mbele yao ili nionekane mgegedaji mzuri?. Ikiwa umekwenda kumtambulisha mke mtarajiwa inamaanisha mmekwenda matembezi. Sasa kumpa mtoto wa watu jungu la watu 20 wakati yeye kishazowea makisio ya mapishi ya watu 2 hadi 4. Huoni kama hapo unamuonea?


Ndukiiiii
 
Sasa unamchukuwa mwanamke ukweni kwa mwanaume anatakiwa awapikie wakwe hivi sisi wanaume tukipelekwa ukweni kwa mwanamke tunatakiwa tufanye nini? Kuchanja kuni? Kulima au Kuvuna? Kumgegeda mtoto wao mbele yao ili nionekane mgegedaji mzuri?. Ikiwa umekwenda kumtambulisha mke mtarajiwa inamaanisha mmekwenda matembezi. Sasa kumpa mtoto wa watu jungu la watu 20 wakati yeye kishazowea makisio ya mapishi ya watu 2 hadi 4. Huoni kama hapo unamuonea?


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Mwanaume ukienda ukweni ni kuonesha jeuri ya pesa! Yeye akija kwenu ni kuonesha maujuzi ya kupika na kutunza nyumba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom