Consultant JF-Expert Member Jun 15, 2008 11,401 20,661 Jan 31, 2010 #2 Du! .....Ni Hasidi wa WAWAZANZIBA Nilidhani kule ndio kiswahili 'sanifu' kilipoanzia BTW, hayo yalikuwa maandamano ya nini hasa?
Du! .....Ni Hasidi wa WAWAZANZIBA Nilidhani kule ndio kiswahili 'sanifu' kilipoanzia BTW, hayo yalikuwa maandamano ya nini hasa?
MrFroasty JF-Expert Member Jun 23, 2009 1,195 592 Jan 31, 2010 Thread starter #3 Sinyolita said: Du! .....Ni Hasidi wa WAWAZANZIBA Nilidhani kule ndio kiswahili 'sanifu' kilipoanzia BTW, hayo yalikuwa maandamano ya nini hasa? Click to expand... Tupe hicho kiswahili chako wewe utasema vipi badala ya neno "hasidi". P:S **Maandamano ya kuunga mkono maridhiano baina ya CUF na CCM katika jitihada za kuleta amani visiwani Zanzibar
Sinyolita said: Du! .....Ni Hasidi wa WAWAZANZIBA Nilidhani kule ndio kiswahili 'sanifu' kilipoanzia BTW, hayo yalikuwa maandamano ya nini hasa? Click to expand... Tupe hicho kiswahili chako wewe utasema vipi badala ya neno "hasidi". P:S **Maandamano ya kuunga mkono maridhiano baina ya CUF na CCM katika jitihada za kuleta amani visiwani Zanzibar
Mwazange JF-Expert Member Nov 16, 2007 1,056 81 Feb 1, 2010 #4 Dah hizi siasa za kwetu......we haya tu..