Ujumbe kutoka kwa Muslim Hassanali

Ujumbe kutoka kwa Muslim Hassanali

Na baadhi pia kudiriki kusema "NDANI YA CHADEMA WOTE TAKATAKA KASORO TUNDU LISSU"



Kwa mtazamo wangu huenda hayo maneno ndio yaliokufanya uhame chama
Kuna watu wengine wakisikia mwenzao akisifiwa saana kwa utendaji wake wa kazi wanaona wivu saana na kujiskia vibaya saana japo wote wapo pamoja
Ukiwaza na ukifkiria jinsi unavyotoa hela kwenye chama,jinsi unavojinyima na kudiriki kuingia mikopo ya benki ili uonekane tu wewe ndio kibopa mwenyewe,,halaf papo hapo majamaa yanamsifia lisu tu kila kona anaongelewa lisu tu
Mwishoe ukaona sasa kaeni nae huyo lisu wenu[emoji3][emoji3]
Ukaamua kujikataa na kurejea kulee kuleee kuliko ungua shoka na mpini ukabaki[emoji3][emoji3]

Huo ni mtazamo wangu tu..Ungekuwa kapela,wana cdm wangeshasema na wewe umenunuliwa[emoji3]
Lkn kutokana na Proflie yako kujulikana wamepiga kimya tu.
 
Ndugu Muslim Hassanali,

Salam.

Kwenye siasa uamuzi uliochukua hauwezi kupita bila maoni. Na maoni huwezi kupanga yawe positive tu. Kumbuka uamuzi uliochukua ni wa kuhama kambi mbili pinzani kwa hiyo tegemea mapovu ya kila aina.... mapovu yenye kuondoa uchafu na mapovu yenye kuchafua. Kinachotakiwa kwa upande wako ni kutuaminisha kwa maneno na matendo yako kuwa siasa unazofanya ni siasa zenye tija, na zenye kulijenga taifa hili. Wewe una advantage kwa kuwa una experience ya pande zote mbili za siasa za nchi hii, kwa hiyo unaweza uka- strike a balanced political stance ambayo kwa maoni yangu mimi ndiyo kitu adimu sana kwa siasa zetu hapa Tanzania. Kila la kheri!
 
Usaliti ni laana mbaya sana .

Ulichosahau hapa ni kuwashukuru wote waliotumia pesa zao kama mimi na muda wao kukuhangaikia usiku na mchana kwenye uchaguzi mkuu 2015 , umesahau kuwashukuru hata waliokutilia mafuta kwenye gari lako .

Mungu hatokuacha utatandikwa laana ya ajabu sana .
Hili ni dua la kuku kamanda.halimpati mwewe. Wewe unaangalia maslahi binafsi na ubinafsi..mwenzako anaangalia maslah ya nchi..vitu viwili tofauti huwez vilinganisha..hivi utalinganishaje mwehu na asiye mwehu..
 
Ndugu Muslim Hassanali,

Salam.

Kwenye siasa uamuzi uliochukua hauwezi kupita bila maoni. Na maoni huwezi kupanga yawe positive tu. Kumbuka uamuzi uliochukua ni wa kuhama kambi mbili pinzani kwa hiyo tegemea mapovu ya kila aina.... mapovu yenye kuondoa uchafu na mapovu yenye kuchafua. Kinachotakiwa kwa upande wako ni kutuaminisha kwa maneno na matendo yako kuwa siasa unazofanya ni siasa zenye tija, na zenye kulijenga taifa hili. Wewe una advantage kwa kuwa una experience ya pande zote mbili za siasa za nchi hii, kwa hiyo unaweza uka- strike a balanced political stance ambayo kwa maoni yangu mimi ndiyo kitu adimu sana kwa siasa zetu hapa Tanzania. Kila la kheri!
Well said
 
Hili ni dua la kuku kamanda.halimpati mwewe. Wewe unaangalia maslahi binafsi na ubinafsi..mwenzako anaangalia maslah ya nchi..vitu viwili tofauti huwez vilinganisha..hivi utalinganishaje mwehu na asiye mwehu..
haa haa yepi hayo maslahi ya nchi? muhindi aangalie maslahi ya watu weusi we mzima kweli?
 
Huyu hasanali sijui ni very insignifcant figure,
mie mwenyewe hata ndo namjua juzi,

yaani kupewa kazi ya kwenda kudraw hela bank na kuzitawanya kwenye majukumu mbalimbali,tayari ashajiona alikuwa mtu mkubwa sana.

We si ulikuwa cashier tu,mchango mchango upi?
Au hizo pesa ulikuwa unatoa mfukoni mwako?.

Watu kama huyu hasanali,tukikamata madaraka ni kuwaweka ndani kwa uhujumu uchumi bila dhamana hadi waozeemo
Diuuu kamanda naona unaona maruweruwe
 
Back
Top Bottom