Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
Taarifa hii inaweza kuwa ya uongo au ya kweli lakini kimsingi Mr Sitta is not clean na si mpiganaji wa haki ya watanzania, hebu tujaribu kuangalia jinsi alivyoua mjadala wa Richmond,Meremeta, Deepgreen etc