Mkuu tunduma huwezi weka makuu pale mpakani,ila ni mamlaka ya mji mdogoKahama, Tunduma ilifaa iwe makao makuu ya mikoa
Huu mji una bank nyingi kuliko jiji la TangaNi mji wenye benki nyingi sana
Kahama Tunduma Babati ni miji midogo inayoongoza kwa kuwa na gesti lodge nyingi
Ukiacha Sub, kuna mahotel nayoyajua karibia kumi na kitu hivi nayo yana maswimming pool, sehemu za kuchezea watoto n.k
Hebu yataje nikatalii huko..Ukiacha Sub, kuna mahotel nayoyajua karibia kumi na kitu hivi nayo yana maswimming pool, sehemu za kuchezea watoto n.k
Hata Shinyanga mjini haiingii Kahama.Huu mji una bank nyingi kuliko jiji la Tanga
Noma sana!Masai club bado ipo???..Chillers na pale bijampola kwa Malaya wachafu, Kahama pako vizuri hela ipo pale..
Nilichukuaga demu Masai hapo akajikojolea kitandani, dah aliharibu show yote..ujana shida sana..
Mm nazungumzia jiji ww unarudi tena kwenye manispaa Mkuu?Hata Shinyanga mjini haiingii Kahama.
Kahama inakata roho..mgodi umeshafungwa
Garii limeishawaka Kahama, kufungwa kwa migodi mikubwa haina impact kubwa kwa mji, Kahama haitegemei migodi mikubwa tu. Kuna migodi midogo ya wananchi ambao wakichimba mapato yao yanaingia kwenye mzunguko palepale mjini (Mwime, Mwabomba, Nyangarata). Kilimo cha mpunga, tumbaku, pamba, mahindi na Karanga ni moja ya vyanzo vikubwa vya mapato ya mji. Biashara za mifugo hasa ng'ombe wa kunenepesha, biashara za maduka makubwa ya jumla ambayo asilimia kubwa ya wateja ni wakulima wa kahama na baadhi ya miji ya karibu na mipakani.Kahama inakata roho..mgodi umeshafungwa
Kahama kuna migodi mingi Sana midogo midogo ukiacha mgodi mkubwa wa buzwagi na bulyanhulu kakola.mgodi umeichangamsha kahama subiri ufungwe...mwadui ikowapi saivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kahama imekua manispaa naona kuna sehemu umetaja meya, kiuhalisia halmashauri za wilaya na miji zina wenyeviti sio meyaMji wa Kahama ni miongoni mwa miji inayokua kwa kasi Tanzania. Shughuli kuu ya kiuchumi ni biashara ya Mazao, maduka ya jumla na rejareja, uchimbaji wa madini, kilimo na ufugaji. Idadi ya watu inaongezeka kila siku.
Shughuli za kiserikali
Kuna baadhi ya taasisi mjini hapa zina hadhi sawa na Mikoa au Manispaa. Taasisi hizo ni Mamlaka ya Maji KUWASA, Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) na TAKUKURU.
Pia Mji wa Kahama umeingizwa katika orodha ya miji inayofadhiliwa na mfuko wa Benki Kuu ya Dunia kujenga miundombinu kwenye Manispaa na Majiji. Chanzo cha habari hii ni Kwizera FM ilipokuwa ikifanya mahojiano na Meya wa mji wa Kahama bwana Abery Shija.
Viwanda
Katika kuunga mkono juhudi za Rais katika sekta ya Viwanda, Kahama inakua katika sekta ya viwanda huku tukishuhudia ujenzi wa viwanda na ufunguzi.
Tumeshuhudia ufunguzi wa kiwanda cha Mabati, Nondo n.k. Pia kiwanda cha kutengeza bidhaa za plastiki na kiwanda cha kukamua Mafuta. Pia kuna ujenzi mwingine unaendelea wa kiwanda cha kutengeneza Mifuko.
Mawasiliano na Uchukuzi
Kahama ni kati ya miji nane Tanzania ambayo ina viwanja vya ndege. Hivyo ukiwa Kahama unaweza safiri kwa basi au ndege.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijafika Bunda ila Kahama kuna guest nyingi sanaWilaya ya Bunda inaongoza kuwa na gesti nyingi, tena bei haizidi 5000, kila kona unayopita ni gesti, watu si kutinduana huko.