Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,819
- 9,171
HAHAHA MANO NASA RITAHA!!LIFUGUMA NA LEPOLEPO VIMA NAYA NGAGO PICHU. HAHAHAHAAA!
HAHAHA MANO NASA RITAHA!!LIFUGUMA NA LEPOLEPO VIMA NAYA NGAGO PICHU. HAHAHAHAAA!
Kwa bahati nzuri, watu wakiamua kumchagua mtu awe kiongozi wao, hawaangalii duniani wanafanyaje.Duniani, umewahi kumuona amiri jeshi kilema!! Majeshi hawaajili vilema.
Atakaguaje gwalide!!
Mkapa hayupo wa kutangatanga na kutishia wakurugenzi wachakachue matokeo, Bashite yuko kwenye mawe baada ya wapiga kura kumtapika na sasa mpigania haki Tundu Lissu kawasili kwa mapokezi yenye ujumbe mzito: CCM BYE BYE
Mei bi
Yule mropokaji ameshindwa kuvumilia kupumuliwa kisogoni, lakini aliyataka mwenyewe!
Utaendelea kutonielewa tu maana tatizo ni akili zakoSijakuwelewa!!!
Final Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.
Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!
Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"
Paskali
Jibu niliyokuuliza.. leo amepokelewa mgonjwa aliyepona.. Mola mwema.. kuongoza nchi hata wewe unafahamu.. hawezi..
Unakosea sana mkuu huwezi kumlinganisha Mandela na Lissu Lissu ni mwepesi mno kwa legendary Mandela muwe na adabu vijanaFinal Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.
Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!
Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"
Paskali