Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,161
- 26,668
mimi sioni kama huyo rais wa china anatupenda!jamani,NO PERMANENT FRIEND BT THERE IS PERMANENT INTEREST!....na HAZINA YA MTU ILIPO NDO MOYO WAKE ULIPO!...jamani waTZ its tym now,ifike sehem wananchi wanufaike na rasilimali zao sio kutegemea wahisani wakati tuna kila kitu,hakuna cha bure,na wala hawatupendi nao wanangalia nini watapata kutoka kwenye rasilimali zetu!
Inshort c wawekezaji bali ni wachukuaji!
...tuna sera nzuri,bt hatuna viongozi wa kuimpliment,wala wenye vision!
Inshort c wawekezaji bali ni wachukuaji!
...tuna sera nzuri,bt hatuna viongozi wa kuimpliment,wala wenye vision!