Ujio wa Iphone 6 November mosi

Haya wewe mwenyeji wa simu za bei mbaya endelea kubaki na imani yako wala sio lazima ukubali nilichosema ila subiri mwezi ujao simu itatangazwa then utaona mwenyewe.

Mimi huwa nimekuwa naulizaga bei za simu mara kwa mara Posta, Iphone ni wagumu kushusha bei ya bidhaa zao na ni mara nyingi bei zao huwa wanalenga kwa watu wenye pesa zao na si walala hoi. 6 Mil sio mchezo, hiyo simu ikija imezidi sana Milion 2 kwa kuwa ndo inaingia sokoni. Naunga mkono ulichosema, hiyo simu haiwezi kuuzwa kwa Milion 6.
 

mkuu una maana gan hapo kwenye red?
 
mkuu una maana gan hapo kwenye red?

simu inawekwa nakshi za gold au diamonds carats kadhaa. mfano unanunua simu maybe kwa mil 1,3 hafu na hayo madini kwa mil 3, designing costs na vingine jumla mil 6 hivi .
 
Hauna mpango wa ku-upgrade mac book pro hiyo?

MacBook air ni nzuri ila haina dvd rom,,hivyo siikubali sana. Pro bado ni nzuri na genuine,,air imeboreshwa muonekano tuu.
 
milion6 ...weeeee!!! mbona nackia itakuwa $1000 tu ....mi nmejipanga afu msilte utani bhana... milion6 atanunua mdg 'ke steve JObs
 
Ngoja itoke hiyo Iphone 6 ili hizi nyingine zishuke bei tununue
 
Ikitoka 6 me nanunua 4s itakuwa haina wateja
 
Ni kweli simu nzuri, na bei ipo juu kwa sisi wenye hali ya kawaida, ila inamatumizi gani ya ziada sana ambayo ni tofauti na hizi zingine tunazotumia huku kwetu? (ki miundombinu)
 
Nina uhakika hazifiki mil 6, zinaishia mil 2.5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ