hana pesa uyooo hana lolote alafu anasema tecno,wakati watu tunazungumzia iphone6 yaani man is hidebound" chukua iphone 6 kitu kinataka kulingana na bei ya gx100 au kiko bei sawa na vitz
Duh sasa hiyo ya kujijibu yenyewe wale wazee wa madeni sijui itakuwaje hapo, manake mtu akidaiwa simu ikipigwa anajifanya kama haioni, lakini kwa staili hii simu si itatoa siri zake sasa.
hana pesa uyooo hana lolote alafu anasema tecno,wakati watu tunazungumzia iphone6 yaani man is hidebound" chukua iphone 6 kitu kinataka kulingana na bei ya gx100 au kiko bei sawa na vitz
Aisee kweli tunatofautiana, yani me nawaza home nitaacha nini ili wale wengine wanapromote simu za 6m. mY God wherever you are please bless me. inshalah
Aisee kweli tunatofautiana, yani me nawaza home nitaacha nini ili wale wengine wanapromote simu za 6m. mY God wherever you are please bless me. inshalah
Haya wewe mwenyeji wa simu za bei mbaya endelea kubaki na imani yako wala sio lazima ukubali nilichosema ila subiri mwezi ujao simu itatangazwa then utaona mwenyewe.