Ommossani
Member
- Apr 13, 2013
- 53
- 20
Naona watz wengi wanampongeza Magufuli kwa maamuzi aliyoyafanya Mhimbili bila kukumbuka nn aliahidi wakat wa kampeni!!!
~Nakumbuka alisema serikali yake haitomvumilia wala kumbadilishia kituo cha kazi mtumishi wa umma atakaekua ameharibu kituoni kwake bali ataadhibiwa ikiwemo kufukuzwa kazi.
~Sasa yule jamaa wa mhimbili aliyepelekwa wizarani kwann hajafukuzwa au hana kosa?
~Nakumbuka alisema serikali yake haitomvumilia wala kumbadilishia kituo cha kazi mtumishi wa umma atakaekua ameharibu kituoni kwake bali ataadhibiwa ikiwemo kufukuzwa kazi.
~Sasa yule jamaa wa mhimbili aliyepelekwa wizarani kwann hajafukuzwa au hana kosa?