Ujinga wa MIGA, noah na CHADEMA

Ujinga wa MIGA, noah na CHADEMA

Sasa Tanzania ingekuwa China nani angebaki? EPA, ESCROW, KIWIRA, NYUMBA ZA SERIKALI, MV NINI SIJUI , hiyo ni mifano tu. Waliosaini mikataba mbovu - sidhani kama tungefika huku na wengi wasingekuwepo.
 
Babu inshort ni hvi ,,,hao ufipa watakutukana bure tu ,,,,coz walishaamua unyumbu tu juu yao,,,kuhusu noah hatakama ikijapatikana hela kiasi cha kukizi ni bora iwekezwe kwenye miradi mikubwa yenye manufaa kwa inchii ,,,naona kuna wapumbavu kana mtatiro ,kwinyara wanakaa kulia tumekosa noah ,,,wanawaza matumbo yao zaidi ya manufaa kwa taifa hii ndio upinzani wa sas
 
Babu inshort ni hvi ,,,hao ufipa watakutukana bure tu ,,,,coz walishaamua unyumbu tu juu yao,,,kuhusu noah hatakama ikijapatikana hela kiasi cha kukizi ni bora iwekezwe kwenye miradi mikubwa yenye manufaa kwa inchii ,,,naona kuna wapumbavu kana mtatiro ,kwinyara wanakaa kulia tumekosa noah ,,,wanawaza matumbo yao zaidi ya manufaa kwa taifa hii ndio upinzani wa sas
Nadhani ukiona noah hata ikipita njiani waweza ilenga na jiwe...kwa sasa kila mwana ccm akisikia neno noah anapata kiungulia kikali mno shingoni sijui kwa nini lakini
 
Pamoja na sheria au elimu zote tunazosoma, kitu muhimu kuliko vyote katika kuzitumia ni akili ya kawaida (common sense).
Chukua sana tahadhari ukiwa na mpumbavu asije akakuvunja jicho.
Pia mjibu au mtendee mpumbavu sawa sawa na upumbavu wake ili mambo yako yaende.
 
Anaandika mtanganyika halisi kuhusu kuropoka kwa wakili msomi na mahiri,post hii imfikie hukoNairobi

Lilipoanza sakata la makanikia kati ya kampuni ya Acacia na Serekali ya Tanzania na hatimae kulazimisha mwenye hisa kuu kampuni ya Barrick Ltd kubeba dhamana ya kutafuta suluhu alitokea anayeitwa WAKILI MAHIRI na kudai mambo mawili yote yakitaka serikali isizuie mali zilizokuwa zikitoroshwa. Hoja zake kuu zilikuwa mbili:

1. Kuna kitu inaitwa MIGA. Kwa kukurupuka kwake akaelezea MIGA kama Convention na hapohapo akatoa kirefu cha MIGA ambacho kinaonyesha MIGA ni Agency. Ukweli ni kuwa MIGA ni Agency. Ni taasisi ya arbitration (kutafuta suluhu).

MIGA si conventiom (Mkataba) kama alivyoropoka. Convention au Treaty au Agreement hufikiwa chini ya usimamizi wa au kwa niaba ya UN (Umoja wa Mataifa) au Kikundi cha Nchi. Mifano: ILO Convention on Freedom of Association and Collective Bargaining, UN Treaty on Non Proliferation of Nuclear Weapons, UN Framework Convention on Climate Change, UN Convention on Combating Deforestation and Desertification? Iran Nuclear Treaty, East Africa Treaty, etc.

Convention inaridhiwa kati ya nchi na nchi (Parties). Hata ICC japo ni taasisi msingi wake ni TREATY na waliohusika si kampuni bali nchi.

Kwa hiyo WAKILI MSOMI alikosea aidha kwa kutojua, kwa makusudi au kwa jazba kusema MIGA ni convention. Ni ishara ya uelewa finyu sana kuhusu CONVENTIONS. Inatia shaka sifa ya USOMI MAHIRI ikiwa WAKILI MAHIRI hajui CONVENTION ni nini!

2. WAKILI MSOMI alidai kisheria kuna madini SI MALI YA NCHI bali MALI YA MWEKEZAJI. Akimaanisha kuwa kitendo cha kuzuia mali ya mwingine ni uvunjifu wa sheria za kimataifa au makubaliano chini ya MIGA. Matukio ya BARICK kukubali kukaa meza moja na serikali ni ushahidi tosha kuwa MWANASHERIA MAHIRI alikuwa hajui asemacho, aliongopa au aliropoka. Ambaye alitaka tuamini tumezuia mali yake kakubali ana mapungufu na atayasahihisha. Ni ajabu na kioja ambaye tuliambiwa tunamdhulumu atende hivi!

Hoja zote mbili zimeingia shombo. Ingefaa sana MWANASHERIA MAHIRI angetueleza ni vipi MIGA haikutubamiza kama alivyoonya? Ni vipi alotuambia tunamdhulumu kwa kumzuia asiuze madini kaja kutafuta suluhu?

Hizi hadithi za kuwa kila mtu aliahidiwa Noah, tumepunjwa au waliongia mikataba washitakiwe ni njia ya hovyo ya kufunika fedheha!

Hivi tungefuata ushauri wa MWANASHERIA MAHIRI wangejadili vipi kupunjika? Wangepata vipi hizo Noah kwa kuachia madini yaibwe?

Hivi ingekuwa China MWANASHERIA MAHIRI angebaki salama? Yaani Rais atetee madini yasiibwe utoke huko na joho lako jeusi umwambie ACHA TUTASHITAKIWA tena upotoshe bado wakuache?

Watanzania wengi tunasema hata kama raisi angeokoa nusu kilo ya dhahabu TUKO PAMOJA NAYE

Wanaosubiri NOAH kila mtu yake huku wanasoma ALBADIRI na waendelee kusubiri.

TANZANIA KWANZA MADINI YETU KWANZA NOAH BAADAE
Hapa ni Tanzania! Wachina waachie uchina wao!
 
Anaandika mtanganyika halisi kuhusu kuropoka kwa wakili msomi na mahiri,post hii imfikie hukoNairobi

Lilipoanza sakata la makanikia kati ya kampuni ya Acacia na Serekali ya Tanzania na hatimae kulazimisha mwenye hisa kuu kampuni ya Barrick Ltd kubeba dhamana ya kutafuta suluhu alitokea anayeitwa WAKILI MAHIRI na kudai mambo mawili yote yakitaka serikali isizuie mali zilizokuwa zikitoroshwa. Hoja zake kuu zilikuwa mbili:

1. Kuna kitu inaitwa MIGA. Kwa kukurupuka kwake akaelezea MIGA kama Convention na hapohapo akatoa kirefu cha MIGA ambacho kinaonyesha MIGA ni Agency. Ukweli ni kuwa MIGA ni Agency. Ni taasisi ya arbitration (kutafuta suluhu).

MIGA si conventiom (Mkataba) kama alivyoropoka. Convention au Treaty au Agreement hufikiwa chini ya usimamizi wa au kwa niaba ya UN (Umoja wa Mataifa) au Kikundi cha Nchi. Mifano: ILO Convention on Freedom of Association and Collective Bargaining, UN Treaty on Non Proliferation of Nuclear Weapons, UN Framework Convention on Climate Change, UN Convention on Combating Deforestation and Desertification? Iran Nuclear Treaty, East Africa Treaty, etc.

Convention inaridhiwa kati ya nchi na nchi (Parties). Hata ICC japo ni taasisi msingi wake ni TREATY na waliohusika si kampuni bali nchi.

Kwa hiyo WAKILI MSOMI alikosea aidha kwa kutojua, kwa makusudi au kwa jazba kusema MIGA ni convention. Ni ishara ya uelewa finyu sana kuhusu CONVENTIONS. Inatia shaka sifa ya USOMI MAHIRI ikiwa WAKILI MAHIRI hajui CONVENTION ni nini!

2. WAKILI MSOMI alidai kisheria kuna madini SI MALI YA NCHI bali MALI YA MWEKEZAJI. Akimaanisha kuwa kitendo cha kuzuia mali ya mwingine ni uvunjifu wa sheria za kimataifa au makubaliano chini ya MIGA. Matukio ya BARICK kukubali kukaa meza moja na serikali ni ushahidi tosha kuwa MWANASHERIA MAHIRI alikuwa hajui asemacho, aliongopa au aliropoka. Ambaye alitaka tuamini tumezuia mali yake kakubali ana mapungufu na atayasahihisha. Ni ajabu na kioja ambaye tuliambiwa tunamdhulumu atende hivi!

Hoja zote mbili zimeingia shombo. Ingefaa sana MWANASHERIA MAHIRI angetueleza ni vipi MIGA haikutubamiza kama alivyoonya? Ni vipi alotuambia tunamdhulumu kwa kumzuia asiuze madini kaja kutafuta suluhu?

Hizi hadithi za kuwa kila mtu aliahidiwa Noah, tumepunjwa au waliongia mikataba washitakiwe ni njia ya hovyo ya kufunika fedheha!

Hivi tungefuata ushauri wa MWANASHERIA MAHIRI wangejadili vipi kupunjika? Wangepata vipi hizo Noah kwa kuachia madini yaibwe?

Hivi ingekuwa China MWANASHERIA MAHIRI angebaki salama? Yaani Rais atetee madini yasiibwe utoke huko na joho lako jeusi umwambie ACHA TUTASHITAKIWA tena upotoshe bado wakuache?

Watanzania wengi tunasema hata kama raisi angeokoa nusu kilo ya dhahabu TUKO PAMOJA NAYE

Wanaosubiri NOAH kila mtu yake huku wanasoma ALBADIRI na waendelee kusubiri.

TANZANIA KWANZA MADINI YETU KWANZA NOAH BAADAE
Yuko nyayo anasogezewa kopo la kunyea
 
Eti tunamtegemea Prof. Kibudu aridhiane na wazungu kwa niaba yetu. Pumbavu kabisa. Tumekosa vyote sasa, si trilioni 425 za kodi wala zile $ mil. 300 za kujenga uaminifu. Sasa CCM na Dikteta wao wamebaki kupayuka tu huku wameinamia chini kwa aibu mithili ya msukule aliyefumaniwa. Pumbavu kabisa, ziko wapi Noah zetu!?
 
Nakuunga mkono mkuu.huyu mtu anaeitwa wakili msomi tundu lissu hana tofauti na ndabaningi sithole na abel mzolewa.watetez wakubwa wa walowezi.mshahara wa msaliti ni mmoja tu.
Hebu kueni na aibu hata kidogo basi aliewafikisha kwenye hiyo vita yenu ni nani?
Kwa nini mnalaumu wasio husika?
Lisu alikuwepo wakati hiyo mikataba?
Hiyo ni vita yenu ya ndani malizaneni wenyewe huko wala hawalazimiki kuwaungu mkono.
 
Kwa hiyo WAKILI MSOMI alikosea aidha kwa kutojua, kwa makusudi au kwa jazba kusema MIGA ni convention. Ni ishara ya uelewa finyu sana kuhusu CONVENTIONS. Inatia shaka sifa ya USOMI MAHIRI ikiwa WAKILI MAHIRI hajui CONVENTION ni nini!
Wenyewe wanasema:
MIGA Convention
"The Convention Establishing the Multilateral Investment Guarantee Agency (MIGA) was submitted to the Board of Governors of the International Bank for Reconstruction and Development on October 11, 1985, and went into effect on April 12, 1988. The Convention was amended by the Council of Governors of MIGA effective November 14, 2010" Source:MIGA Convention. MIGA convention ndo convention iliyo eastablish MIGA the agency. Miga Convention ndo rules of the game na MIGA the agency ni player ambae anasimamia hizo rules of the game. Nani mwenye uelewa finyu hapa TL au Trump wa JF. Amua mwenyewe.
 
Hizo Noah kwani tuliziomba??si Sizonje ndio alimwambia Prof Uchwara aiweke hiyo ili kunogesha report yake ilipobuma ndio sisi tukajichagulia kunywa Balimi badala ya Castle light au Windhock kutokana na hali yetu ya kifedha ilivyo.
 
Hayo manyumbu acha yanyumulike,unasubiri Noah mwanaume mzima umening'iniza ...yako nyumbani bila kazi hiyo Ni akili kweli,
kwani si ndivyo walivyoambiwa kwenye ripot ya makinikia kuwa kiasi walichoibiwa kinafika noah noja kwa kila mtanzania
 
Huyo Lissu wenu alisema Tanzania itashitakiwa kwa sababu ya kuzuia makinikia,watu mkamshangilia ,haya wakati mnasubiri Noah zenu na sisi tunasubiri Tanzania ishitakiwe mahakama ya kimataifa kwa kuzuia makinikia Kama alivyosema huyo Tundu Lissu
 
Nyie watu tafuteni cha kufanya, mnazid kujidhalilisha na uvichwa panzi wenu.
Aibu hii sasa umeandika nini?
 
Mbona mnaandika kitu kile kile lakini mnaleta mabandiko kila sekunde? Hapo Ofisini kwenu leo hakuna wa kuwasimamia?
Hawa watu wanaboa..hivi wamefikia ukomo wa kufikiri ama ndio majukum yao lazima post ziende hewani? Kama ndio hvyo hizi kazi bora wazikatae mana zina wavua nguo.
 
Sasa Tanzania ingekuwa China nani angebaki? EPA, ESCROW, KIWIRA, NYUMBA ZA SERIKALI, MV NINI SIJUI , hiyo ni mifano tu. Waliosaini mikataba mbovu - sidhani kama tungefika huku na wengi wasingekuwepo.
Hata huyu anaeleta drama asingekuwepo hahahahahaa..
 
Mbona unasema watanzania sema wewe ukoo Wa kinabo usinijumuishe tena kwenye utumbo wako
 
Back
Top Bottom