Hili ni ndilo tatizo la msingi na linatokana na na umasikini na mfumo wa elimu usiowaandaa vijana ku-reason kwa ufasaha. Wengi wao ni waoga, hawajiamini na wamejaa hofu kubwa. Suluhisho litapatikana pale itakapoongezeka idadi ya walioelimika kwa ufasaha, kuongezeka kwa tabaka lenye kujimudu kiuchumi na waliojiajiri na wenye exposure.
Umasikini na elimu duni ndiyo chanzo kikuu cha hali hii. Kote duniani watawala upenda kukandamiza na kutumia hila na nguvu kuendelea kutawala. Kwa hiyo km watawaliwa hawatabaini na kusimamia maamuzi yao kwa kuchagua watu ambao walau wata-balance maslahi ya pande zote 2, jamii hiyo itaendelea kuteseka.
Sent from my SM-J530F using
JamiiForums mobile app