We jamaa mbona huwa unapenda sana kuzungumzia mambo ya Tanzania,nini kinakuwasha na hii nchi ?
Kwenye Corona ulipiga sana kelele,ulibwabwaja hadi mate yakakutoka kama mvua,uliwanga na kwenda waganga wote,hebu ongelea mambo ya nchi yako aise,Tanzania achana nayo.
Hatuwezi kuwapa Nchi wapinzani hata siku moja.
Upinzani hawana msimamo hata kidogo.
Kule upinzani wamejaa wapiga dili watupu
Huja acha bado ujinga wako we mjinga....!!!Ujinga ni kuendelea kuamini kwamba Upinzani ni wapiga dili, huku dili fake zote zikipigwa na viongozi wa CCM
Ujinga ni kukubali kutawaliwa na FEAR of unknown juu ya Upinzani
Ujinga ni kuendelea kuamini kwamba maendeleo yataketwa na ccm ikiwa itaendelea kuwa madarakani ; bila ya kufaham kwamba hakuna nchi iliyoendelea kwa chama kimoja kutawala
Ujinga ni kushindwa kutambua kwamba maendeleo yataweza kuja endapo tu CCM itakuwa na hofu ya kupoteza kiti cha urais
Ujinga ni kuendelea kuwa Mjinga
Ukweli ni kwamba, hatuwezi kuuza NchiUjinga ni kuendelea kuamini kwamba Upinzani ni wapiga dili, huku dili fake zote zikipigwa na viongozi wa CCM
Ujinga ni kukubali kutawaliwa na FEAR of unknown juu ya Upinzani
Ujinga ni kuendelea kuamini kwamba maendeleo yataketwa na ccm ikiwa itaendelea kuwa madarakani ; bila ya kufaham kwamba hakuna nchi iliyoendelea kwa chama kimoja kutawala
Ujinga ni kushindwa kutambua kwamba maendeleo yataweza kuja endapo tu CCM itakuwa na hofu ya kupoteza kiti cha urais
Ujinga ni kuendelea kuwa Mjinga
Ujinga ni kuamini chadema itashindaUjinga ni kuamini kwamba CCM ndio watu sahihi wa kuongoza Taifa la Tanzania; Kwamba, WAPINZANI wataharibu nchi ikiwa watapewa Ridhaa ya kuongoza.
Ujinga ni Kuamini kwamba, yeyote anaejaribu kuonesha nguvu za kuitoa CCM madarakani kwa mujibu wa kisheria na kikatiba kwa kutumia kura za wananchi huyo NI MPINZANI na anahatarisha AMANI YA NCHI.
Ujinga ni kuamini kwamba AMANI ya nchi inaletwa kwa uwepo wa CCM madarakani
Ujinga ni kuamini kwamba Ukiwa MPINZANI mwenye maono tofauti na UTAWALA, wewe ni MSALITI/ BEBERU, UNATUMIKA, MCHOCHEZI, MVUNJIFU AMANI
UJINGA ni kuhubiria AMANI huku haki za MSINGI za wapinzani zikiminywa na Kubakwa
Ujinga ni kuamini kwamba TANZANIA kuna AMANI huku mitandao ya kijamii ikizimwa na kuwa deactivated.
Ujinga ni kuamini kwamba TUNDU anatumwa na MABEBERU kuja kutuharibia AMANI ya nchi; huku, watu 9 wakiuliwa huko ZANZIBAR na vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama kwa kuhakikisha wanamchagua Rais wa matakwa yao.
Ujinga ni kushindwa kujiuliza AMANI tunayoihubiri kuwa tutaiharibu; Ni nani atakayeiharibu? na je itaharibiwa vipi ? na Nani? na kwa Vipi? Ujinga ni kuficha Uovu nyuma ya neno AMANI.
Ujinga ni kutokujua kwamba KAZI ya Tanzania Intelligence Security Services ni kuilinda Serikali iliyopo madarakani dhidi ya kupinduliwa au kuondolewa MADARAKANI kinyume na Utaratibu uliowekwa KIKATIBA kama vile Upigaji kura ( TISS ACT, 1996); Halikadhalika, Ujinga ni kuamini kwamba KAZI ya TISS ni kuitetea serikali iliyopo madarakani kuendelea kuwepo madarakani hata wakati wa upigaji kura kikatiba na kisheria
Ujinga ni kuamini kwamba CHADEMA IKISHINDA basi nchi itakuwa na UKABILA WA KIKANDA; Ikama kuna chuki fulani dhidi ya KASKAZINI huku asilimia 75 ya teuzi za awamu ya 5 ni Kanda ya Ziwa.
Ujinga ni watumishi wa UMMA , wanafunzi na wafanyabiashara kushindwa kujua sehemu sahihi ya kuelekeza kura zao ili Kufanya mabadiliko ya kweli na kuleta maslahi mapana ya TAIFA
UJINGA ni kukubali kutatuliwa shida zenu kwenye MIKUTANO ya kampeni kama vile ukosefu wa Nguzo za Umme BABATI hali ya kuwa malipo yalishafanywa takribani mwaka mzima. Inamaana hili lilikuwa halijuiikani? Ujinga ni kushidwa kujua kuwa hawa watu hawapo SERIOUS.
Tumia nafasi ya kubadili karatasi ya kupiga kura kubadili maamuzi yako. Toa Maamuzi sahihi kwa maslahi mapana ya Taifa.
Ujinga ni kuendelea kuamini kwamba Upinzani ni wapiga dili, huku dili fake zote zikipigwa na viongozi wa CCM
Ujinga ni kukubali kutawaliwa na FEAR of unknown juu ya Upinzani
Ujinga ni kuendelea kuamini kwamba maendeleo yataketwa na ccm ikiwa itaendelea kuwa madarakani ; bila ya kufaham kwamba hakuna nchi iliyoendelea kwa chama kimoja kutawala
Ujinga ni kushindwa kutambua kwamba maendeleo yataweza kuja endapo tu CCM itakuwa na hofu ya kupoteza kiti cha urais
Ujinga ni kuendelea kuwa Mjinga
Ujinga ni kuamini kwamba CCM ndio watu sahihi wa kuongoza Taifa la Tanzania; Kwamba, WAPINZANI wataharibu nchi ikiwa watapewa Ridhaa ya kuongoza.
Ujinga ni Kuamini kwamba, yeyote anaejaribu kuonesha nguvu za kuitoa CCM madarakani kwa mujibu wa kisheria na kikatiba kwa kutumia kura za wananchi huyo NI MPINZANI na anahatarisha AMANI YA NCHI.
Ujinga ni kuamini kwamba AMANI ya nchi inaletwa kwa uwepo wa CCM madarakani
Ujinga ni kuamini kwamba Ukiwa MPINZANI mwenye maono tofauti na UTAWALA, wewe ni MSALITI/ BEBERU, UNATUMIKA, MCHOCHEZI, MVUNJIFU AMANI
UJINGA ni kuhubiria AMANI huku haki za MSINGI za wapinzani zikiminywa na Kubakwa
Ujinga ni kuamini kwamba TANZANIA kuna AMANI huku mitandao ya kijamii ikizimwa na kuwa deactivated.
Ujinga ni kuamini kwamba TUNDU anatumwa na MABEBERU kuja kutuharibia AMANI ya nchi; huku, watu 9 wakiuliwa huko ZANZIBAR na vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama kwa kuhakikisha wanamchagua Rais wa matakwa yao.
Ujinga ni kushindwa kujiuliza AMANI tunayoihubiri kuwa tutaiharibu; Ni nani atakayeiharibu? na je itaharibiwa vipi ? na Nani? na kwa Vipi? Ujinga ni kuficha Uovu nyuma ya neno AMANI.
Ujinga ni kutokujua kwamba KAZI ya Tanzania Intelligence Security Services ni kuilinda Serikali iliyopo madarakani dhidi ya kupinduliwa au kuondolewa MADARAKANI kinyume na Utaratibu uliowekwa KIKATIBA kama vile Upigaji kura ( TISS ACT, 1996); Halikadhalika, Ujinga ni kuamini kwamba KAZI ya TISS ni kuitetea serikali iliyopo madarakani kuendelea kuwepo madarakani hata wakati wa upigaji kura kikatiba na kisheria
Ujinga ni kuamini kwamba CHADEMA IKISHINDA basi nchi itakuwa na UKABILA WA KIKANDA; Ikama kuna chuki fulani dhidi ya KASKAZINI huku asilimia 75 ya teuzi za awamu ya 5 ni Kanda ya Ziwa.
Ujinga ni watumishi wa UMMA , wanafunzi na wafanyabiashara kushindwa kujua sehemu sahihi ya kuelekeza kura zao ili Kufanya mabadiliko ya kweli na kuleta maslahi mapana ya TAIFA
UJINGA ni kukubali kutatuliwa shida zenu kwenye MIKUTANO ya kampeni kama vile ukosefu wa Nguzo za Umme BABATI hali ya kuwa malipo yalishafanywa takribani mwaka mzima. Inamaana hili lilikuwa halijuiikani? Ujinga ni kushidwa kujua kuwa hawa watu hawapo SERIOUS.
Tumia nafasi ya kubadili karatasi ya kupiga kura kubadili maamuzi yako. Toa Maamuzi sahihi kwa maslahi mapana ya Taifa.
Ujinga mwengine huu hapa [emoji116][emoji116]
View attachment 1616802
Alafu kinacho sikitisha waliofanya huu ujinga bado wapo kwenye chama na wengine nao wameomba wachaguliwe mwaka huu.Wao wenyewee hawajiamini ndio maana wakachukua hela mtu wa CCM na kumpa nafasi ya kugombea urais.
Watu nao mwaka huu wakaamua kufanya walichofanya wao 2015 ,kwa kumpa mtu wa CCM.
Ujinga nikuamini kwamba TISS ipo kwa maslahi ya Nchi
Ujinga ni kuamini kwamba TISS ina watu wenye uwezo wa hali ya juu
Diwani na wenzie sijui wanawaza nn
NAKAZIA.Kama unaipenda ccm kutoka moyoni mwako kabisa na hauipendi kinafiki kwa sababu ya maslahi ukiamini Ni chama bora Sana NI UJINGA
Hio ilikuwa mipango kazi ya kuivuruga upinzan.....nyie chichiemu mungu anawaona.Na Mbowe alipiga Mpunga kweli kwa EDO Halafu akawatosa wenzie .
Kumbuka Lowassa kipindi hiko alikuwa hajui hata kuongea Vitu vikaeleweka lakini Mbowe the Opportunist alizunguka na Edo nchi nzima. Mwaka Huu Tundu very energetic and smart, jamaa kamuachia mshikaji mwenyewe
Ujinga ni kuamini kuwa Mbowe the Opportunist yu pamoja na Lissu.
Mwaka huu Lissu kazunguka nchi nzima pekee yake, hakuna support ya mwenyekiti, inawezekana vipi? Wakati hata Jk alikuwa akimpa support Ngosha.
Upinzani wetu ni wakipumbavu na Ngosha kafanya la maana kuwapa Discipline. Wote Out. Wengi ni wanafiki na hawapo real.
Bungeni kazi yao kugoma goma na kutoka nje , na wakitoka nje yanaenda kulala Hotel na kucheza games, night clubs , pombe na Uzinzi na kuvunjika viungo vya mwili.
Ngosha kawapa Displine. Nilikuja kuudharau upinzani walipo mpokea Edo , mara hii wamempokea yule stupid man mmwera who was playing their minds all the time, almost always.
Natamani Ngosha afute upinzani Wote tuanze moja. Futilia Mbali . Kila Uchaguzi Mbowe, Seif , ZZK, Lipumba ina maana hawa ndio smart kushinda wengine, watu wenyewe ni Mazeee.
TISS ina watu wenye uwezo; Ujinga ni kukubali DG wa TISS awe under Presidential appointment.
DG wa TISS akiwa under Presidential Appointment Maana yake ni lazima wawe incorporated Kwenye political affairs which makes it easy for him to obey orders and Instruction.
TISS Act ya 1996 iliyosainiwa na Benjamin Mkapa mwaka 1997, imeweka wazi majukumu ya kitengo cha TISS ambacho kabla ya mwaka 1996, kitengo cha TISS kilikuwa chini ya ofisi ya Rais until the act came into existence na kwa sasa inakuwa kama ni independent department( Under Cover) ikiwa na majukumu ya kumlinda Rais asiondolewe madarakani nje ya utaratibu wa kikatiba, mfano kupinduliwa.
Once it comes about Uchaguzi unaotambulika kikatiba, TISS wanapaswa kukaa mbali , kazi yao iwe ni ile ile to collect any intelligence ( sabotage, espionage, terrorism) which compromise our security, and submit to appreciate department for further actioning
Suala la ulinzi Kwenye uchaguzi ni kazi ya jeshi la polisi. Rais akishatangazwa, TISS watahamia kwa Rais Mteule Kumpatia ulinzi kwa mujibu wa kikatiba sheria.
Shida ni Katiba na Mamlaka aliyekuwa nayo Rais. Huwa napata wakati Mgumu sana mtu akimsifia Nyerere, eti the father of the National. My foot ! Alijenga katiba ambayo inaliangamiza TAIFA to the bones.
CCM OYEEE! JPM Forever
Ujinga ni kuamini kwamba CCM ndio watu sahihi wa kuongoza Taifa la Tanzania; Kwamba, WAPINZANI wataharibu nchi ikiwa watapewa Ridhaa ya kuongoza.
Ujinga ni Kuamini kwamba, yeyote anaejaribu kuonesha nguvu za kuitoa CCM madarakani kwa mujibu wa kisheria na kikatiba kwa kutumia kura za wananchi huyo NI MPINZANI na anahatarisha AMANI YA NCHI.
Ujinga ni kuamini kwamba AMANI ya nchi inaletwa kwa uwepo wa CCM madarakani
Ujinga ni kuamini kwamba Ukiwa MPINZANI mwenye maono tofauti na UTAWALA, wewe ni MSALITI/ BEBERU, UNATUMIKA, MCHOCHEZI, MVUNJIFU AMANI
UJINGA ni kuhubiria AMANI huku haki za MSINGI za wapinzani zikiminywa na Kubakwa
Ujinga ni kuamini kwamba TANZANIA kuna AMANI huku mitandao ya kijamii ikizimwa na kuwa deactivated.
Ujinga ni kuamini kwamba TUNDU anatumwa na MABEBERU kuja kutuharibia AMANI ya nchi; huku, watu 9 wakiuliwa huko ZANZIBAR na vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama kwa kuhakikisha wanamchagua Rais wa matakwa yao.
Ujinga ni kushindwa kujiuliza AMANI tunayoihubiri kuwa tutaiharibu; Ni nani atakayeiharibu? na je itaharibiwa vipi ? na Nani? na kwa Vipi? Ujinga ni kuficha Uovu nyuma ya neno AMANI.
Ujinga ni kutokujua kwamba KAZI ya Tanzania Intelligence Security Services ni kuilinda Serikali iliyopo madarakani dhidi ya kupinduliwa au kuondolewa MADARAKANI kinyume na Utaratibu uliowekwa KIKATIBA kama vile Upigaji kura ( TISS ACT, 1996); Halikadhalika, Ujinga ni kuamini kwamba KAZI ya TISS ni kuitetea serikali iliyopo madarakani kuendelea kuwepo madarakani hata wakati wa upigaji kura kikatiba na kisheria
Ujinga ni kuamini kwamba CHADEMA IKISHINDA basi nchi itakuwa na UKABILA WA KIKANDA; Ikama kuna chuki fulani dhidi ya KASKAZINI huku asilimia 75 ya teuzi za awamu ya 5 ni Kanda ya Ziwa.
Ujinga ni watumishi wa UMMA , wanafunzi na wafanyabiashara kushindwa kujua sehemu sahihi ya kuelekeza kura zao ili Kufanya mabadiliko ya kweli na kuleta maslahi mapana ya TAIFA
UJINGA ni kukubali kutatuliwa shida zenu kwenye MIKUTANO ya kampeni kama vile ukosefu wa Nguzo za Umme BABATI hali ya kuwa malipo yalishafanywa takribani mwaka mzima. Inamaana hili lilikuwa halijuiikani? Ujinga ni kushidwa kujua kuwa hawa watu hawapo SERIOUS.
Tumia nafasi ya kubadili karatasi ya kupiga kura kubadili maamuzi yako. Toa Maamuzi sahihi kwa maslahi mapana ya Taifa.