Mkuu kiukweli nakubaliana na wewe kuwa wakati mwingine haya tunayoyaita 'malimbwata' ni suala la 'love addiction'...Wanasayansi hivi sasa wanakiri kwamba, huwa inatokea mpenzi akamshika mpenzi wake kwenye akili, yaani akili yako inaweza kushikwa na mpenzi wako na ukasumbuka sana. Kwenye lugha za mitaani hali hiyo inaitwa kushikwa au wengine huita Limbwata.
Kwenye kitabu kiitwacho, Why we Love: The nature and Chemistry of Romantic Love, mtafiti Helen Fisher anasema, kuna usugu ambao hujengwa kwenye akili ya mpenzi, sawa na usugu unaojengwa na sigara kwenye akili ya mvutaji kiasi kwamba, ni vigumu sana kukubali kuachwa au kuachana naye, hata kama anakutesa na kukuuwa.Eneo la ubongo ambalo linakuwa na mabadiliko pale mtu anapomwona na kumfikiria mpenzi wake, ni eneo hilo hilo linalokuwa na mabadiliko wakati mtu anapotumia madawa ya kulevywa.
Hii ina maana kwamba, kama inavyotokea mtu akashindwa kutoka kwenye ulevi hadi anakuwa sugu, ndivyo inavyotokea kwa baadhi ya watu wanapopenda.Hivi sasa tafiti zinathibitisha kwamba, mtu anapoingia kwenye hali ya kupenda kusiko na kizuizi, yaani kushikwa, sehemu inayohusika kwenye ubongo huonesha dalili zote ambazo hujionesha mtu anapobwia dawa ya kulevywa aina ya Cocaine, kama vile kukosa usingizi, kushindwa kujua hata muda au kutojali kuhusu muda na kuweka nguvu kwenye penzi, kiasi cha kutojali maumivu yake au ya wengine wanaomzunguka.
Inaelezwa kwamba, mtu anapoathiriwa kwenye eneo hilo la ubongo na mapenzi, anakuwa hawezi kupambanua mambo, kwani eneo la mantiki ubongoni linakuwa limezuiwa kufanya kazi. Ndio maana mtu anaposhikwa kwenye mapenzi anaonekana wazi hatumii akili, kwani hushindwa kuona ukweli hata ule mdogo kabisa.
Mkuu kiukweli nakubaliana na wewe kuwa wakati mwingine haya tunayoyaita 'malimbwata' ni suala la 'love addiction'...
Tatizo linakuja hasa mule nilipobold..mfano unaposema 'mtu kumshika' mpenzi..ofcoz hapa ndipo pale watu huwa tunachanganyikiwa..manake hilo neno liko 'too general'..kumshika kivipi???..kwa maoni yangu lazima kuwe na kitu katika mapenzi ambacho mmojawapo katika wanandoa anajua kabisa mwezangu is 'fond' wa hii kitu sasa hapo ndipo 'unapozidishiwa dozi'..
Na pia Usugu unaousema sijauelewa unakujaje hasa kama tutayatazama mapenzi au maisha ya ndoa 'in practice' zaidi kuliko nadharia...to me there should be something from kwa mwenzako in imperical wise ambayo itlaeta huo usugu..je ni nini??..Limbwata???..au something else?..
Lastly unasema mtu anapoingia kwenye mapenzi pasi na kushikwa/kizuizi..Hivi kumpenda mwenzio bila mipaka ni suala la 'hiari' au 'there is an 'invisible hand'??...na kwa nini hii 'love addiction' sio suala la kudumu??..manake ni rahisi kuwaona watu waliopendana sana kuchukiana ndani ya kipindi kifupi..na watu kushangaa..je? hii inakuwaje manake mateja huwa hawatoki mapema kwenye uteja wao..why not kwenye mapenzi??..do we need rehab?????....nakubaliana na hawa wanasayansi kwa kiasi kidogo, however on the other side naamini limbwata lipo..though sio lazima liwe katika dhana ya 'ushirikina'....
JD alipoimba teja wa mapenzi sina uhakika kama alilijua hili, but she got it right! Kuna uteja wa mapenzi na unakuwa teja haswaa!! Yaani kama ni mke anaweza kuwa anachukuliwa nawe unajua kuwa anachukuliwa lakini umo tu, sana sana utapambana naye halafu unamuomba msamaha akikununia. Ohhh gosh, this is real man!!
Knowing this helps alot!
Mkuu kiukweli nakubaliana na wewe kuwa wakati mwingine haya tunayoyaita 'malimbwata' ni suala la 'love addiction'...
Tatizo linakuja hasa mule nilipobold..mfano unaposema 'mtu kumshika' mpenzi..ofcoz hapa ndipo pale watu huwa tunachanganyikiwa..manake hilo neno liko 'too general'..kumshika kivipi???..kwa maoni yangu lazima kuwe na kitu katika mapenzi ambacho mmojawapo katika wanandoa anajua kabisa mwezangu is 'fond' wa hii kitu sasa hapo ndipo 'unapozidishiwa dozi'..
Na pia Usugu unaousema sijauelewa unakujaje hasa kama tutayatazama mapenzi au maisha ya ndoa 'in practice' zaidi kuliko nadharia...to me there should be something from kwa mwenzako in imperical wise ambayo itlaeta huo usugu..je ni nini??..Limbwata???..au something else?..
Lastly unasema mtu anapoingia kwenye mapenzi pasi na kushikwa/kizuizi..Hivi kumpenda mwenzio bila mipaka ni suala la 'hiari' au 'there is an 'invisible hand'??...na kwa nini hii 'love addiction' sio suala la kudumu??..manake ni rahisi kuwaona watu waliopendana sana kuchukiana ndani ya kipindi kifupi..na watu kushangaa..je? hii inakuwaje manake mateja huwa hawatoki mapema kwenye uteja wao..why not kwenye mapenzi??..do we need rehab?????....nakubaliana na hawa wanasayansi kwa kiasi kidogo, however on the other side naamini limbwata lipo..though sio lazima liwe katika dhana ya 'ushirikina'....
Very likely! Unakuwa kama msukule mbele ya mpenzi anayekutesa. Kwa hiyo strategy ya kutoka itakuwa ni kama ile ile ya kuachana na madawa ya kulevya, Bangi au ulevi wa kupindukia wa pombe. Yaani unapunguza pole pole. Sasa kwenye mapenzi naona hii ni ngumu sana, unapunguza pole pole kitu gani? Kuonana na huyo mpenzi, kushirikiana naye kimapenzi, kuwasiliana naye? This is tricky!
Akiwa ni mke/mme you are in more trouble kwa sababu you see each other every now and then! But I guess you may start by living in different rooms! Then differrent houses. Problem is usually the resources! Kwa wale wenye mshiko wa kutosha, it is not a very big issue. Mpenzi akisumbua una-sepa. Kama ni Mke/Mme, unahamia nyumba ya Tabata; unamwacha aendelee kukaa Kinondoni and the story ends there!
Yeah, it is really very difficult. But it is not impossible if you are determined!