The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,381
- 2,553
Lissu The GreatMbunge wa Singida Mashariki Mhe Tundu Lissue Leo amevunja record ya kuangaliwa na watu millioni 417 duniani kwenye studio za Dw Ujerumani, kwa huyo record amekuwa mwanasiasa kutoka Africa kuangaliwa na watu wengi kuliko wote
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !Kupigwa risasi 38 na bado upo hai kila mtu lazima apate hamu ya kukuona
Utakapoumia sana kiasi ukawa huyahisi tena maumivu, tambua kuwa maumivu yamepoa, yazike katika kaburi la 'sahau'... Songa mbele kwa hamasa.Mbunge wa Singida Mashariki Mhe Tundu Lissue Leo amevunja record ya kuangaliwa na watu millioni 417 duniani kwenye studio za Dw Ujerumani, kwa huyo record amekuwa mwanasiasa kutoka Africa kuangaliwa na watu wengi kuliko wote
Na sio Jiwe? Au hayupo?Mmoja wapo ni Mfugale.
Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Hehe he mlitukataza tusimuombe lakini albadir zilisomwaMwambie aacuhe kelele 555
kwani Iraq na Libya hazikuwa hivyo ?Tanzania is a sovereignty state!
Lissu ni mtu timamu sana anachokifanya anajua matokeo yake na anaelewa kila kitachojiliKm walotaka muua ni kwa sababu za harakati zake kisiasa,niamini jamaa kwa anachokifanya sasa nje atarudi na hatafanywa chochote maana tunaishi kwa nguvu ya siasa na serikali za ulaya,
Lkn km ni majambazi wa kawaida sidhani km watawaza kurudia tena,warudie ili?
Lkn km walofanya ni kwa sababu za uadui labda hao wanaweza rudia lkn pia safari hii itawaghalimu maana serikali naamini inapata mbinyo wa kumlinda kuepuka kuchafuka vibaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuna kamati yetu ya walogi tumeanza kazi lazima kiongozi mkubwa CCM apoteeHehe he mlitukataza tusimuombe lakini albadir zilisomwa
Ninasikia mmeanza kukimbia bundi kule Dodoma 😂😂😂😂
Aliye jaa chuki nakisasi na hasira mbona huko wazi nchi hii. Jiwe anasifa zote hizo tens akizionyesha kwa vitendo kwa kutumia hela zetu. Usimnyang'anye cheo chake na kumtwisha asiye stahili. Nikama mbingu na ardhi.Huyu bwege kashapoteza track hata hajui anafanya siasa kwa faida ya nani. Amejaa chuki kisasi na hasira. Atashirikiana hata na shetani ili kuidhuru nchi yake. Tayari anafanya mikutano na mashoga kuihujumu serikali ya tz wakati ulimwengu wote wanamsifu jpm kwa kuiongoza nchi vizuri na kuweza kupats mafanikio mengi katika muda mfupi.
MaumivuChadema wenzangu njoo tuchangilie.interview za lisu zinaongeza ruzuku Chadema
Alisema wapinzani watapata tabu sana, sasa kibao kimemgeukia na atapata tabu haswaaaJiwe anavuliwa nepi kila siku
Wazalendo was nchi yetu ukiondoa wavamizi was Burundi na RwandaWewe na nani?
Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Tuna kamati yetu ya walogi tumeanza kazi lazima kiongozi mkubwa CCM apotee
Mama au punga hiloHebu soma vizuri ulichoandika we mama