Ujerumani ni "Shamba la Bibi", na sisi tunangoja nini?

Ujerumani ni "Shamba la Bibi", na sisi tunangoja nini?

Tatizo ni kupata hao watu wenye uelewa mzuri wa historia na kwenda na hoja za maana kutetea hayo maslahi, lasivyo utashangaa sisi ndiyo tunatiwa hatiani. Hao watu hawana maana.
 
utakuta mtu huyo anasomea diplomasia kurasini.

acha dharau wewe kumbuka kuna kukosea hauwezi kukumbuka kila kitu...halafu china na japani ni nchi zilizo karibu na hata watu wake wanafanana sana kuanzia kimo hadi sura...
 
Jaribu na wewe bahati yako, labda na wewe utalipwa.
 
acha dharau wewe kumbuka kuna kukosea hauwezi kukumbuka kila kitu...halafu china na japani ni nchi zilizo karibu na hata watu wake wanafanana sana kuanzia kimo hadi sura...

Nilikaa na mchina mmoja Dar nikamwambia mnafanana sana. Naye alinijibu kuwa hata sisi weusi tunafanana sana
 
Barbarosa

Change ya rada iliyorudishwa na serikali ya Uingereza ilienda wapi?
 
Last edited by a moderator:
kuna yule mnyama wa zamani wanamtumia hadi sasa lakini hatupati hata senti tano kwa uongozi na wabunge tulionao ni vigumu kulipwa fidia
 
acha dharau wewe kumbuka kuna kukosea hauwezi kukumbuka kila kitu...halafu china na japani ni nchi zilizo karibu na hata watu wake wanafanana sana kuanzia kimo hadi sura...
Wewe acha upumbavu China na Japan tofauti kabisa, kaeni mjifunze kabla ya kupost hakikini mnachokituma.
 
kuna watu humu mkuu ni kama wanajiona malaika
Kubali kosa , jifunze sio una mbwela mbwela.Siku nyingine natumai hautorudia kosa.Hamna mkamilifu lakini makosa mengine hayakubaliki sawa sawa useme Majimaji imepiganwa Kenya na Maumau imepiganwa na Wamatumbi Tanzania.
 
Back
Top Bottom