Ujerumani ni "Shamba la Bibi", na sisi tunangoja nini?

Ujerumani ni "Shamba la Bibi", na sisi tunangoja nini?

Wewe acha upumbavu China na Japan tofauti kabisa, kaeni mjifunze kabla ya kupost hakikini mnachokituma.

wewe Ndio mpumbavu kwanini usingemuelewesha pale alipo kosea? badala yake mmeanza kumkejeli 'eti atakuwa amesomea diplomasia pale kurasini'.
Acha hizo ndugu yangu kukosea kupo na hata wewe utakuja kukosea.
acheni kejeli zenu, mtu akikosea mrekebishe.
 
wewe Ndio mpumbavu kwanini usingemuelewesha pale alipo kosea? badala yake mmeanza kumkejeli 'eti atakuwa amesomea diplomasia pale kurasini'.
Acha hizo ndugu yangu kukosea kupo na hata wewe utakuja kukosea.
acheni kejeli zenu, mtu akikosea mrekebishe.
Kuna aina ya kukosea ndio maana sio kila mtu ana comment humu , kama kitu hauna uhakika nacho nyamaza unaacha wanaojua wa"comment" ili ujifunze, hakikini vitu vyenu kabla ya kutuma amasivyo ndio madhara mnayokutana nayo hapa mnajiona kama mmedharauliwa.
 

Attachments

  • 1436420842515.jpg
    1436420842515.jpg
    13.9 KB · Views: 74
Back
Top Bottom