Ujenzi wa Reli ya Benguela (Lobito Port - Kubumbashi) kunaenda kuua Bandari ya Dar

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,054
49,738
Nchi za Angola,DRC na Zambia zimetenga zaidi ya Rand Bilioni 10 Kwa Ajili ya kufufua reli ya Benguela inayoziunganisha Nchi hizo..

Marais wa Nchi hizo 3 walikutana kwenye Mji wa Bandari wa Lobito Ili kufufua ufanyaji kazi wa Reli hiyo ambayo ilisimama kutokana na shida za vita Nchini Angola..

Ikumbukwe kutoka Lobito Port Hadi Lubumbashi ni km 1300 tuu wakati kutoka Dar Hadi Kapiri Mposhi via Tazara ni zaidi ya km 1860.

map-lobito_1_orig.jpg


Wakizungumza Mjini Lobito,Marais hao walisema Msongamano mkubwa na Ufanisi mdogo kwenye bandari za Afrika Mashariki(Dar es salaam) ni sababu iliyopelekea kufikiria njia mbadala Ili kupunguza gharama za uendeshaji
Screenshot_20230706-195546_1.jpg


Reli hiyo itaendeshwa na kusimamiwa na kampuni binafsi ya The Lobito Atlantic Railway ambayo ni ubia wa makampuni binafsi Ili kuongeza Ufanisi wa biashara..


My Take
Wenzetu wanakabidhi uendeshaji wa reli na Bandari Kwa kampuni binafsi sisi tunaendelea kubishana,Wacha wakimbie mtakuwanapigia picha hizo reli na Bandari na bahati mbaya ukiacha Ufanisi mdogo pia reli yetu ni mbali zaidi.
RVR-Map-ALL-ROUTES-doc.jpg
 
Mkuu,

Kwa hiyo wenzetu wakila mavi na sisi tule mavi?

Unajuaje kwamba walichofanya ndicho sahihi?

Pia, kwani watu wanakataa kukabidhi bandari kwa kampuni binafsi au wanakataa mkataba mbovu?
Wewe utakuwa mpumbavu wa Hali ya Juu,kati Yao na wewe nani anakula mavi?

Acheni muone matokeo yake mtavuna mnachopanda kwani Libandari Cha nani kitakuwa iddle?

Zambia na DRC ndio hizo zinaenda kupotea kama soko kuu la Bandari ya Dar.
 
Propaganda zako za kihuni na kuokota okota vitaarifa uchwara ili kutuaminisha ujinga wa DP world , jitahdi upeleke Facebook watakuelewa , huku hakuna form four failure wa kumlaghai .... Sjui hao Lubumbashi ndo walijenga Bandar ya DSM ... Kuzaliwa Ludewa nako taabu tupu,
 
Propaganda zako za kihuni na kuokota okota vitaarifa uchwara ili kutuaminisha ujinga wa DP world , jitahdi upeleke Facebook watakuelewa , huku hakuna form four failure wa kumlaghai .... Sjui hao Lubumbashi ndo walijenga Bandar ya DSM ... Kuzaliwa Ludewa nako taabu tupu,
Za kihuni au siyo? Subiria moto
Screenshot_20230705_081153_Twitter.jpg
 
Nchi za Angola,DRC na Zambia zimetenga zaidi ya Rand Bilioni 10 Kwa Ajili ya kufufua reli ya Benguela inayoziunganisha Nchi hizo..

Marais wa Nchi hizo 3 walikutana kwenye Mji wa Bandari wa Lobito Ili kufufua ufanyaji kazi wa Reli hiyo ambayo ilisimama kutokana na shida za vita Nchini Angola....
Hizi post ni za kututisha au?
 
Sijui utajibu mwenyewe kama unatishwa au ni uhalisia wa Dunia ya ushindani,endelea kukaza Bado Beira Transport Corridor inakuja itaua soko loote la Zambia.
We mjinga kwani tukiwapa waarabu ndio hao Maraisi wataitisha kikao cha kusitisha hio project yao? Unazani wakiwepo waaraabu ndio mizigo hawatapitisha Angola?

Una upumbavu mwingi sana plus ushamba plus ujinga. Hujui hata triend za Biashara zinaendaje wewe.

Ukiambiwa Saudi Arabia pamoja na kuwa mzalishaji mkuu wa mafuta Duniani pia huwa na import sana mafuta, ukiambiwa utabisha sana kwa sababu hujui lolote kuhusu Biashara umekalai porojo za kitoto, tafuta watu kwenye vijiwe vya kawaha uwape hii story
 
Trade partners wakubwa wa Zambia na DRC ni nchi za Asia kwa industrial products hasa China na Middle East hasa upande wa mafuta.

Bandari ya Dar es Salaam ni rahisi kupitisha mizigo hiyo kupitia bahari ya Hindi kuliko upande wa bahari ya Atlantiki
Kwani Angola huko na West Africa sio Trading partiner wa China? Hii sio sababu, ingawa mleta maada ni mjinga fulani tu
 
Trade partners wakubwa wa Zambia na DRC ni nchi za Asia kwa industrial products hasa China na Middle East hasa upande wa mafuta.

Bandari ya Dar es Salaam ni rahisi kupitisha mizigo hiyo kupitia bahari ya Hindi kuliko upande wa bahari ya Atlantiki
Endelea kujidanganya.Nakukumbusha pia kwamba Kuna Beira Transport Corridor ambayo ndio shortest of all na itakuwa game changer..

Ukweli ni kwamba Dar Port Iko hatarini saizi ni wakati wa kubadili focus kutoka kuwaza Land locked na kuwaza kukuza uchumi wa ndani zaidi Ili Bandari iwe functional,Sioni future Kwa hizo Nchi za Sadc, Msumbiji na Angola.wako kwenye nafasi nzuri kuliko Tanzania.
 
Endelea kujidanganya.Nakukumbusha pia kwamba Kuna Beira Transport Corridor ambayo ndio shortest of all na itakuwa game changer..

Ukweli ni kwamba Dar Port Iko hatarini saizi ni wakati wa kubadili focus kutoka kuwaza Land locked na kuwaza kukuza uchumi wa ndani zaidi Ili Bandari iwe functional,Sioni future Kwa hizo Nchi za Sadc, Msumbiji na Angola.wako kwenye nafasi nzuri kuliko Tanzania.
Ukiniambia Beira sawa ila kwa Lobito si sawa ni mzunguko mkubwa sana
 
We mjinga kwani tukiwapa waarabu ndio hao Maraisi wataitisha kikao cha kusitisha hio project yao? Unazani wakiwepo waaraabu ndio mizigo hawatapitisha Angola?

Una upumbavu mwingi sana plus ushamba plus ujinga. Hujui hata triend za Biashara zinaendaje wewe.

Ukiambiwa Saudi Arabia pamoja na kuwa mzalishaji mkuu wa mafuta Duniani pia huwa na import sana mafuta, ukiambiwa utabisha sana kwa sababu hujui lolote kuhusu Biashara umekalai porojo za kitoto, tafuta watu kwenye vijiwe vya kawaha uwape hii story
Tatizo huna akili za kuona kesho,Waarabu wako Lobito Port na walichukua na huku wao watajuta jinsi ya kukuza biashara
 
Back
Top Bottom