Tanzania Railways Corp
JF-Expert Member
- Mar 23, 2018
- 251
- 595
Picha ikionesha hatua mbalimbali za ujenzi wa Handaki namba mbili unaoendelea eneo la Kilosa Mkoani Morogoro katika kipande cha pili cha Mradi wa Ujenzi wa Reli ya kisasa - SGR Morogoro - Dodoma - Singida.
Muonekano wa Kambi ya Ujenzi wa Reli ya Kisasa iliyopo eneo la Ihumwa mkoani Dodoma. Kambi hii inatarajiwa kuwa kambi kubwa zaidi ya Mradi huu kuanzia Dar es Salaam - Morogoro - Dodoma - Singida
Moja ya Madaraja makubwa yanayojengwa katika Mradi wa SGR kipande cha Morogoro - Dodoma - Singida
Muonekano wa Kambi ya Ujenzi wa Reli ya Kisasa iliyopo eneo la Ihumwa mkoani Dodoma. Kambi hii inatarajiwa kuwa kambi kubwa zaidi ya Mradi huu kuanzia Dar es Salaam - Morogoro - Dodoma - Singida
Moja ya Madaraja makubwa yanayojengwa katika Mradi wa SGR kipande cha Morogoro - Dodoma - Singida