VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,486
- 1,451
Kifuatacho hapo ni tofali za udongo, kubwa kuliko block za cement za kawaida. Kwa asilimia 99, tofali hizi hukaa muda kidogo, hivyo kutokuwa na uimara wowote.
Upepo mkali ukija, mara nyingi huondoka na paa, na raia hulalamikia serikali kukumbwa na maafa.
Je, ujenzi wa wazi kama huu, viongozi wakiwa na taarifa, nani wa kulaumiwa?