Mnyiramba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,112
- 2,957
Ni jambo la kijinga sana kujenga nyumba ya thamani kuanzia milioni 40 na ndani ukashindwa kuweka thamani za kueleweka!
Unakuta nyumba haina Air condition (AC), ama heater kwenye sehemu za baridi kali!,nyumba haina hata cctv camera ukiibiwa unakimbilia kwa mganga kupiga ramli!
Nyumba haina tv na sound za kisasa!
Nyumba ina visofa uchwara vya miaka nenda rudi!
Kwangu mimi ni bora nijenge nyumba ya gharama za kawaida sana ila ndani iwe na huduma zote muhimu za kibinadamu yenye hadhi ya hotel ya nyota kadhaa!
Tujifunze kwa mabeberu nyumba unakuta mbaya kimuonekano ama ya kawaida kabisa ila ndani ni very comfortable!
Unakuta nyumba haina Air condition (AC), ama heater kwenye sehemu za baridi kali!,nyumba haina hata cctv camera ukiibiwa unakimbilia kwa mganga kupiga ramli!
Nyumba haina tv na sound za kisasa!
Nyumba ina visofa uchwara vya miaka nenda rudi!
Kwangu mimi ni bora nijenge nyumba ya gharama za kawaida sana ila ndani iwe na huduma zote muhimu za kibinadamu yenye hadhi ya hotel ya nyota kadhaa!
Tujifunze kwa mabeberu nyumba unakuta mbaya kimuonekano ama ya kawaida kabisa ila ndani ni very comfortable!