BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
THANK YOU!
Maelezo yako kwenye picha au mmezoea mpaka mtu andike maelezo?
Maelezo yako kwenye picha au mmezoea mpaka mtu andike maelezo?
nawe ni wale wale! huoni akili kubwa wanachojadili. jifunze kusoma uzi kwa utulivu. waliothubutu kutoogopa umande walipata kusena, READ BETWEEN LINES; YOU WILL GET THE GIST!Nimejaribu kukuelewa mtoa mada but nimeshindwa
Post yako haina content kabisa. ..
Inawezekana una uwezo mdogo wa kuchambua mambo, hiyo picha haitaji maelezo yoyote hili hieleweke.Mkuu, huu uzi hauna maelezo.
Sasa unataka watu wajadili picha tu?
BAK, tumetoa nafasi kwa mleta uzi aweke maelezo angalau machache ili iweze kujadilika.
Soon watajengewa na University wamalizie na BandariKuna jengo la TRA, Airport, jengo la madawa, hospitali ya rufaa.....
Wapo wataosema hii ni photoshop
Mi naona mkaushie mod. Uzuri ni kuwa unapatikana pia na hauzuii kujadili siasaMaelezo gani Mkuu unataka zaidi ya hiyo picha? Mbona picha hiyo ina maelezo ya kutosha kujua huu uzi unastahili kuwepo kwenye jukwaa lipi?
Mpaka 2020 Chattle itakua Mkoa....
Trust me
Ova
Is possible, kuna Itigi, Hydom(Mbulu) etc
JamiiForums huu uzi mbona uko huuku?
Mwanahabari Huru huu uzi uweke jukwaa la siasa na utoe maelezo kidogo ili wasipate sababu ya kuuleta jukwaa la picha.
Hiii nchi jamani!!!
Mkuu, huu uzi hauna maelezo.
Sasa unataka watu wajadili picha tu?
BAK, tumetoa nafasi kwa mleta uzi aweke maelezo angalau machache ili iweze kujadilika.