G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
- Thread starter
- #221
Engineers wa serikali unawajua kweli? Kumbuka ndo wanaoongoza kwa utendaji wa chini ya kiwango. Wengi wa wahandisi pale TBA tunawafahamu na wengine tumesoma nao tunaujua uwezo wao! Natamani ungekuwa na uelewa kuhusu haya mambo pengine ungejiweka pazuri kutokana na mashaka yako!Mm sina nia mbaya lkn hivi wanaohusika ktk hiyo kazi hakuna ma engeneer wanaojua zaidi yako hadi wameshindwa ku realize vitu kama hivyo au kuna kitu gani ? Mbona nahisi na ww utakuwa upande wa siasa tena upande wa wale wanaokosoa kila kitu ? Any way ngoja tusubiri utakachotuletea kama evidence