Ujenzi wa "flats" 20 za ghorofa nne kwa Tshs bilioni 10, kila flat ni Tshs milioni 500. Twende kazi!

Mnachokifanya ni ushabiki wa kipumbafu na chuki ya chochote anachokifanya Rais, ww huna kazi ya kufanya hadi ukafanye valuation ? Acheni kutumika kisiasa na sidhani kama ww una hiyo fani, fanyeni shughuli zenu hayo mambo mengine acheni serikali ifanye na ina wataalam wakutosha kama kutakuwa na tatizo basi itajulikana
Usikariri ndugu yangu Umewahi kujiuliza kwanini Mpaka leo Majengo hayajakabidhiwa kwa Rais...na ilikuwa akabidhiwe mwanzoni mwa January
 
Baada ya Uchaguzi Ukawa itabaki kuwa Ukiwa --------- J. Kikwete.

Kwa tukio hili na kipigo cha juzi cha 20-1 Unabii wa Jk unatimia
 
Nyie ndio mliozoea zile enzi za JK,

Kwani waliopokea hiyo kazi hawajui hayo unayoyasema?

Tusubiri wakamilishe then ukaguzi ufanyike.
Geologist anambishia Engineer. Mathematician anambishia Medical Doctor. Mambo ya kitaalam.
Only in Tanzania.
 
Watu Wa Dar buanaa mkitaka kujenga nyumba Mbwembwe nyingiiii..... Mara survy,mara engineer mara Ramani Mara vibarua mara nini sijuiii....Vyote hivyo vya nini Kwa ajiri ya nini? Mimi nyumba Yangu nahofia vitu vichache tuu vile navyo fuata mjini tofauti na hapo mimi ndo nina Ramani ya nyumba yangu ninayo taka,Tofari natafuta wale vibarua wanao tafuta kaxi watafanya kwa gharama nafuu...

Ukitaka kujenga nyumba usicomplicate sanaaaa take it easy hata kama upo Dar! Nenda zako mkoa safirisha vijana 10 wa nguvu njoo uwapeleke Kariakoo kila wknd beach na uwalishe vizuri tuu na hela kidogo watapiga kazi vizuri tuu gharama itakuwa ndogo ukitaka kununua vifaa nunua mzigo wa kueleweka kwa bei nafuu sio leo duka hili umenunua misumari duka lile bati duka la tatu rangi duuu lazima uibiwe na uone kujenga ni gharama ila ukiwa na Millioni 30 mkononi unakamilisha nyumba kali tuu ila kama unategemea kilawezi ndo utoe hela ww utajenga nyumba kwa millioni 100 wakati mm nitajenga kwa millioni 30 the same house

Ukitaka kujenga kwa raha Jipange uwe na pesa cash! Na upunguze unneccessary things kama Ramani na ujinga mwingine
 
Geologist anambishia Engineer. Mathematician anambishia Medical Doctor. Mambo ya kitaalam.
Only in Tanzania.
Wanaosimamia huo ujenzi ni ma-engineer au ni madaktari?

Kama ni Engineer na washakubaliana hivyo, maneno ni ya kazi gani?
 
Mkuu usihangaike na hao vijana wa chadema hakuna engineer hata mmoja hapo ni washenzi fulani tu wa mtaani
Unajua kwanini Jamaa ana mashaka..amechukua Gharama ya mradi ambayo ni 10bl amegawanya Idadi ya Majengo kwanini huoni Hoja yake nawewe umpinge kwa Hoja badala yakumtukana
 
G Sam nakubaliana na wewe maana mi mwenyewe ni Quantity Surveyor kabisa sipo convinced kama kwa flat moja itakua ni hiyo bei waliosema tena kwa kupata ubora stahiki
 
Mods mkipenda msiunganishe huu uzi.

Nchi hii tuna kasumba mbaya sana ya kupenda kumsifi mh. sana pale ikitokea jambo fulani limefanyika na likaenda vizuri.Watamsifu sana bila hata kutaja wasaidi wake au washauri wake.

Cha ajabu na kushangaza,mkulu akifanya jambo na likaharibika,utawasikia wanahamisha magoli na kusema mh.alishauriwa vibaya, wengine watasema ile ofisi ni taasisi na wala asilaumiwe na baadhi wataenda mbali zaidi na kusema awatimue kazi.

Kwa msingi huu, G Sam wanaokubeza kuhusu mashaka ulionayo juu ya gharama halisi ya ujenzi wa flat za UDSM ni hawa hawa watakaokuja kugeuza maneno na kusema mh.alishauriwa vibaya na wengine watasema hahusika na wala asilaumiwe kwa lolote iwapo mambo yataharibika au ikija kuthibitika kuwa gharama halisi ni tofauti na ile iliyotamkwa na mh.
Gsam kafanya kazi ya kubashiri kutumia uzoefu wake.
Angeenda pale kwanza kujiridhisha sio kukimbilia nyuma ya keyboard, Yawezekana akapata majibu mazuri ya dukuduku lake
na cha ajabu na Udhaifu mkubwa wa wapinzani huwa hawaleti mrejesho kama kitu wakigundua walikuwa wamekosea maana itawapunguzia sifa
 
Samahani, hivi ni watanzania wangapi waliojenga nyumba? Je ni watanzania wangapi waliozijenga kwa kipato halisi? Je ni watanzania wangapi walioweka kumbukumbuku zao kuanzia mwanzo hadi mwisho wa ujenzi? Je ni watanzania wangapi waliojenga nyumba zao zinazizofata hesabu ya kijenzi na zenye ubora na viwango?
 
Uvivu wa kufikiri na kukariri mambo.Ujenzi wa kutumia tofali za kuchoma na moramu mbona mil 15 inatosha kbs kujenga nyumba aliyosema jamaa
Siyo uvivu wa kufikiri. Ni nyumba ya aina gani. Gharama za kuweka maji na umeme zimewekwa?
Ufafanuzi ni mzuri ili wengine waige.
 
Gsam kafanya kazi ya kubashiri kutumia uzoefu wake.
Angeenda pale kwanza kujiridhisha sio kukimbilia nyuma ya keyboard, Yawezekana akapata majibu mazuri ya dukuduku lake
na cha ajabu na Udhaifu mkubwa wa wapinzani huwa hawaleti mrejesho kama kitu wakigundua walikuwa wamekosea maana itawapinguzia sifa
Wanaoshangilia ni wale ambao wamefatua tofali kwa mfuko mmoja tofali 80 na kuweka nondo za zege mil6 .hakuna ratio stahiki ya saruji na mchanga
 
Gsam kafanya kazi ya kubashiri kutumia uzoefu wake.
Angeenda pale kwanza kujiridhisha sio kukimbilia nyuma ya keyboard, Yawezekana akapata majibu mazuri ya dukuduku lake
na cha ajabu na Udhaifu mkubwa wa wapinzani huwa hawaleti mrejesho kama kitu wakigundua walikuwa wamekosea maana itawapunguzia sifa
Hapana mkuu Gsam anapenda kukaa nyuma ya masaburi upo tayari?
 
Muongo mkubwa...kadanganye watoto...mijitu mizima inaposema uongo inaboa sana...

Labda uwe unajenga choo...and i mean choo kikweli...eti kuezeka 5.2mil,labda hela ya fundi hiyo,au umeezekea fito..mbao za saohill tu ukatizi na hicho ki 5.2mil...bati za vipande ndio kabisa sahau....eti nyumba nzima 15mil...itakua umejenga banda wewe unadhani nyumba...archtect kakuelekeza nyumba wewe umeenda jenga banda,


Vipi mbona povu la omo? Halafu aweke picha ili mumtambue mkamng'oe meno!
 
Mkuu hili jitu liongo...atakua amejenga banda...anavyoongea kwa mabavu as if huyo archtect aliempa plan ni m.j.inga,kumbe yeye ndio amefeli...
Nyumba planned kwa 60mil kajenga kwa 15mil,aweke picha hapa uone vituko

Linasomekaje hilo neno? Naona umelikomalia sana mtaalamu...
 
Mimi sio engineer ila nna uzoefu kidogo, kwa macho haya majengo yana ukubwa wa 12m-14m(upana) na urefu 55m-60m(urefu), assume kila SQM ni 600,000Tzs, 14*60=840sqm/floor,840*600,000=504,000,000/=,kwa mimi inawezekana
 
Back
Top Bottom