Japokuwa
Member
- Dec 26, 2019
- 17
- 17
Wadau naomba kujua kazi ya hii mifuko huko juu ya daraja maana kunawakati niliona ikiwa mingi Sana imetapakaa daraja lote
Ajabu ni kwamba kwa Sasa ipo michache upande mmoja lakini ukijaribu kuanga lia kwa umakini huko juu huoni kilicho ongezeka
Kuna wakati nilihisi ndio kokoto zinapandishwa
Wajuzi naombeni kujua tafadhali
Ajabu ni kwamba kwa Sasa ipo michache upande mmoja lakini ukijaribu kuanga lia kwa umakini huko juu huoni kilicho ongezeka
Kuna wakati nilihisi ndio kokoto zinapandishwa
Wajuzi naombeni kujua tafadhali