Ujenzi wa barabara za kasi

Ujenzi wa barabara za kasi

Ni kero baada ya kero..sijui kwanini hawajengi usiku..wanajenga baada ya muda wanabomoa...wanavunja wanaacha vumbi wanaondoka...kiukweli watumiaji wa morogoro rd ni kero sio kidogo...

Ulikuwa unataka kuachiwa hela badala ya vumbi?mtaa unao ishi wewe pamoja na nyumba unatembelea kwenye vumbi,hata mji uliozaliwa umekulia kwenye vumbi, acha malalamiko ka mtoto,sio vya kudumu vuta subira
 
hawa watakuwa wamekuja mjini morogoro road iko four lanes,ally hassan mwinyi[new bagamoyo/upanga road] iko four lanes,kawawa[morocco road] iko four lanes,hio morogoro road wakati inawekwa lami na MECCO[hio ni kabla KAJIMA hawajaitanua kuwa four lanes] miaka hio ilifungwa kabisa watu wakawa wanazunguka kigogo kule itakuwa leo strabag wanajenga huku mnapita......maana yangu ni kuwa hawakuwahi kuona major road construction....hakuna mtu anaweza kujenga barabara ukubwa huo wa project kama DART system halafu isilete usumbufu....huko kwenye alternative routes wakijenga wanapata shida je sisi ambao njia kuu mjini ni tatu kweli usumbufu usiwepo??!!sasa mnatakaje,kama hamtaki usumbufu ina maana msijengewe barabara......

Mkuu mimi nimekuelewa, sisi watanzania huwa hatueleweki tunalalamikia kila kitu. ila kwangu nasema Strabag wanajitahidi sana katika ujenzi, kama ulivyosema kampuni nyingi hufunga kabisa barabara. ujenzi wa barabara ni mgumu sana siyo kumwaga lami tu, kuna hatua nyingi sana na kila hatua ina vipimo kuangalia viwango. na hata hivyo vipimo si vya siku moja. tuwe wavumilivu wakati mwingine
 
Mbona wanafanya kazi usiku na mchana ila maendeleo ni gharama na hizo ndio moja ya gharama zenyewe.

Wewe lazima utakuwa ni mwanasiasa.... Huo usiku STRABAG huwa wanawafanyia kazi chumbani kwenu? siku wakiwa wanamwaga zege ndio night once kwa mwezi maybe... Kampuni Ovyo sana na kwa ujinga waliongia nao mkataba ndio utawapoteza milele kupata kazi na Utawala mwingine... watajuta ya mjukuu Uchungu wanaopata wananchi utalipiwa tu.... wajue hukumu ni hapa hapa Duniani... Sisi wenye madaladala wametuharibia sana hesabu na wananchi wanateseka... nibora waweke vituo kwanza...
 
Ni kero baada ya kero..sijui kwanini hawajengi usiku..wanajenga baada ya muda wanabomoa...wanavunja wanaacha vumbi wanaondoka...kiukweli watumiaji wa morogoro rd ni kero sio kidogo...

Ni upunguwani unakusumbua, sasa hapa unalalamika nini? hali halisi ndo hivyo, wanajenga na nilazima usumbufu uwepo hadi hapo project itakapokamilika na timeline inaeleweka. kwa taarifa yako mi naona kama vile hujijui ila kama unajijua na unajua thamani ya maendeleo usingukuja kulalamika kizembe namna hiyo. usiku mwema, kesho tena unayo....
 
Tukifika hapo ndio maana huwa nawakubali sana Wachina na style yao ya kujenga barabara usiku. Sasa hivi wafanyakazi wote tunaokuja maeneo ya posta mpaka barabara hii ijekuisha tutakuwa na vigimbi vya kutosha!
 
Ajabu ni kwamba kwenye makutano ya hizo barabara ndio kuna mshimo makubwa maakubwa hata ukitaka kupita ni tatizo sana...
 
Yani ile barabara nikero.. Wanabomoa, wanaacha.. Baada ya miezi ndo wanarudi kuanza ujenzi. Hawa watu wako highly disorganised.
Hizo barabara zenyewe zilivyo nyembamba na hizo kona kona, kaazi kweli kweli. Hapa foleni haita pungua kabisaaa.
Sijui hii serikali ilikiwa na mpango gani hata.
 
Nyie wote hamjui mnachokisema. Mnadhani miundombinu huwa inajiumba.

Kwa taarifa yenu hao jamaa wanajitahidi kupita maelezo. Ingekuwa wachina wenu hali ingekuwa mbaya sana.

Kumbuka hao jamaa hawajapewa provision ya kuweka njia mchepuko (diversion). yaani wajenge humo, watu wapite humo humo, magari, pikipiki..n.k. Ni kazi kubwa sana kwa sisi tunaojua.

Kama mnataka msipate usumbufu basi ilazimisheni serikali ibomoe nyumba ambazo Magufuli alipigwa stop kuzibomoa, humo ndimo mulimotakiwa kupita njia mchepuko ili kule kati kazi iendelee bila usumbufu.

Na kwa taarifa yenu, hiyo kazi inatakiwa kukabidhiwa mid 2015. Hadi sasa jamaa wamshamaliza zaidi ya 60% ya kazi na muda uliotumika ni takribani nusu ya muda wote unaotakiwa. Kwa hiyo wanafanya vizuri sana.

Tatizo la watanzania wengi ni kujifanya wataaluma wa kila kitu, na kufuata mkumbo bila kujua mambo kiundani.
 
Kwa hiyo unataka wasitishe ujenzi ili vumbi lisiwepo? Vumilia kidogo tu, itakapokamilika hakuna vumbi tena. Halafu nakushauri punguza hasira katika kukabiliana na changamoto za maisha vinginevyo utapasuka moyo siku moja, kwani naona hata post yako umeitupia kwa jaziba kiasi cha kuiita "Barabara za kasi" na mwisho " watumiaji wa Barabara ya Morogoro ni kero..."

Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
 
Wewe lazima utakuwa ni mwanasiasa.... Huo usiku STRABAG huwa wanawafanyia kazi chumbani kwenu? siku wakiwa wanamwaga zege ndio night once kwa mwezi maybe... Kampuni Ovyo sana na kwa ujinga waliongia nao mkataba ndio utawapoteza milele kupata kazi na Utawala mwingine... watajuta ya mjukuu Uchungu wanaopata wananchi utalipiwa tu.... wajue hukumu ni hapa hapa Duniani... Sisi wenye madaladala wametuharibia sana hesabu na wananchi wanateseka... nibora waweke vituo kwanza...

wewe unajua kampuni ovyo??unaijua vizuri STRABAG??SMEC unawajua[consultancy].....labda utusaidie ulitaka wajenge vipi hapo bila usumbufu....??ungefurahi wangefunga kabisa hio morogoro road maanake wanavunja vipandevipande ili mpite mnalalamika.....nishashuhudi MOTORWAY/AUTOBAHN inajengwa kuongeza exit lanes na flyover na usumbufu ulikuwepo karibu mwaka mzima tena huko duniani kwenye miundombinu mizuri na alternative routes kibao.......ubungo kabla strabag hawajavuruga kulikuwa na foleni kila siku/kila saa.....BTW sasa hivi kuanzia kituo cha ubungo mpaka AKIBA ni four lanes zinatumika.....acheni malalamiko hio ndio price ya maendeleo...



 
Nyie wote hamjui mnachokisema. Mnadhani miundombinu huwa inajiumba.

Kwa taarifa yenu hao jamaa wanajitahidi kupita maelezo. Ingekuwa wachina wenu hali ingekuwa mbaya sana.

Kumbuka hao jamaa hawajapewa provision ya kuweka njia mchepuko (diversion). yaani wajenge humo, watu wapite humo humo, magari, pikipiki..n.k. Ni kazi kubwa sana kwa sisi tunaojua.

Kama mnataka msipate usumbufu basi ilazimisheni serikali ibomoe nyumba ambazo Magufuli alipigwa stop kuzibomoa, humo ndimo mulimotakiwa kupita njia mchepuko ili kule kati kazi iendelee bila usumbufu.

Na kwa taarifa yenu, hiyo kazi inatakiwa kukabidhiwa mid 2015. Hadi sasa jamaa wamshamaliza zaidi ya 60% ya kazi na muda uliotumika ni takribani nusu ya muda wote unaotakiwa. Kwa hiyo wanafanya vizuri sana.

Tatizo la watanzania wengi ni kujifanya wataaluma wa kila kitu, na kufuata mkumbo bila kujua mambo kiundani.

maelezo yako mazuri sana......nakunukuu..."TATIZO LA WATANZANIA WENGI NI KUJIFANYA WANATAALUMA YA KILA KITU NA KUFUATA MKUMBO BILA KUJUA MAMBO KWA KIUNDANI"
 
Watanzania bwana mtu anakurupuka tu analalamika hata visivyolalamikiwa,

Mwingine hajafanya hata research anasema strabag ni kampuni ya ovyo,,

Tujifunze kupitia pitia hata google jamani kabla hatujaongea..

Strabag ni kampuni kubwa sana duniani, ipo same level na Toyota, Sony, Samsung,, ina mapato zaidi ya serikali yako ya ------,, imeshafanya construction project za kufa mtu ulaya, asia, america etc,,, imeajiri watu 73,600 dunia nzima, hapa Tanzania imekuja kwa msaada tu wa World bank,

Tatizo mshazoea kampuni njaa za kichina, zinajenga bara bara zisizo na viwango, eti wanakesha usiku wakimbilie nini wakati project inaisha 2015 mwishoni,,

Na hapa wanatusamehe tu kuturuhusu tupite wangesema wafate utaratibu walitakiwa wafunge njia zote kabisa ili wajenge vizuri..

Tusiwalaumu Strabag tuwalaumu serikali yetu hasa ya awamu ya kwanza kwa Kutoupanga mji vizuri mapema, mji hauna ramani, hauleweki vurugu vurugu tupu,,

magufuli mwenyewe na sifa zake zote kwa strabag hata kunyanyua mdomo hawezi
 
hawa watakuwa wamekuja mjini morogoro road iko four lanes,ally hassan mwinyi[new bagamoyo/upanga road] iko four lanes,kawawa[morocco road] iko four lanes,hio morogoro road wakati inawekwa lami na MECCO[hio ni kabla KAJIMA hawajaitanua kuwa four lanes] miaka hio ilifungwa kabisa watu wakawa wanazunguka kigogo kule itakuwa leo strabag wanajenga huku mnapita......maana yangu ni kuwa hawakuwahi kuona major road construction....hakuna mtu anaweza kujenga barabara ukubwa huo wa project kama DART system halafu isilete usumbufu....huko kwenye alternative routes wakijenga wanapata shida je sisi ambao njia kuu mjini ni tatu kweli usumbufu usiwepo??!!sasa mnatakaje,kama hamtaki usumbufu ina maana msijengewe barabara......

You tell them, maana siku hizi kila kitu jamaa wanaingiza siasa..!
 
hapo wanafanya barabara ya majaribio wanajenga wanabomoa hapajakaa vizuri bomoa basi kero tupu
 
hapo wanafanya barabara ya majaribio wanajenga wanabomoa hapajakaa vizuri bomoa basi kero tupu

Kubomoa sio kosa la STRABAG....
Kuna marekebisho mengi sana yanafanyika; kwa mfano, kwa usanifu wa awali mwisho wa njia sita ilikua iwe Kibo, baada ya ujenzi kuanza ikaonekana ni tatizo, mkandarasi akabomoa sehemu aliyokwisha jenga kuanzia maeneo ya Kibo hadi kwa tomasi.....
STRABAG wanafanya kazi kwa haraka kuliko makampuni mengi yanayojenga hapa TZ.....wanajitahidi sana, japo najua kunaweza kuwa na makosa madogo madogo.
 
hawa watakuwa wamekuja mjini morogoro road iko four lanes,ally hassan mwinyi[new bagamoyo/upanga road] iko four lanes,kawawa[morocco road] iko four lanes,hio morogoro road wakati inawekwa lami na MECCO[hio ni kabla KAJIMA hawajaitanua kuwa four lanes] miaka hio ilifungwa kabisa watu wakawa wanazunguka kigogo kule itakuwa leo strabag wanajenga huku mnapita......maana yangu ni kuwa hawakuwahi kuona major road construction....hakuna mtu anaweza kujenga barabara ukubwa huo wa project kama DART system halafu isilete usumbufu....huko kwenye alternative routes wakijenga wanapata shida je sisi ambao njia kuu mjini ni tatu kweli usumbufu usiwepo??!!sasa mnatakaje,kama hamtaki usumbufu ina maana msijengewe barabara......
Waambie hawa akina Lord K, hata wakati wa kuhamia UBT walimwona BWM kuwa ni msumbufu. Maendeleo siyo kama uyoga eti mvua inyeshe leo na uyoga upate kesho.
 
Last edited by a moderator:
Waswahili wanasema "tenda wema wende zako, usingoje shukurani).

Mkitengenezewa kosa, msipotengenezewa kosa. Wewe itakuwa ni Mchagga.

Damned if you do damned if you don't.
 
Back
Top Bottom