Ujenzi Ubungo interchange wafikia 25%

Ujenzi Ubungo interchange wafikia 25%

Kwa mabadiliko hayo ya mchoro ina maana juu kutakua na madaraja mawili kama la tazara moja linatoka mwenge kwenda Tazara jingine mbezi kwenda kariakoo na interchange itakua barabara ya chini. Hii ina maana pale chuni still tutakua na traffic light zitakazoruhusu magari kupishana yanapotoka mjini kwenda mwenge na Tazara kwenda kariakoo...

Ubahili utatuua...View attachment 1062600

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata project ya kwanza ilikuwa na taa, though ile taa zake zilikuwa kwenye daraja la kwanza(yaani interchange ilikuwa katikati), chini ilikuwa inapita free(Mbezi-City centre), katikati interchange na juu ndio ilikuwa free(Mwenge-Buguruni)
 
stendi ya ubungo ikiama automatic idadi ya magari yatapungua sana haswa hapo kwenye mataa cha msingi ni kuboresha ukubwa wa barabara haswa wa inayopita mbezi kuja kinyerezi , tabata na inayoenda gongo la mboto itasaidia sana kurahisha watakaoenda stendi ya mbezi kutokea tabata , gongo la mboto hata watakao tokea temeke

kitochi
 
Back
Top Bottom