Ujenzi: Nimefanya uchunguzi kwanini watu wengi wanashindwa au kuchelewa kuwa na kwao

Sio watu wote tunafanya kazi posta.
Kuna wengine ni wafanya biashara ambao popote wanaweza kupata wateja,wengine kazi zao ni huduma za jamii kama walimu,manesi,madaktari na huduma zao kila mahali zinahitajika.
Wengine kazi zao ni kusafiri mbali na kurudi dar sio lazima awe anaishi mjini.
Kwa hiyo umuhimu wa kujenga utabaki palepale haijalishi ni mabwepande au bagamoyo.
Viwanja vya bei nafuu viko mbali na miji, vijana wengi wanashindwa kujenga kutokana na hili. Upate kiwanja Mambwepande na kazi unafanya Posta. Ukimaliza ujenzi gharama ya kwenda kazini kila siku ni Kheri kupanga nyumba Sinza.
 
Wakati tukiendelea na majadiliano napenda kuwapa mrejesho kama mleta mada hii.
Kama mnavyoona kwenye picha hiyo ndio nyumba ambayo nilianza kujenga na sasa nimefikia stage hiyo.

Mpaka hapo unapoona sina popote nilipoathirika hasa kibiashara na uchumi kiujumla na hiyo yote ni sababu nilimaua kujenga nyumba ya uwezo wangu na sio nyumba ya ndoto zangu.
IMG20201106181659.jpg
 
Wakati tukiendelea na majadiliano napenda kuwapa mrejesho kama mleta mada hii.
Kama mnavyoona kwenye picha hiyo ndio nyumba ambayo nilianza kujenga na sasa nimefikia stage hiyo.

Mpaka hapo unapoona sina popote nilipoathirika hasa kibiashara na uchumi kiujumla na hiyo yote ni sababu nilimaua kujenga nyumba ya uwezo wangu na sio nyumba ya ndoto zangu.View attachment 1626766
mkuu uko vizuri
 
Wakati tukiendelea na majadiliano napenda kuwapa mrejesho kama mleta mada hii.
Kama mnavyoona kwenye picha hiyo ndio nyumba ambayo nilianza kujenga na sasa nimefikia stage hiyo.

Mpaka hapo unapoona sina popote nilipoathirika hasa kibiashara na uchumi kiujumla na hiyo yote ni sababu nilimaua kujenga nyumba ya uwezo wangu na sio nyumba ya ndoto zangu.View attachment 1626766

Safi sana kiongozi!! Kiwanja cha ukubwa gani na je sifa ya hii nyumba kwenye picha ni zipi? Kwa maana ya vyumba
 
Mkuu kununua apartment City Centre sio mchezo.
Dah...…..kama umejenga nje ya mji…..na shughuli zako ziko katikati ya mji…..unatumia usafiri binafsi…..gharama ya mafuta kwa siku ni shilingi 30K.....ambayo ni 180K kwa wiki....ambayo ni kama 9400K kwa mwaka...hiyo ni mafuta tu..ukiingiza na gharama nyingine..kama matengenezo ya gari inaweza fika 15m kwa mwaka...bei ya apartment ya chini kabisa ya vyumba vitatu vya kulala katikati ya jiji ni 190m...unahitaji ukope angalau 200m....ununue apartment ..ulipe polepole kwa miaka 10.... baada ya miaka 10 unatakiwa utunze kiasi kilekile ulichokuwa unalipa deni ili baada ya miaka 10 tena ununue shamba ukapumzike ...huku ukila taratibu kodi yako ya pango…....wakati watoto wako wanasubiri ufe waipige bei.. 🤭 🤣
 
Dah...…..kama umejenga nje ya mji…..na shughuli zako ziko katikati ya mji…..unatumia usafiri binafsi…..gharama ya mafuta kwa siku ni shilingi 30K.....ambayo ni 180K kwa wiki....ambayo ni kama 9400K kwa mwaka...hiyo ni mafuta tu..ukiingiza na gharama nyingine..kama matengenezo ya gari inaweza fika 15m kwa mwaka...bei ya apartment ya chini kabisa ya vyumba vitatu vya kulala katikati ya jiji ni 190m...unahitaji ukope angalau 200m....ununue apartment ..ulipe polepole kwa miaka 10.... baada ya miaka 10 unatakiwa utunze kiasi kilekile ulichokuwa unalipa deni ili baada ya miaka 10 tena ununue shamba ukapumzike ...huku ukila taratibu kodi yako ya pango…....wakati watoto wako wanasubiri ufe waipige bei..
190m apartment inakuwaje ?
 
Wakati tukiendelea na majadiliano napenda kuwapa mrejesho kama mleta mada hii.
Kama mnavyoona kwenye picha hiyo ndio nyumba ambayo nilianza kujenga na sasa nimefikia stage hiyo.

Mpaka hapo unapoona sina popote nilipoathirika hasa kibiashara na uchumi kiujumla na hiyo yote ni sababu nilimaua kujenga nyumba ya uwezo wangu na sio nyumba ya ndoto zangu.View attachment 1626766
Ina chumba kimoja au viwili mkuu hongera mangi, sasa hapo baadae utajipanga uje ujenge nyumba ya ndoto yako
 
Dah...…..kama umejenga nje ya mji…..na shughuli zako ziko katikati ya mji…..unatumia usafiri binafsi…..gharama ya mafuta kwa siku ni shilingi 30K.....ambayo ni 180K kwa wiki....ambayo ni kama 9400K kwa mwaka...hiyo ni mafuta tu..ukiingiza na gharama nyingine..kama matengenezo ya gari inaweza fika 15m kwa mwaka...bei ya apartment ya chini kabisa ya vyumba vitatu vya kulala katikati ya jiji ni 190m...unahitaji ukope angalau 200m....ununue apartment ..ulipe polepole kwa miaka 10.... baada ya miaka 10 unatakiwa utunze kiasi kilekile ulichokuwa unalipa deni ili baada ya miaka 10 tena ununue shamba ukapumzike ...huku ukila taratibu kodi yako ya pango…....wakati watoto wako wanasubiri ufe waipige bei..
Msipende kuangalia ujenzi na gharama ya umbali na eneo la kazi na kupiga hesabu hivi this is too wrong, itafika mahala hutataka kujenga kabisa useme upange mjini karibu na offisi, kwani ukijenga mbali ukapangisha nyumba hile kodi ikawa ndiyo inakulipia apartment mjini karibu na eneo la kazi huoni utakua umetatua tatizo na bado unakua na asset yako ya nyumba hata kazi ukiachishwa au ukiacha utaenda kuhamia huko kwako?

Kujenga mbali faida moja kuu ni kupata kiwanja kwa bei ndogo na pia utamakiza ujenzi bila vikwazo, nyumba ni asset na ni permanent asset, kazi haiwezi kuwa ya kudumu kuna kufukuzwa kazi, kustaafu nk
 
Kwa wakazi wengi wa mjini kuna jambo moja ambalo limekuwa kizungumkuti sana kwa watu wengi hasa sisi wa uchumi mdogo.

Hakuna mtu anayependa kuishi kwenye Nyumba za kupanga hivyo kila mtu anapenda kujenga awe na kwake, mahala ambapo atakuwa huru kufanya anavyotaka yeye.

Nimefanya uchunguzi ni kwanini watu wengi wanashindwa au kuchelewa kuwa na kwao.

1. Watu wengi wanaogopa kujenga, yaani mtu anakuwa anasubiri awe na pesa nyingi ndio aanze ujenzi.
Mara nyingi kadiri mtu umri unavyoongezeka na majukumu nayo huongezeka hivyo kipato hakitaruhusu uwe na pesa nyingi

2. Watu wanatamani vitu ambavyo hawana uwezo navyo. Jirani yangu kuna mama alipata pesa yake kiasi akaamua kwenda kuanza ujenzi kwenye kiwanja chake, pasipo kufanya tathmini ya uchumi wake alianzisha msingi wa jumba kubwa kiasi kwamba pesa aliyokuwa nayo yote iliishia kwenye msingi.

Mpaka sasa anajikongoja lakini kutokana na ukubwa wa nyumba basi imesogea mpaka kwenye madirisha ndani ya miaka kama mitano sasa. Lakini ukipiga hesabu vizuri ni kwamba pesa aliyokwisha tumia angeweza kujenga nyumba ndogo angalau ya vyumba viwili na sebule na leo angekuwa anaishi kwake.

So tukadirie haya mambo
Nyumba ya bei poa sana kukitokea mafuriko, tetemeko, nk hifadhi inakuwa kanisani au msikitini.
Ndiyo maana kujenga si bora kujenga bali kujenga kwa ubora!
 
Wakati tukiendelea na majadiliano napenda kuwapa mrejesho kama mleta mada hii.
Kama mnavyoona kwenye picha hiyo ndio nyumba ambayo nilianza kujenga na sasa nimefikia stage hiyo.

Mpaka hapo unapoona sina popote nilipoathirika hasa kibiashara na uchumi kiujumla na hiyo yote ni sababu nilimaua kujenga nyumba ya uwezo wangu na sio nyumba ya ndoto zangu.View attachment 1626766
Mkuu hongera sana
 
Nyumba ya bei poa sana kukitokea mafuriko, tetemeko, nk hifadhi inakuwa kanisani au msikitini.
Ndiyo maana kujenga si bora kujenga bali kujenga kwa ubora!
Haimaanishi kuwa kujenga nyumba ndogo lazima iwe ya kiwango cha chini.
 
Back
Top Bottom