johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,012
- 142,044
HERA = Hela!Hiyo barabara haina maana,, inaleta umasikini.hizo hera wangewej=ka fly over Mwenge na Morocco kungekuwa hakuna foleni
Ukifika mwenge kwenda tegeta foleni, ukifika moroko kwenda posta foleni sasa sijui inawawahisha watu wapi hii barabara..Kiukweli mabafiliko makubwa yameanza kuonekana na hasa kuanzia Mwenge hafi Bamaga. Nadhani pale zinajengwa njia 8 maana jengi la Nakiete limenusa barabara kabisa.
Pale Tigo HQ makumbusho ndio hakuna parking ya magari kabisa barabara iko jirani na ngazi za kuingilia mjengoni. Binafsi nafurahishwa sana na maendeleo haya.
Pongezi ziwaendee Rais Magufuli, waziri wa ujenzi mh Kamwele, RC Makonda na mbunge Mtulia na Halima Mdee kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa ilani ya CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Roma haikujengwa kwa siku moja!Ukifika mwenge kwenda tegeta foleni, ukifika moroko kwenda posta foleni sasa sijui inawawahisha watu wapi hii barabara..
Unamkosoa mwenzio wakati uzi wako mwenyewe umeandika kwa papara na ushabiki kama jogoo aliekatwa kichwaHERA = Hela!
Hahahaa....... 2020 hakuna kampeni!Unamkosoa mwenzio wakati uzi wako mwenyewe umeandika kwa papara na ushabiki kama jogoo aliekatwa kichwa
Mabafiliko=mabadilikoKiukweli mabafiliko makubwa yameanza kuonekana na hasa kuanzia Mwenge hafi Bamaga. Nadhani pale zinajengwa njia 8 maana jengi la Nakiete limenusa barabara kabisa.
Pale Tigo HQ makumbusho ndio hakuna parking ya magari kabisa barabara iko jirani na ngazi za kuingilia mjengoni. Binafsi nafurahishwa sana na maendeleo haya.
Pongezi ziwaendee Rais Magufuli, waziri wa ujenzi mh Kamwele, RC Makonda na mbunge Mtulia na Halima Mdee kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa ilani ya CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Imetangazwa kwenye gazeti la serikali??Ni official au ni maoni yako kama mwananchi mwenye uhuru wa kutoa mawazo na maoni??Hahahaa....... 2020 hakuna kampeni!
Hahahaa...... Ahsante bwashee!Mabafiliko=mabadiliko
Hafi=hadi
Jengi=jengo
Acha pupa,kaa utulie ueleweke
Hiyo barabara haina maana,, inaleta umasikini.hizo hera wangewej=ka fly over Mwenge na Morocco kungekuwa hakuna foleni
Picha iko wapi?Kiukweli mabafiliko makubwa yameanza kuonekana na hasa kuanzia Mwenge hafi Bamaga. Nadhani pale zinajengwa njia 8 maana jengi la Nakiete limenusa barabara kabisa.
Pale Tigo HQ makumbusho ndio hakuna parking ya magari kabisa barabara iko jirani na ngazi za kuingilia mjengoni. Binafsi nafurahishwa sana na maendeleo haya.
Pongezi ziwaendee Rais Magufuli, waziri wa ujenzi mh Kamwele, RC Makonda na mbunge Mtulia na Halima Mdee kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa ilani ya CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Mtoa mada aweke picha.Picha iko wapi?
mabafiliko=mabadilikoKiukweli mabafiliko makubwa yameanza kuonekana na hasa kuanzia Mwenge hafi Bamaga. Nadhani pale zinajengwa njia 8 maana jengi la Nakiete limenusa barabara kabisa.
Pale Tigo HQ makumbusho ndio hakuna parking ya magari kabisa barabara iko jirani na ngazi za kuingilia mjengoni. Binafsi nafurahishwa sana na maendeleo haya.
Pongezi ziwaendee Rais Magufuli, waziri wa ujenzi mh Kamwele, RC Makonda na mbunge Mtulia na Halima Mdee kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa ilani ya CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Kiukweli mabafiliko makubwa yameanza kuonekana na hasa kuanzia Mwenge hafi Bamaga. Nadhani pale zinajengwa njia 8 maana jengi la Nakiete limenusa barabara kabisa.
Pale Tigo HQ makumbusho ndio hakuna parking ya magari kabisa barabara iko jirani na ngazi za kuingilia mjengoni. Binafsi nafurahishwa sana na maendeleo haya.
Pongezi ziwaendee Rais Magufuli, waziri wa ujenzi mh Kamwele, RC Makonda na mbunge Mtulia na Halima Mdee kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa ilani ya CCM.
Maendeleo hayana vyama!
mabafiliko!?Kiukweli mabafiliko makubwa yameanza kuonekana na hasa kuanzia Mwenge hafi Bamaga. Nadhani pale zinajengwa njia 8 maana jengi la Nakiete limenusa barabara kabisa.
Pale Tigo HQ makumbusho ndio hakuna parking ya magari kabisa barabara iko jirani na ngazi za kuingilia mjengoni. Binafsi nafurahishwa sana na maendeleo haya.
Pongezi ziwaendee Rais Magufuli, waziri wa ujenzi mh Kamwele, RC Makonda na mbunge Mtulia na Halima Mdee kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa ilani ya CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaa.......mabadiliko!mabafiliko!?