johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,872
Kiukweli mabadilko makubwa yameanza kuonekana na hasa kuanzia Mwenge hadi Bamaga. Nadhani pale zinajengwa njia 8 maana jengo la Nakiete limenusa barabara kabisa.
Pale Tigo HQ makumbusho ndio hakuna parking ya magari kabisa barabara iko jirani na ngazi za kuingilia mjengoni. Binafsi nafurahishwa sana na maendeleo haya.
Pongezi ziwaendee Rais Magufuli, waziri wa ujenzi mh Kamwele, RC Makonda na mbunge Mtulia na Halima Mdee kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa ilani ya CCM.
Maendeleo hayana vyama!
Pale Tigo HQ makumbusho ndio hakuna parking ya magari kabisa barabara iko jirani na ngazi za kuingilia mjengoni. Binafsi nafurahishwa sana na maendeleo haya.
Pongezi ziwaendee Rais Magufuli, waziri wa ujenzi mh Kamwele, RC Makonda na mbunge Mtulia na Halima Mdee kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa ilani ya CCM.
Maendeleo hayana vyama!