Ujenzi barabara ya Mwenge-Morocco Dar waendelea kwa kasi

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,329
33,138



Gari maalum la kusambaza kokoto likiwa kazini.


Taswira ya barabara ya Mwenge kuelekea Morocco Dar ilivyo.


Gari la kumwaga maji likipita kwenye eneo la ujenzi huo.

Usambazaji wa kokoto kwenye barabara hiyo ukiendelea.

Taswira nyingine ya barabara hiyo.

UJENZI wa barabara ya Mwenge-Moroco jijini Dar ambao unaonekana kufanyika kwa kasi, hivi sasa baadhi ya maeneo yameanza kuwekewa kokoto, tayari kwa kumwaga lami baada ya hatua za mwanzo za kuchimba, kushindilia ardhi na kuweka kokoto kuonekana zimekamilika.

(PICHA: DENIS MTIMA/GPL)
 
**** jamaa aliletaga uzi hapa akawa anadai kapita apo hakukuta kinachoendelea sa sijui haijui iyo barabar
 
hapo ndio kunakofurahisha zaidi hii road haina kibao cha kuonyesha mkandarasi wala nini yaani yaenda kimagumashi. kama mtu mdadisi atagundua kuwa hii barabara itakuwa chini ya kiwango kabisa. maana hii kasi inanitisha. nyie subirini muone kama haijaanza kutoa marinda soon ikifunguliwa
 
Mkandarasi ni kampuni moja ya Kihindi inaitwa Estim construction ltd. Hii kampuni ina pesa balaa. Ndiyo inatenda za kujenga majengo marefu hapa jijini na to date its the largest construction company in Tz. Jamaa kazi zao ni quality sana...
hakika sina shaka na estim, wamejenga airtel house, viva tower, tanhouse, pspf 1 and 2, nmb,nhc kinondoni, tpa na sasa wanajenga jengo la nhc hapo moroco, naamini barabara itatoka ya kiwango
 
Ila huyu kandarasi anaejenga kipande cha itv hadi chuo cha kodi Ana karibia mwezi wa sita hamalizi hiki kipande,bonge la usumbufu kalundika mijikokoto anafunga njia mchepuko,ghassh! amulikwe
 
hapo ndio kunakofurahisha zaidi hii road haina kibao cha kuonyesha mkandarasi wala nini yaani yaenda kimagumashi. kama mtu mdadisi atagundua kuwa hii barabara itakuwa chini ya kiwango kabisa. maana hii kasi inanitisha. nyie subirini muone kama haijaanza kutoa marinda soon ikifunguliwa
Sidhani, mimi napita hapo daily. Hii lami ina layer kubwa sana . Im sure itakuwa kwenye viwango
 
Mkandarasi ni kampuni moja ya Kihindi inaitwa Estim construction ltd. Hii kampuni ina pesa balaa. Ndiyo inatenda za kujenga majengo marefu hapa jijini na to date its the largest construction company in Tz. Jamaa kazi zao ni quality sana

Kama ni hiyo Estim construction co. basi ndiyo hiyo hiyo iliyojenga barabara ya Bagamoyo mpaka Msata na mpaka hapo wenye akili watajua uhusiano wake hiyo kampuni na DHAIFU!! Ubora wa hiyo barabara utakuwa sawa na ule wa ile ya Bagamoyo; sijui hata kama wamemaliza kujenga madaraja!!!
 
Ila huyu kandarasi anaejenga kipande cha itv hadi chuo cha kodi Ana karibia mwezi wa sita hamalizi hiki kipande,bonge la usumbufu kalundika mijikokoto anafunga njia mchepuko,ghassh! amulikwe
Yaani huyo mkandarasi ni mpuuzi kabisa.
Barabara km 2 anataka kumaliza nayo mwaka!!
 
Estim ni kiboko hata ya mwenge tegeta ndiye kajenga chini ya usimamizi wa kajima,barabara ya goba,kifuru ndiye anazijenga.Pia ikumbukwe jengo la mstaafu msoga ndiye aliyejenga free of charge.Yupo vizuri kwa wakandarasi wa ndani.Amewazidi wachina kwa mbali sana.Halafu vifaa anavyo
 
CCRT nao vp?
Hao ndio wakina nani? Mbona siwafahamu au unamaanisha CRJE? Kama ni CRJE hii ni kampuni ya kichina ndio wanaojenga daraja la Kigamboni wako Joint venture na Kampuni nyingine nadhani inaitwa China bridge kitu kama hicho. CRJE kwenye miaka ya 2008-2010 ndiyo ilikuwa ina contracts nyingi sana but now imefunikwa na Estim, na Group Six. Yenyewe iko kwenye nafasi ya nne hivi wakichuana na Advent Construction.
 
Back
Top Bottom