Ujenzi barabara: Wabunge wamkumbuka Hayati Magufuli

Legacy ya mpumbavu yule itafutika automatically..

Nilikuuliza hapa nipe km za barabara alizojenga Mwendazake huna,kama hujui kachukue bajeti ya mwisho ya mwaka 2020 ina summary ya hizo uone uozo alioufanya..

Yule mtu wenu alikuwa hovyo Sana ,alikuwa anazindua barabara zilizokamilika toka 2014 mfano barabara ya Iringa -Dodoma, Sumbawanga-Tunduma nk..

Nchi hii Barabara alijenga Kikwete.
Nenda yombo vituka mpaka unatokea yombo kiwalani ukaone milami inameremeta na mataa yake.
 
Wewe ni mpumbavu hakuna unachojua..

Barabara zote ukiingia website ya Tanroads utaona mwaka ambao zilianza kujengwa..

Barabara ya Sumbawanga Kasanga imeanza kujengwa mwaka 2012 na imemalizika 2020 na bado serikali inadaiwa..

Nataka barabara mpya uniambie kwa mkoa wa Rukwa iliyojengwa na Magufuli maana SSH ameanza ujenzi wa barabara mpya ya Matai-Kasesya border,Ntendo-Muze-Kilyamatundu na barabara ya Laela-Kizombwe achana na za Tarura..

Chunya-Makongolosi bado haijakamilika, barabara zote ulizozitaja kaja kuzimalizia alikuta zinaendelea na ujenzi..

Nataka barabara mpya ambazo zilianzishwa 2015 na zimemalizika,ukiacha barabara iliyozinduliwa juzi na Rais Samia
wanaomtetea huyu Sasha ni wajinga Sana na wewe ukiwemo hapendwi kabisa tena sana
 
Daah chuki binafsi sijui utaielezaje kwa kifupi bora JPM kuliko marais JK, AHM, BM hapo nitamsamehe mmoja tu JKN
 
DMDP daslama ni km imekufa kifo cha mende...nway ktk zile 600km na ss wa uswekeni gomz ndani ndani tunamshukuru tulipata kipande chetu na taa zake..
Aliwaacha wa Masaki na Obey akatukumbuka sisi tuliosahaulika.
 
Ndio nimeumia mnoo maana mtu aliyevuruga mpango wa Ujenzi barabara alikuwa Magufuli..

Alihamisha bajeti ya barabara ikahamia kwenye reli na sgr,miaka 6 ya Magufuli kajenga chini ya km2,000 za lami wakati Tulikuwa tunajenga wastani WA km 2500-3000 kwa miaka 5..

Hao hata walie au wapige sarakasi hakuna kitakachobadilika kwa sababu pesa hazitoshi..

Hayo ndio matokeo ya kuwa na mtu asiye na akili.Binafsi ninakereka Sana na Mwendazake kwa sababu aliharibu mambo mengi mno..

Mfano mkoa wa Songwe alijenga km 50 tuu kwa miaka yote 6,Rukwa hata km 1 hakuna,Katavi ndio alijenga km 390 kwa sababu Waziri wa Ujenzi alikuwa wa huko ndio hiyo barabara Rais alizindua juzi..

Kigoma hakuna, barabara zimeanza kujengwa mwaka juzi baada ya mkopo wa

Yaani kiufupi hakuna Mkoa ambao barabara zilijengwa zaidi ya km 100 kwa miaka 6..Mwaka wa kwanza wa Samia karibu pesa yote ya Wizara ya ujenzi imelipa madeni ya wakandarasi..

Mwaka huu ndio pengine barabara zitaanza kujengwa kwa angalau Kwa speed ya awali.
wazee wa porojo
 
Ni wapuuzi, unadhani kinachojenga ni pesa au maneno?

Huyo Mwendazake wenu alijenga km chache Sana za barabara na kama mnazijua zilizokamilika nitajieni..

Mkoa niliko Mwendazake alikamilisha barabara moja tuu ambayo ilianza kujengwa miaka 10 iliyopita na bado Mkandarasi anadai..

Si bora hata Mama nimeona kuna ujenzi wa barabara 3 umeanza..

Mliacha kujenga barabara mnakomaa na mareli yasiyo na maana..

Pesa zikizoingia kwenye reli zingemaliza barabara Kwa 89% lakini zimezikwa zaidi ya til.15 na hata nusu hatujamaliza..

Hii ndio tatizo la kukosa mtu sahihi kwenye uongozi,kuacha huwezi lazima umalize hata kama ni tembo mweupe..

Mwisho kuna uzembe fulani kwa sababu kama ujenzi ulipanga km450 na zimejegwa 46% tuu ya barabara kuu ,kuna shida mahala.
Kwa ustawi wa uchumi, reli ni muhimu zaidi ya hizo barabara.
 
Miradi gani hiyo? Sasa kama alikuwa sekta ya Ujenzi tena Waziri akija kuzindua akiwa Rais utasemaje hajajenga yeye? Si yeye na wataalamu wake ndiyo wakipanga mpk bajeti ya barabara zipi wafanyie kazi? Hakuwa waziri wa mazingira yule na ndio maana nasema huwezi kuitenganisha mafanikio ya sekta ya ujenzi Tanzania na Magufuli.

Kila utakapogusa katika barabara kuna mkono wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri hajengi barabara wandugu. Waziri ni kiongozi tu. Maendeleo yote ni ya wananchi na kodi zao.
 
Legacy yake ilishafutika mkuu. Jina la huyu shetwani hutajwa pale tu mtu anapotaka kumlaani na kumtukana
Sio nyie mnaosema wanaompenda Magufuli wakazikwe nae huko chato? Sasa kama Magufuli anatajwa na wanaomlaani tu iweje Zitto apatwe na makasiriko ya kufikia kusema wanaompenda Magufuli wakazikwe nae?
 
Ni wapuuzi, unadhani kinachojenga ni pesa au maneno?

Huyo Mwendazake wenu alijenga km chache Sana za barabara na kama mnazijua zilizokamilika nitajieni..

Mkoa niliko Mwendazake alikamilisha barabara moja tuu ambayo ilianza kujengwa miaka 10 iliyopita na bado Mkandarasi anadai..

Si bora hata Mama nimeona kuna ujenzi wa barabara 3 umeanza..

Mliacha kujenga barabara mnakomaa na mareli yasiyo na maana..

Pesa zikizoingia kwenye reli zingemaliza barabara Kwa 89% lakini zimezikwa zaidi ya til.15 na hata nusu hatujamaliza..

Hii ndio tatizo la kukosa mtu sahihi kwenye uongozi,kuacha huwezi lazima umalize hata kama ni tembo mweupe..

Mwisho kuna uzembe fulani kwa sababu kama ujenzi ulipanga km450 na zimejegwa 46% tuu ya barabara kuu ,kuna shida mahala.
Uangalie usije ukalaaniwaa
 
Sio nyie mnaosema wanaompenda Magufuli wakazikwe nae huko chato? Sasa kama Magufuli anatajwa na wanaomlaani tu iweje Zitto apatwe na makasiriko ya kufikia kusema wanaompenda Magufuli wakazikwe nae?
Yaelekea mmegoma kuzikwa naye Chato
 
Ukisema neno JPM jua hapo unagusa Watanzania moja moja, Nachelea kusema huenda Wagombea wa 2025 wakatumia jina la JPM kuombea kura
 
Ni wapuuzi, unadhani kinachojenga ni pesa au maneno?

Huyo Mwendazake wenu alijenga km chache Sana za barabara na kama mnazijua zilizokamilika nitajieni..

Mkoa niliko Mwendazake alikamilisha barabara moja tuu ambayo ilianza kujengwa miaka 10 iliyopita na bado Mkandarasi anadai..

Si bora hata Mama nimeona kuna ujenzi wa barabara 3 umeanza..

Mliacha kujenga barabara mnakomaa na mareli yasiyo na maana..

Pesa zikizoingia kwenye reli zingemaliza barabara Kwa 89% lakini zimezikwa zaidi ya til.15 na hata nusu hatujamaliza..

Hii ndio tatizo la kukosa mtu sahihi kwenye uongozi,kuacha huwezi lazima umalize hata kama ni tembo mweupe..

Mwisho kuna uzembe fulani kwa sababu kama ujenzi ulipanga km450 na zimejegwa 46% tuu ya barabara kuu ,kuna shida mahala.
Mpumbavu kama wewe ni mtu ambaye hubisha hata jina lake
 
Ndio nimeumia mnoo maana mtu aliyevuruga mpango wa Ujenzi barabara alikuwa Magufuli..

Alihamisha bajeti ya barabara ikahamia kwenye reli na sgr,miaka 6 ya Magufuli kajenga chini ya km2,000 za lami wakati Tulikuwa tunajenga wastani WA km 2500-3000 kwa miaka 5..

Hao hata walie au wapige sarakasi hakuna kitakachobadilika kwa sababu pesa hazitoshi..

Hayo ndio matokeo ya kuwa na mtu asiye na akili.Binafsi ninakereka Sana na Mwendazake kwa sababu aliharibu mambo mengi mno..

Mfano mkoa wa Songwe alijenga km 50 tuu kwa miaka yote 6,Rukwa hata km 1 hakuna,Katavi ndio alijenga km 390 kwa sababu Waziri wa Ujenzi alikuwa wa huko ndio hiyo barabara Rais alizindua juzi..

Kigoma hakuna, barabara zimeanza kujengwa mwaka juzi baada ya mkopo wa

Yaani kiufupi hakuna Mkoa ambao barabara zilijengwa zaidi ya km 100 kwa miaka 6..Mwaka wa kwanza wa Samia karibu pesa yote ya Wizara ya ujenzi imelipa madeni ya wakandarasi..

Mwaka huu ndio pengine barabara zitaanza kujengwa kwa angalau Kwa speed ya awali.
Mkuu usilete chuki Zako binasfi kwa mwendazake, Mwaka 2017 nilikuwa Sumbawanga mjini Barabara ya pale Bank ya NMB kuelekea stand ya zamani kupandisha juu nimesahau jina la mtaa ilijengwa Tena zaidi ya kilomita 15. Barabara ya kuelekea wilaya ya Nkansi ilijengwa, Uwo ni Mkoa wa Rukwa sijui unamanisha Rukwa ya wapi unaposema hakujenga hata kilomita 1,
Tuje Morogoro Barabara ya Mikumi kwenda Ifakara ujenzi wake ulikuwa unaendelea kipind cha Mwendazake,sijajua kasi yake sasa ikoje maana sijaenda Ifakara mda yapita mwaka Sasa,
Kagera Barabara ya Muhutwe -- Kamachumu/Ndorage, Barabara ya mda mrefu Sana ikiwa ya vumbi, imejengwa kwa lami kipindi cha mwendazake, hayo ni maeneo ambayo nimekaa na kutembelea Mara kwa mara.
Sasa unaposema Magu ajajenga Barabara tunakuona Kama mnafiki wa kujikombakomba tu au mtu alieyetumwa kumponda hayati Magufuli.
 
Ni wapuuzi, unadhani kinachojenga ni pesa au maneno?

Huyo Mwendazake wenu alijenga km chache Sana za barabara na kama mnazijua zilizokamilika nitajieni..

Mkoa niliko Mwendazake alikamilisha barabara moja tuu ambayo ilianza kujengwa miaka 10 iliyopita na bado Mkandarasi anadai..

Si bora hata Mama nimeona kuna ujenzi wa barabara 3 umeanza..

Mliacha kujenga barabara mnakomaa na mareli yasiyo na maana..

Pesa zikizoingia kwenye reli zingemaliza barabara Kwa 89% lakini zimezikwa zaidi ya til.15 na hata nusu hatujamaliza..

Hii ndio tatizo la kukosa mtu sahihi kwenye uongozi,kuacha huwezi lazima umalize hata kama ni tembo mweupe..

Mwisho kuna uzembe fulani kwa sababu kama ujenzi ulipanga km450 na zimejegwa 46% tuu ya barabara kuu ,kuna shida mahala.
Mkuu wakati mwingine punguza chuki utakuja kuumwa madonda tumbo ufe kwa kansa ya utumbo. Majarida na watafiti nguli wote Duniani wanathihitisha Magufuli kama Rais wa Miundombinu wewe unabeza???? Anyway sawa mkuu hakufanya lolote
 
Mkuu usilete chuki Zako binasfi kwa mwendazake, Mwaka 2017 nilikuwa Sumbawanga mjini Barabara ya pale Bank ya NMB kuelekea stand ya zamani kupandisha juu nimesahau jina la mtaa ilijengwa Tena zaidi ya kilomita 15. Barabara ya kuelekea wilaya ya Nkansi ilijengwa, Uwo ni Mkoa wa Rukwa sijui unamanisha Rukwa ya wapi unaposema hakujenga hata kilomita 1,
Tuje Morogoro Barabara ya Mikumi kwenda Ifakara ujenzi wake ulikuwa unaendelea kipind cha Mwendazake,sijajua kasi yake sasa ikoje maana sijaenda Ifakara mda yapita mwaka Sasa,
Kagera Barabara ya Muhutwe -- Kamachumu/Ndorage, Barabara ya mda mrefu Sana ikiwa ya vumbi, imejengwa kwa lami kipindi cha mwendazake, hayo ni maeneo ambayo nimekaa na kutembelea Mara kwa mara.
Sasa unaposema Magu ajajenga Barabara tunakuona Kama mnafiki wa kujikombakomba tu au mtu alieyetumwa kumponda hayati Magufuli.
Chuki za nini wewe mjinga,watu wanazungumzia barabara kuu wewe unaleta hadithi za barabara za Tarura za mjini..za NMB...

Kwa hiyo wabunge wanalalamika barabara za Tarura au TanRoads?

Pili hoja kuu ni kupunguzwa kwa fedha za ujenzi wa barabara zikahamia kwenye reli..

Kama nilivyosema mwanzo ,Enzi za JK ujenzi wa barabara kuu ilikuwa wastani WA km 500-600 kwa mwaka ambapo kwa miaka 5 zilijengwa zaidi ya km 3,000 lakini toka Jiwe ameingia ujenzi ni chini ya km 400 kwa Mwaka na km 2,000 au chini Kwa miaka 5..

Shida iko hapo,afu Jiwe alikuwa halipi madeni ya wakandarasi..

Hata huko Tarura ilikuwa ni Kituko kila siku wabunge wanapiga kelele maana bajeti kiduchu lakini toka mama kaingia bajeti ya Tarura imetoka bil.272 hadi bil 802 ndio maana hakuna kelele saizi..

Hata huko TanRoads angalia bajeti ya mwaka juzi 2021 kurudi nyuma ni kidogo kuliko ya kuanzia 2021/22 na kuendelea toka mama Kaingia..

Hakuna chuki hapa ila ni facts,afu mimi Niko sekta ya Ujenzi naelewa nachoongea.Narudia tena hakuna barabara mpya ya TanRoads iliyoanzishwa na Jiwe Mkoa wa Rukwa,haipo..
 
Back
Top Bottom