Ujenzi barabara: Wabunge wamkumbuka Hayati Magufuli

Hata kama asingekuwa wa kanda ya ziwa! Anakariri maisha badala ya kujiuliza sababu ni nini za kusafirisha tani chache hizo? Ila kumbuka ni tani za kwenda nje ya nchi ila hajazungumzia mzunguko wa ndani mwanza na mikoa mingne ipi inachukua tani kubwa kutoka bandari kuu. Unaanzisha meli za mizigo kutoka mwanza kwenda uganda halafu unapinga uanzishaji wa reli. Huyo alosema alitaka ipite kwake kwenda burundi ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Kuhusu reli ni mataifa mengi ikiwemo usa, china na india.
Rubbish ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ..

Yule mjinga aliyekuwa Rais alikurupuka..

Kwa nini kigoma na SADC zitafirishwe Tani zaidi ya mil.1 na mil.3 mtawalipa? Hili ndio jibu la swali lako la kijinga..

Nafurahi kuona Sukuma gang haiwahusu watu wa Kagera.
 
Rubbish ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ..

Yule mjinga aliyekuwa Rais alikurupuka..

Kwa nini kigoma na SADC zitafirishwe Tani zaidi ya mil.1 na mil.3 mtawalipa? Hili ndio jibu la swali lako la kijinga..

Nafurahi kuona Sukuma gang haiwahusu watu wa Kagera.
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ huwez kuwa rais halafu uikwepe mwanza. Tutakuzingua maana ndo kitovu cha kanda ya ziwa, hata hao wahaya wamejaa mwanza ndo mabodaboda wa huko. Reli inajengwa hutaki meza sumu ukaonane na mwendazake.
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ huwez kuwa rais halafu uikwepe mwanza. Tutakuzingua maana ndo kitovu cha kanda ya ziwa, hata hao wahaya wamejaa mwanza ndo mabodaboda wa huko. Reli inajengwa hutaki meza sumu ukaonane na mwendazake.
Mwendazake baada ya kujua anaenda kaburini alikimbilia kuzindua mradi huko vinginevyo hakuna mtu mwenye akili timamu angepeleka sgr huko kulikojaa maskini..

Na msivyo na akili mnadhani labda sgr itabadili umaskini wenu,poleni Sana..
 
Tuzo yenyewe ya mwendazake. Leta miunfombinu aloanzisha na ikakamilika, kukaguliwa na AFDB na kuamua kupewa tuzo.
Wapi waliposema ni ya Mwendazake? Samia atashinda tuzo nyingi Sana..

Kwa mambo kama haya unategemea ataacha kupewa tuzo? ๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220524-205224.png
    Screenshot_20220524-205224.png
    68.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220524-204630.png
    Screenshot_20220524-204630.png
    110.2 KB · Views: 4
Mwendazake baada ya kujua anaenda kaburini alikimbilia kuzindua mradi huko vinginevyo hakuna mtu mwenye akili timamu angepeleka sgr huko kulikojaa maskini..

Na msivyo na akili mnadhani labda sgr itabadili umaskini wenu,poleni Sana..
Huyu ni wa Njombe anadai kanda ya ziwa kumejaa umaskini. Sijui kusini wasemeje ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mwanza ni jiji la biashara braza acha chuki. Mama mwenyewe had uchifu alikuja huku. Uongoze tz halafu uikwepe dar au mwanza?
 
J
Wapi waliposema ni ya Mwendazake? Samia atashinda tuzo nyingi Sana..

Kwa mambo kama haya unategemea ataacha kupewa tuzo? ๐Ÿ‘‡
Jibu swali, miundo mbinu gani alianzisha, imetekelezeka kiasi gani, AfDB waliikagua lini had kupata tuzo? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Huyu ni wa Njombe anadai kanda ya ziwa kumejaa umaskini. Sijui kusini wasemeje ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mwanza ni jiji la biashara braza acha chuki. Mama mwenyewe had uchifu alikuja huku. Uongoze tz halafu uikwepe dar au mwanza?
Mwanza iko miongoni mwa Mikoa 5 maskini hapa Tanzania na Mwaka huu wa ukame mtakufa na njaa kama kuku..

Njombe sio mkoa wa wavivi ,wajinga na maskini kama huko kwenu ๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220524-205318.png
    Screenshot_20220524-205318.png
    133.6 KB · Views: 4
J
Jibu swali, miundo mbinu gani alianzisha, imetekelezeka kiasi gani, AfDB waliikagua lini had kupata tuzo? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mingi Sana...amewesesha upatikanaji wa pesa za kujenga Dom Ring Road,Msalato Airport nk ..

Ikumbukwe Mwendazake alizindua ujenzi hewa wa hiyo miradi hapo juu ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†..

Alipokufa tuu AfDB wakaja na wakatoa pesa na wakahudhuria uzinduzi ndio maana wamempa tuzo maana yule jamaa alikuwa haaminiki..

Miradi mingine hii hapa ๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220524-205224.png
    Screenshot_20220524-205224.png
    68.6 KB · Views: 4
Mwendazake baada ya kujua anaenda kaburini alikimbilia kuzindua mradi huko vinginevyo hakuna mtu mwenye akili timamu angepeleka sgr huko kulikojaa maskini..

Na msivyo na akili mnadhani labda sgr itabadili umaskini wenu,poleni Sana..
We masikini wa makete unayetafunwa na UKIMWI kwa taarifa yako SGR Mwanza to Kahama kazindua Rais Samia wala sio Hayati Magufuli, kwa umuhimu wa Mwanza tangu aingie madarakani Rais Samia kaenda Mwanza mara 5 wakati huohuo hajawahi kutia mguu mavumbini kusini.
 
Mingi Sana...amewesesha upatikanaji wa pesa za kujenga Dom Ring Road,Msalato Airport nk ..

Ikumbukwe Mwendazake alizindua ujenzi hewa wa hiyo miradi hapo juu ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†..

Alipokufa tuu AfDB wakaja na wakatoa pesa na wakahudhuria uzinduzi ndio maana wamempa tuzo maana yule jamaa alikuwa haaminiki..

Miradi mingine hii hapa ๐Ÿ‘‡
Una shida mahala wewe.
 
Mwanza iko miongoni mwa Mikoa 5 maskini hapa Tanzania na Mwaka huu wa ukame mtakufa na njaa kama kuku..

Njombe sio mkoa wa wavivi ,wajinga na maskini kama huko kwenu ๐Ÿ‘‡
Uliwahi kuona wapi mkoa unaochangia pato zaidi kwa nchi ukawa ndiyo miongoni mwa mikoa masikini? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hii nchi wachumi ndo wale wanaosema hamia burundi.
 
Hivi una ukimwi kama watu wa njombe wanavyosifika au? Maana moja ya dalili ya UKIMWI ni hasira na chuki.
Ndio hivyo.
Uliwahi kuona wapi mkoa unaochangia pato zaidi kwa nchi ukawa ndiyo miongoni mwa mikoa masikini? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hii nchi wachumi ndo wale wanaosema hamia burundi.
Nimeona Tanzania,sio tuu umaskini bali kansa pia ๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220524-215651.png
    Screenshot_20220524-215651.png
    93.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220524-215551.png
    Screenshot_20220524-215551.png
    106.8 KB · Views: 5
We masikini wa makete unayetafunwa na UKIMWI kwa taarifa yako SGR Mwanza to Kahama kazindua Rais Samia wala sio Hayati Magufuli, kwa umuhimu wa Mwanza tangu aingie madarakani Rais Samia kaenda Mwanza mara 5 wakati huohuo hajawahi kutia mguu mavumbini kusini.
Mavumbi ya Kusini ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220522-164714.png
    Screenshot_20220522-164714.png
    220.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220402-230047.png
    Screenshot_20220402-230047.png
    160.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220329-162800.png
    Screenshot_20220329-162800.png
    226.1 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220329-160231.png
    Screenshot_20220329-160231.png
    239.1 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220327-201854.png
    Screenshot_20220327-201854.png
    228.8 KB · Views: 4
Mbeya zilipelekwa takribani bilioni 12.8 kwa ajili ya ujenzi wa Barabara na miongoni mwa barabara zilizotengenezwa ni pamoja na;

Barabara ya MUST inayopitia eneo la Viwandani TBL, PEPSI na COCACOLA yenye urefu wa km 2.76,

Barabara ya Sae โ€“Tanesco Kisanji 0.86, Barabara ya Legico mpaka Kanisa la KKT yenye urefu wa km 0.37,

Barabara ya Ilomba โ€“Ivumwe mpaka relini yenye urefu wa km1.87 na Barabara ya New Forest yenye urefu wa km 0.8.

Na sasa kuna mradi mkubwa wa barabara ya njia 4 kutoka pale Igawa kwenda tunduma.

Sasa wewe juha sijui utakua unaishi mbeya ipi? Kwa ufupi hakuna mkoa ambao haukupelekewa fedha za miradi ya miundombinu ni vipaumbele vya mkoa wenyewe hiyo miundombinu ianze kujengwa wapi?
We fala sana,
Unazungumzia mitaa ya mita mia moja au mia mbili?
Ongea trunk roads za kuunganisha sehemu za vijijini kwa walengwa.
Magufuli alijenga kilometa kwa mamia, lake zone halafu una compare na mita mia za mitaa kwa wahuni.

Hiyo double lane toka Igawa hadi Tunduma naona iko shimoni kule Chato, sisi hatujaiona.
 
Back
Top Bottom