Ujazo

πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ point yako nini Mzee

Toa jibu la swali kama unalijua mwalim Chief
Ili upate tani, ujazo wa tanki hilo unategemea na density ya hiyo liquid. A more dense liquid itachukua volume ndogo as opposed to a less dense liquid. Ndio maana ni muhimu kujua huyu anajaza liquid gani kwenye tank.

Volume Γ— density = weight
Given weight = 1,000 kg
Volume = 1000/density

Kutokana na post no 14, kama unajua density ya liquid na radius ya circular cylinder, waweza kukokotoa height ambayo ni kiasi gani waweza kujaza hiyo container ili ujazo uwe tani 1 excluding weight ya container.
 
πŸ‘ πŸ‘ πŸ‘ exactly
 
Wazee kwema naomba kujua fomula ya kupata ujazo katika tank kwa tani,
Ujazo wa
Acha uongo
 
Kujua uzito itategemea na density ya kitu husika unachopima, Lita Moja ya maziwa haina uzito sawa na Lita Moja ya maji.
 
Inategemea unataka kujaza nini. Kila kimiminika kina kitu tunaita density. Anzia hapo ndo utapata uhusiana wa ujazo na uzito
 
una complicate kitu kidogo, ndio maana kina fundi maiko wanawapiga bao na vidgirii vyenu
Topic density: Form One
Unatafuta tani za fluid gani?: H2O/PMS/AGO/JET/LUBE/H2SO4/HCL/Ethanol/Pombe.

Mass (Tan) = (1/1000) Γ— Density (Kg/m^3)Γ— pi r^2 h (m^3)
 
Masikitiko Yangu tu ni Babu Tale naye katunukiwa U dokta kama Mama?

Udokta Umekuwa rahisi Hivyo...!
Anastahili, ila ule wa Dokta Msukuma mbunge wa Geita vijijini ulizua mjadala sana. Ashukuru Dokta Taletale ametanguliwa na Dokta Samia (Rais) hatajadiliwa sana.

Wenzenu huko kama akina Profesa Obama wakishakuwa na cheo kikubwa na cha heshima kubwa nchini kwao kama cha Rais hawaongezi mbwembwe zingine tena kama Rais Profesa Obama. Utasikia tu wanaita Mr. President Obama, au his excelence president Obama.

Anyway, Huu ndio utratibu wa nchi zinazoendelea siku tutafika huko. Si ajabu kukuta mtu yupo na wamachinga anajitambulisha mimi naitwa Dokta Mkuyu. Sijui huo udaktari wake una mchango gani kwa wamachinga
 
pi r^2 h (m^3)
Kwani hii formula sikuweka,

Volume = Ο€r^2(Area) x h (heights),
Hayo mengine ni uliyongezea, yanahusu only kama anajaza kimiminika tofauti na maji, na sio muhimu kumuwekea kama ni mteja (layman) hatakuelewa na mifomula ya kishuleshule. akishapata Volume kwa mita au centimita za ujazo m^3/cm^3 inatosha kujua atageuzaje huo ujazo kulingana kimininika kipi kinahifadhiwa kwenye tanki.

Bora ungekuja na wazo jipya, sababu na wewe umerudii kulekule na formula ile ile niliyotoa, je kama tanki linalotumika ni mraba(square) au mstatili(rectangular)


 
Tulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…