NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
wakuu habari zenu,
Niliwahi kusikia kuwa kuna mimba za kupandikizwa(mimba za chupa)
kama kuna anaefahamu hospitali yoyote hapa nchini kuna teknolojia hiyo tafadhali mnijuze.
Natanguliza shukrani.
Niliwahi kusikia kuwa kuna mimba za kupandikizwa(mimba za chupa)
kama kuna anaefahamu hospitali yoyote hapa nchini kuna teknolojia hiyo tafadhali mnijuze.
Natanguliza shukrani.