Ujana wako ule na nani uzee tumalizie wote?

be unique

JF-Expert Member
Oct 12, 2016
2,374
2,273
Natumaini mpo salama,weekend najua imekwenda vizuri na tayari kwa kesho kuelekea katika mihangaiko ya kila siku.

Katika utafiti wangu mdogo wa hapa jf nimegundua asilimia kubwa na wanaume au wanawake wanaotafuta wapenzi umri wao ni kuanzia miaka 25 kwa wanawake na wanaume mpka miaka 30,kiuhalisia hawa ni watu wazima ina maana ujana wao walikuwa wapi?

Na kwa upande wangu mimi naona ni udhaifu mkubwa sana kutafuta mwanamke jf au hata katika mitandao ya kijamii na watu wengi wa namna hii uwa wana kasoro.

Kama wewe kweli umekamilika haiwezekani huko kazini, mtaani, na hata barabarani usipate mpenzi mpka utafute kwenye mitandao ya kijamii, Au ndugu zangu nyie mna mtazamo tofauti?

Nawasilisha.
 
naunga mkono hoja........

Weng wanotafta unakuta eti mara oh mm mweus, mara natafta mwny HIV, mara oh shemale

Hayo ni mapunguf ndo yanapelekea kutafta wapenz kwa social net ili mtu uuziwe mbuzi kwny gunia

[HASHTAG]#stepByStep[/HASHTAG]
 
naunga mkono hoja........

Weng wanotafta unakuta eti mara oh mm mweus, mara natafta mwny HIV, mara oh shemale

Hayo ni mapunguf ndo yanapelekea kutafta wapenz kwa social net ili mtu uuziwe mbuzi kwny gunia

[HASHTAG]#stepByStep[/HASHTAG]
Kweli,kama umekamilika ukitoka nje tu ya nyumba yenu miluzi inakuwa mingi kama ni mtoto wa kike.
 
Hao ni vijana halisi wala si wazee, wengi wao wanakuwa wametoka chuo wanatafuta ajira na wachumba kwa wakati mmoja. Nawatetea kwamba huo umri ni vijana, kwani wewe mtoa mada una umri gani?. Mpenzi anatafutwa mahali popote tu, kuna lecturer mmoja pale Moro alienda kununua changudoa baada ya kufika ndani akamlipa yule dada na hakufa tukio wakapiga stori tu na wakakubaliana kwenda nyumbani kwa mwanaume........yule lecturer hadi sasa wanaishi na yule dada, ndoa ilifungwa na shangwe tele hadharani......maisha yanaendelea mtoto kaacha tabia mbaya. Binti alikuwa 20 mwanaume alikuwa 36yrs, Mitandaoni kuna husband & wife materials, kadri imani yako ikuambiavyo!...acha watu watafutane aisee!!!
 
25-30 sio mzee

Labda iyo point yako ya udhaifu katika kutafuta wapenzi katika mitandao ya kijamii ndio ina ukweli
 
Chakushangaza ni kwamba.....
Hao hao tulio nao huku mitaani, kazini na vyuoni, ndio hawa hawa tulio nao humu Jf.
Kwa kifupi unapo elekeza maombi ya mawasiliano kule PM, ni sawa na kuomba mawasiliano ya namba ya simu kitaa, kazini au chuoni.
Hapo ndipo hasa wengi wanapo anzia hii mitongozano ya vijana wa kisasa.
Siku zile wakati wa ujana wetu, hapakua na haya mambo ya social media, simu, internet nk...... wakati huo tulikua tukiwavizia hawa viumbe hasa nyakati zao wakienda sokoni, visimani, wakitumwa dukani nk. Binafsi naona wakati ule mambo ya kuzozana yalikua rahisi kuliko siku hizi za leo
 
Kwanza hawana heshima kabisa ,Na kila mmoja ni mjuawaji,, mwanzoni nilizani ni kweli kumbe NI UJINGA TU
 
Ni mawazo mazuri,ila yangefaa sana kama yangetolewa mwishoni mwa miaka ya tisini!Dunia imebadilika kwa kasi sana.
 
Hao ni vijana halisi wala si wazee, wengi wao wanakuwa wametoka chuo wanatafuta ajira na wachumba kwa wakati mmoja. Nawatetea kwamba huo umri ni vijana, kwani wewe mtoa mada una umri gani?. Mpenzi anatafutwa mahali popote tu, kuna lecturer mmoja pale Moro alienda kununua changudoa baada ya kufika ndani akamlipa yule dada na hakufa tukio wakapiga stori tu na wakakubaliana kwenda nyumbani kwa mwanaume........yule lecturer hadi sasa wanaishi na yule dada, ndoa ilifungwa na shangwe tele hadharani......maisha yanaendelea mtoto kaacha tabia mbaya. Binti alikuwa 20 mwanaume alikuwa 36yrs, Mitandaoni kuna husband & wife materials, kadri imani yako ikuambiavyo!...acha watu watafutane aisee!!!
Kama kweli una kila sifa utapata huko unapoishi ila sio kwenye mitandao tena kwa kusema natafuta basi wewe una kasoro.
 
25-30 sio mzee

Labda iyo point yako ya udhaifu katika kutafuta wapenzi katika mitandao ya kijamii ndio ina ukweli
Miaka inaweza isiwe tatizo sana,ila tatizo kwanini iwe kwenye mtandao tena kwa kusema natafuta mpenzi.
 
Hao ni vijana halisi wala si wazee, wengi wao wanakuwa wametoka chuo wanatafuta ajira na wachumba kwa wakati mmoja. Nawatetea kwamba huo umri ni vijana, kwani wewe mtoa mada una umri gani?. Mpenzi anatafutwa mahali popote tu, kuna lecturer mmoja pale Moro alienda kununua changudoa baada ya kufika ndani akamlipa yule dada na hakufa tukio wakapiga stori tu na wakakubaliana kwenda nyumbani kwa mwanaume........yule lecturer hadi sasa wanaishi na yule dada, ndoa ilifungwa na shangwe tele hadharani......maisha yanaendelea mtoto kaacha tabia mbaya. Binti alikuwa 20 mwanaume alikuwa 36yrs, Mitandaoni kuna husband & wife materials, kadri imani yako ikuambiavyo!...acha watu watafutane aisee!!!
Ni wachache sana wanaoweza take hiyo risk.
 
Subiri Muda wako ufike, Ndiyo Utaelewa!
Tofautisha Mahusiano na Mambo mengine!
Bado hujatendwa!
Binafsi kuna watu tumekutana nao au tumefahamiana kupitia Mitandao, Watu ambao Mimi nimekuwa Muhimu kwao, Lakini wao wamekuwa Muhimu kwangu zaidi!
Relationship is not about Love only!
Kuna watu Vichwa humu wanaweza kukupa deal za kueleweka, wanaweza kukufungua kichwa kwa 100% and you wont regret.
Kuhusu swali lako sasa, Siyo kweli kwamba 25-30 ni Uzee, Kwa wadada wanaotaka kuolewa akijua mwanaume uko chini ya 30 hawezi kukudate kwa sababu anajua hutamwoa, kwanza ukiwa chini ya 30 Ukiongea tu wasichana wengi wanakujua na wanajua hauko serious, Kwa hiyo Jambo hili tusiliseme sana, Tuwe na Akiba!


“Don’t judge people, you never know what kind of battle they are fighting.”
 
Subiri Muda wako ufike, Ndiyo Utaelewa!
Tofautisha Mahusiano na Mambo mengine!
Bado hujatendwa!
Binafsi kuna watu tumekutana nao au tumefahamiana kupitia Mitandao, Watu ambao Mimi nimekuwa Muhimu kwao, Lakini wao wamekuwa Muhimu kwangu zaidi!
Relationship is not about Love only!
Kuna watu Vichwa humu wanaweza kukupa deal za kueleweka, wanaweza kukufungua kichwa kwa 100% and you wont regret.
Kuhusu swali lako sasa, Siyo kweli kwamba 25-30 ni Uzee, Kwa wadada wanaotaka kuolewa akijua mwanaume uko chini ya 30 hawezi kukudate kwa sababu anajua hutamwoa, kwanza ukiwa chini ya 30 Ukiongea tu wasichana wengi wanakujua na wanajua hauko serious, Kwa hiyo Jambo hili tusiliseme sana, Tuwe na Akiba!


“Don’t judge people, you never know what kind of battle they are fighting.”
Kwa mwanamke ni umri mkubwa huo.
 
mkuu hizi mambo acha tu na mimi nilikuja fasta km wengine kusaka ili nilipe kisasi niwe na wangu.



MUNGU akaninasa kibao nakuniambia rudi mtaani yeyote ndie lakini hadi sasa namuuliza hii dini nnayoikwepa ndo uliyonipangia? sielewi.

hivo usiwazarau au kuwaona waajabu jua kuna reason behind.
 
Kama kweli una kila sifa utapata huko unapoishi ila sio kwenye mitandao tena kwa kusema natafuta basi wewe una kasoro.
Kitu kizuri kinatafutwa. Hapa duniani ni kutafuta kila kitu, hakuna cha lelemama. Hata Roho Mtakatifu anatafutwa iwe hiyo mbona simpo!
 
Back
Top Bottom