Kulingana na habari nilizozipata.. nimetaarifiwa kwamba Ujambazi wa kuvamia nyumba za watu usiku wakiwa wamelala umerudi mjini..
Hii ni hatari kubwa sana kwa usalama wa wananchi ikiwa tunashindwa kabisa kukomesha Majambazi hasa wa kutumia silaha..
Jamani hii nchi yetu inakwenda wapi! Je, ni njaa au ndio ktk kutafuta njia rahisi za Utajiri..
Lini sheria itaweza kusimama na wananchi wake wawe wanyenyekevu kutii sheria zenyewe.
Hii ni hatari kubwa sana kwa usalama wa wananchi ikiwa tunashindwa kabisa kukomesha Majambazi hasa wa kutumia silaha..
Jamani hii nchi yetu inakwenda wapi! Je, ni njaa au ndio ktk kutafuta njia rahisi za Utajiri..
Lini sheria itaweza kusimama na wananchi wake wawe wanyenyekevu kutii sheria zenyewe.