M Mafie PM JF-Expert Member Joined Mar 19, 2011 Posts 1,317 Reaction score 207 May 21, 2011 #21 mwanapolo said: Hakuna tukio la ujambazi linalofanyika Arusha bila mkono wake! Click to expand... Mmetumwa au? Najua kuna mtu nyuma yenu hakika
mwanapolo said: Hakuna tukio la ujambazi linalofanyika Arusha bila mkono wake! Click to expand... Mmetumwa au? Najua kuna mtu nyuma yenu hakika
BelindaJacob Platinum Member Joined Nov 24, 2008 Posts 6,494 Reaction score 4,079 May 21, 2011 #22 Napapenda Arusha sana huo mkoa, tatizo ni usalama yani ukitembea unaogopa..kuuwawa watu ni kawaida, sijui ni biashara na visasi?!!....
Napapenda Arusha sana huo mkoa, tatizo ni usalama yani ukitembea unaogopa..kuuwawa watu ni kawaida, sijui ni biashara na visasi?!!....
M Mafie PM JF-Expert Member Joined Mar 19, 2011 Posts 1,317 Reaction score 207 May 21, 2011 #23 kobello said: mmeru huyo ni nani? Click to expand... Eti Justin Nyari diwani wa CCM Mirerani, wanamsingizia wallah! Si eti ee?
kobello said: mmeru huyo ni nani? Click to expand... Eti Justin Nyari diwani wa CCM Mirerani, wanamsingizia wallah! Si eti ee?