Ujambazi Kariakoo

Ujambazi Kariakoo

ndugu jaribu kuandika kiswahili fasaha. Acha kuharibu lugha yetu adhimu ya kiswahili la sivyo hamishia kule kwa wanafunzi
Sawa kbs mkuu maana mimi nimetumia nguvu nyingi sana kumwelewa huyu mleta mada, nilitaka kuacha maana niliona inanipotezea muda lkn nikajikaza mpaka nimemaliza kuisoma. Cha msingi, kama hawezi kuandika kiswahili fasaha arudi darasani kwani elimu haina mwisho
 
Kila cku matukio ya kiharifu yanatokea ktk nchi hii mfano miliko mbalimbali kwenye alaik, umwagiwaj wa tindikali kwa baadh ya wa2, ujambaz nk, punde 2 yanapotokea matukio km haya jeshi la polisi hujtokeza na kutangaza dau kwa atakayefanikisha kukamatwa kwa waharif hao, wakat wao ndo wenye jukumu na dhamana ya ulinz na usalama wa watu na mali zao, siping ya kuwa raia wa tz ana jukumu la kutoa taarifa kwa jesh la polis pale anapoona kuna viashiria ama tukio la kiarifu la hasha, swala linakuja hivi wanatumia vgezo pale mtu anapokuja kutoa taarifa kuwa fulan ni muhucka wa tukio fulan na huyo mtoa taarfa kupewa hlo donge nono, hatuoni hapa kutakuwa na mazngira ya kubambikiana kesi, kwa mfano mm ni A nina uhasama na B nina uwezo wa kwenda polisi na kusema B ndo alihucka kumwagia tindikali C, utackia "jesh la polis litatumia kitengo chake maalum ambacho kina wataalam waliobobea kumbain" kwa nn hawakutumha ktengo hicho hicho kumtambua na kumkamata? Jana 2 limetokea 2kio la ujambaz k/koo na tetesi znasema jesh la polis lmetangaza donge nono kwa atakayefanikisha kukamatwa kwa majambaka yale. Ndo 2seme uwezo wa jesh la polis ni kuzuia maandamano na mikusanyko 2 na sio majambaz? Naomba kuwaclisha

Bila shaka utakuwa hawa form four wa shule za kata na umemaliza mwaka jana hawa mlopata ziro wote
 
Jamani msimshambulie motto wetu huyu, hili ni jibu tosha kuwa Elimu ya Tanzania ni majanga (hapa ni kwa shule za serikali zaidi). Kwa hivyo waziri wa elimu fanya juhudi kuboresha elimu. Ni aibu hii kabisa.

Yaleyale,Motto ndo nini na wewe.
 
teh teh teh harafu mnasema kuwa serikali imewafelisha.
kwakweli inabidi wazazi tukazane sana kuokoa hiki kizazi yaani huyu ndio yupo mbioni kwenda chuo.tutegemee nini toka kwake?
 
Back
Top Bottom