Ujambazi Kariakoo

Ujambazi Kariakoo

chikawe

Member
Joined
Mar 16, 2013
Posts
70
Reaction score
9
Kila cku matukio ya kiharifu yanatokea ktk nchi hii mfano miliko mbalimbali kwenye alaik, umwagiwaj wa tindikali kwa baadh ya wa2, ujambaz nk, punde 2 yanapotokea matukio km haya jeshi la polisi hujtokeza na kutangaza dau kwa atakayefanikisha kukamatwa kwa waharif hao, wakat wao ndo wenye jukumu na dhamana ya ulinz na usalama wa watu na mali zao, siping ya kuwa raia wa tz ana jukumu la kutoa taarifa kwa jesh la polis pale anapoona kuna viashiria ama tukio la kiarifu la hasha, swala linakuja hivi wanatumia vgezo pale mtu anapokuja kutoa taarifa kuwa fulan ni muhucka wa tukio fulan na huyo mtoa taarfa kupewa hlo donge nono, hatuoni hapa kutakuwa na mazngira ya kubambikiana kesi, kwa mfano mm ni A nina uhasama na B nina uwezo wa kwenda polisi na kusema B ndo alihucka kumwagia tindikali C, utackia "jesh la polis litatumia kitengo chake maalum ambacho kina wataalam waliobobea kumbain" kwa nn hawakutumha ktengo hicho hicho kumtambua na kumkamata? Jana 2 limetokea 2kio la ujambaz k/koo na tetesi znasema jesh la polis lmetangaza donge nono kwa atakayefanikisha kukamatwa kwa majambaka yale. Ndo 2seme uwezo wa jesh la polis ni kuzuia maandamano na mikusanyko 2 na sio majambaz? Naomba kuwaclisha
 
Kila cku matukio ya kiharifu yanatokea ktk nchi hii mfano miliko mbalimbali kwenye alaik, umwagiwaj wa tindikali kwa baadh ya wa2, ujambaz nk, punde 2 yanapotokea matukio km haya jeshi la polisi hujtokeza na kutangaza dau kwa atakayefanikisha kukamatwa kwa waharif hao, wakat wao ndo wenye jukumu na dhamana ya ulinz na usalama wa watu na mali zao, siping ya kuwa raia wa tz ana jukumu la kutoa taarifa kwa jesh la polis pale anapoona kuna viashiria ama tukio la kiarifu la hasha, swala linakuja hivi wanatumia vgezo pale mtu anapokuja kutoa taarifa kuwa fulan ni muhucka wa tukio fulan na huyo mtoa taarfa kupewa hlo donge nono, hatuoni hapa kutakuwa na mazngira ya kubambikiana kesi, kwa mfano mm ni A nina uhasama na B nina uwezo wa kwenda polisi na kusema B ndo alihucka kumwagia tindikali C, utackia "jesh la polis litatumia kitengo chake maalum ambacho kina wataalam waliobobea kumbain" kwa nn hawakutumha ktengo hicho hicho kumtambua na kumkamata? Jana 2 limetokea 2kio la ujambaz k/koo na tetesi znasema jesh la polis lmetangaza donge nono kwa atakayefanikisha kukamatwa kwa majambaka yale. Ndo 2seme uwezo wa jesh la polis ni kuzuia maandamano na mikusanyko 2 na sio majambaz? Naomba kuwaclisha

ndugu jaribu kuandika kiswahili fasaha. Acha kuharibu lugha yetu adhimu ya kiswahili la sivyo hamishia kule kwa wanafunzi
 
We dogo ujue kuna watu wazima humu ambao wapo sawa na baba yako na mama yako. Acha kuandika lugha za kihuni humu kwa kudhani wote ni rika lako.
 
Ahsante , ila siku nyingine nyoosha maneno kwa ufasaha , humu ndani sio kwa mchezo . Ila umeeleweka kwa ufupi tu polisi wamehusika kwenye hilo dili huyu kova usimwamini hata kidogo.
 
Kila cku matukio ya kiharifu yanatokea ktk nchi hii mfano miliko mbalimbali kwenye alaik, umwagiwaj wa tindikali kwa baadh ya wa2, ujambaz nk, punde 2 yanapotokea matukio km haya jeshi la polisi hujtokeza na kutangaza dau kwa atakayefanikisha kukamatwa kwa waharif hao, wakat wao ndo wenye jukumu na dhamana ya ulinz na usalama wa watu na mali zao, siping ya kuwa raia wa tz ana jukumu la kutoa taarifa kwa jesh la polis pale anapoona kuna viashiria ama tukio la kiarifu la hasha, swala linakuja hivi wanatumia vgezo pale mtu anapokuja kutoa taarifa kuwa fulan ni muhucka wa tukio fulan na huyo mtoa taarfa kupewa hlo donge nono, hatuoni hapa kutakuwa na mazngira ya kubambikiana kesi, kwa mfano mm ni A nina uhasama na B nina uwezo wa kwenda polisi na kusema B ndo alihucka kumwagia tindikali C, utackia "jesh la polis litatumia kitengo chake maalum ambacho kina wataalam waliobobea kumbain" kwa nn hawakutumha ktengo hicho hicho kumtambua na kumkamata? Jana 2 limetokea 2kio la ujambaz k/koo na tetesi znasema jesh la polis lmetangaza donge nono kwa atakayefanikisha kukamatwa kwa majambaka yale. Ndo 2seme uwezo wa jesh la polis ni kuzuia maandamano na mikusanyko 2 na sio majambaz? Naomba kuwaclisha
Duuuh naona wakati unaandika uzi huu ulikuwa unakimbia risasi za hao majambaka nini?
 
Kila cku matukio ya kiharifu yanatokea ktk nchi hii mfano miliko mbalimbali kwenye alaik, umwagiwaj wa tindikali kwa baadh ya wa2, ujambaz nk, punde 2 yanapotokea matukio km haya jeshi la polisi hujtokeza na kutangaza dau kwa atakayefanikisha kukamatwa kwa waharif hao, wakat wao ndo wenye jukumu na dhamana ya ulinz na usalama wa watu na mali zao, siping ya kuwa raia wa tz ana jukumu la kutoa taarifa kwa jesh la polis pale anapoona kuna viashiria ama tukio la kiarifu la hasha, swala linakuja hivi wanatumia vgezo pale mtu anapokuja kutoa taarifa kuwa fulan ni muhucka wa tukio fulan na huyo mtoa taarfa kupewa hlo donge nono, hatuoni hapa kutakuwa na mazngira ya kubambikiana kesi, kwa mfano mm ni A nina uhasama na B nina uwezo wa kwenda polisi na kusema B ndo alihucka kumwagia tindikali C, utackia "jesh la polis litatumia kitengo chake maalum ambacho kina wataalam waliobobea kumbain" kwa nn hawakutumha ktengo hicho hicho kumtambua na kumkamata? Jana 2 limetokea 2kio la ujambaz k/koo na tetesi znasema jesh la polis lmetangaza donge nono kwa atakayefanikisha kukamatwa kwa majambaka yale. Ndo 2seme uwezo wa jesh la polis ni kuzuia maandamano na mikusanyko 2 na sio majambaz? Naomba kuwaclisha

Mmh! Usilete usela nnyaa huku kuna watu wazima nyoosha lugha kijana
 
Hii ndo aina gani ya uandishi make nimeshindwa kusoma na kuelewa kabisa,dogo si bora hata ukaandika kigogo sasa kama lugha ya Taifa kidogo inakusumbua.
 
Hahaha
Mkuu naona nikutaje wewe alaf tupie izo ela alaf ukitoka Jela tunagawana mkwanja..!!!
Ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hii ndo aina gani ya uandishi make nimeshindwa kusoma na kuelewa kabisa,dogo si bora hata ukaandika kigogo sasa kama lugha ya Taifa kidogo inakusumbua.

Hapo ujaelewa nini..!!!???
Kwani umeambiwa tunashindana kuandika humu..!!
Haina haja ya wewe kuchangia kama ujamuelewa mkuu..!
 
Kila cku matukio ya kiharifu yanatokea ktk nchi hii mfano miliko mbalimbali kwenye alaik, umwagiwaj wa tindikali kwa baadh ya wa2, ujambaz nk, punde 2 yanapotokea matukio km haya jeshi la polisi hujtokeza na kutangaza dau kwa atakayefanikisha kukamatwa kwa waharif hao, wakat wao ndo wenye jukumu na dhamana ya ulinz na usalama wa watu na mali zao, siping ya kuwa raia wa tz ana jukumu la kutoa taarifa kwa jesh la polis pale anapoona kuna viashiria ama tukio la kiarifu la hasha, swala linakuja hivi wanatumia vgezo pale mtu anapokuja kutoa taarifa kuwa fulan ni muhucka wa tukio fulan na huyo mtoa taarfa kupewa hlo donge nono, hatuoni hapa kutakuwa na mazngira ya kubambikiana kesi, kwa mfano mm ni A nina uhasama na B nina uwezo wa kwenda polisi na kusema B ndo alihucka kumwagia tindikali C, utackia "jesh la polis litatumia kitengo chake maalum ambacho kina wataalam waliobobea kumbain" kwa nn hawakutumha ktengo hicho hicho kumtambua na kumkamata? Jana 2 limetokea 2kio la ujambaz k/koo na tetesi znasema jesh la polis lmetangaza donge nono kwa atakayefanikisha kukamatwa kwa majambaka yale. Ndo 2seme uwezo wa jesh la polis ni kuzuia maandamano na mikusanyko 2 na sio majambaz? Naomba kuwaclisha

This' so cool.
 
Kichwa cha Mada ni kizuri lakini haisomeki, hebu jaribu kurekebisha hiyo lugha angalu watu wachangie vitu vya maana....Hebu angalia sasa michango yote ni kwenye lugha maana haieleweki
 
Jamani msimshambulie motto wetu huyu, hili ni jibu tosha kuwa Elimu ya Tanzania ni majanga (hapa ni kwa shule za serikali zaidi). Kwa hivyo waziri wa elimu fanya juhudi kuboresha elimu. Ni aibu hii kabisa.
 
Back
Top Bottom