Nakfa
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,977
- 14,398
Huyo ndio mother of all nations sasa.Anataka kununua ugomvi huyo tushamjua, anatafuta gear ya kuingilia.
Umesahau alikutawala hapahapa miaka mingi na ulishindwa kumtoa hadi akaamua mwenyewe kuondoka?
.
Wahindi hawana hamu nae, Hong Kong wameanza kumtaka tena soon atarudi