BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
| ||
|
| ||
|
Mkuu BAK.......... heshima mbele..........hivi ulitegemea JK ajipige "risasi" mwenyewe?.......si umeona kule kwa Prof Mahalu!...mambo yalivyokwenda......au unataka uambiweje.......kuwa "Vyombo vyetu vya sheria vinafanya kazi nzuri sana"!
Utawala bora wa awamu ya nne ndio huu. Ndani ya bunge jamaa wameula. CCM kweli kiboko.
Rais wa nchi anapoamua kuwadanganya Wananchi wake ili awakingie kifua mafisadi wenzake basi hakuna sababu ya yeye kuendelea kuwepo madarakani. Dr Slaa hakukosea alipotoa kauli kwenye kampeni za uchaguzi wa Taifa 2010 kwamba "kumchagua" Kikwete katika uchaguzi ule ni "Janga la Taifa."
Ndio matatizo ya kuwa na Rais fisadi ambaye siku zote hukimbia majukumu yake na kushindwa kufuata utawala wa sheria na hivyo kushindwa kutetea maslahi ya nchi.
Haya wameumbuka!!
Ni vigumu kutegemea maamuzi ya aina ulioitaja kutoka kwa viongozi wa Tanzania. Uwajibikaji sio utamaduni wao. Kilichobaki kwetu ni kuwaumbua "shame them" mpaka mwisho.Rais wa nchi anapoamua kuwadanganya Wananchi wake ili awakingie kifua mafisadi wenzake basi hakuna sababu ya yeye kuendelea kuwepo madarakani. Dr Slaa hakukosea alipotoa kauli kwenye kampeni za uchaguzi wa Taifa 2010 kwamba "kumchagua" Kikwete katika uchaguzi ule ni "Janga la Taifa."