Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Uholanzi na Japan zimesema zitachukua hatua stahiki kuhakikisha Usalama wa Strait of Hormuz

Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Uholanzi na Japan zimesema zitachukua hatua stahiki kuhakikisha Usalama wa Strait of Hormuz

Ozon

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2024
Posts
2,366
Reaction score
3,687
Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Uholanzi na Japani zimesema zitachukua hatua za kuimarisha utulivu wa masoko ya nishati, na ziko tayari kushiriki katika “juhudi stahiki” ili kuhakikisha usalama wa upitishaji katika Mlango wa Hormuz.
 
1000372443.jpg
 
Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Uholanzi na Japani zimesema zitachukua hatua za kuimarisha utulivu wa masoko ya nishati, na ziko tayari kushiriki katika “juhudi stahiki” ili kuhakikisha usalama wa upitishaji katika Mlango wa Hormuz.
Kwahiyo unafurahia hizo nchi zote kwenda kupambana na nchi 1 baada ya US na Israel kushindwa kutia pua yao kwenye mlango?

Kweli ukiwa na nguvu unaweza kufanya lolote na bado ukaogopeka. Hongera Iran kwa kutembeza kichapo mpaka wanaitana robo ya dunia nzima waje kukuchangia.
 
Kwahiyo unafurahia hizo nchi zote kwenda kupambana na nchi 1 baada ya US na Israel kushindwa kutia pua yako kwenye mlango?

Kweli ukiwa na nguvu unaweza kufanya lolote na bado ukaogopeka. Hongera Iran kwa kutembeza kichapo mpaka wanaitana robo ya dunia nzima waje kukuchangia.
Kushindwa ndo kitu gani hiko?
 
Itoshe kusema kwamba kwa sasa Iran imejikuta ikikabiliwa na shinikizo kubwa kutoka Marekani na washirika wake, na kuna uwezekano wa kushuhudia hali inayoweza kufanana na ile iliyotokea Libya.
Una akili ndogo. Kwanini usifikirie kuwa hizo nchi zimedhamiria kuweka juhudi katika dipromasia?
Kwanza tuliza akili yako vizuri, kisha ujibu swali, je, kabla ya Iran kushambuliwa kulikuwa na jitihada za kidiplomasia au la? Na unadhani ni kwa nini hadi sasa hakuna diplomasia ya moja kwa moja kati ya Iran, Marekani na Israel? Au unafikiri diplomasia ni neno la kusema tu, halafu ghafla vita inaisha?
Marekani na Iran walikuwa na mazungumzo (hasa kuhusu nyuklia) lakini yalikwama kwa sababu ya kutokubaliana masharti

Iran ilitaka mazungumzo yawe kwenye nyuklia tu, Marekani ilitaka yaongeze pia masuala ya makombora na ushawishi wa kikanda

Mazungumzo yaliyopangwa hata yalifutwa baada ya mashambulizi ya Israel

Iran ikaona mazungumzo hayana maana wakati mashambulizi yanaendelea.

Usitegemee diplomasia hapo mpaka Islamic regime itakapoanguka.
 
Wah
Kwahiyo unafurahia hizo nchi zote kwenda kupambana na nchi 1 baada ya US na Israel kushindwa kutia pua yako kwenye mlango?

Kweli ukiwa na nguvu unaweza kufanya lolote na bado ukaogopeka. Hongera Iran kwa kutembeza kichapo mpaka wanaitana robo ya dunia nzima waje kukuchangia.
Vyovyote iwavyo, hoja ya msingi hapa ni amani ya kudumu Mashariki ya Kati haitapatikana hadi pale utawala wa Kiislamu wa Iran utakapodhoofishwa au kuondolewa kabisa.
 
Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Uholanzi na Japani zimesema zitachukua hatua za kuimarisha utulivu wa masoko ya nishati, na ziko tayari kushiriki katika “juhudi stahiki” ili kuhakikisha usalama wa upitishaji katika Mlango wa Hormuz.
Chapaa kabisaaa
 
Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Uholanzi na Japani zimesema zitachukua hatua za kuimarisha utulivu wa masoko ya nishati, na ziko tayari kushiriki katika “juhudi stahiki” ili kuhakikisha usalama wa upitishaji katika Mlango wa Hormuz.
Mbona umeleta habari nusu nusu!
 
Wah

Vyovyote iwavyo, hoja ya msingi hapa ni amani ya kudumu Mashariki ya Kati haitapatikana hadi pale utawala wa Kiislamu wa Iran utakapodhoofishwa au kuondolewa kabisa.
Waliojaribu kuidhoofisha Iran toka mwaka 1979, kwa kuwawekea vikwazo vikali vya silaha na uchumi, wameshindwa hata kusogeza pua zao kufungua mlango bahari wa Straight Hormuz. Ndo utaweza wewe myahudi wa kalamabenge Kongo, usiejua hata kwenda na maji chooni!!

Kabla ya kuota ndoto ya kuidhoofisha Iran ambayo mashoga wa dunia US na Israel wameshindwa kuidhoofisha, ungeanza kwanza kufikiria kuidhoofisha Israel iliyopeleka silaha, askari na jeshi kule Afrika Kusini kushirikiana na makaburu kuwauwa waafrika wenzetu waliokuwa wanapigania uhuru wao, nchi yao na haki zao.

Kitendo cha kupeleka silaha na jeshi kule Afrika Kusini ili kwenda kupambana na raia wasiokuwa na silaha, tena wanaopigania uhuru wao katika ardhi yao, hakina tofauti na kile wanachofanya huko Palestina kwa kuendelea kuwauwa kina mama, na watoto wasiokuwa na hatia yoyote katika nchi yao.

I hope Hitler aliwajua vizuri hawa mashetani, ndio maana aliamua kuwaangamiza.

Unaweza kutumia akili yako kutafakari ni kwanini Hitler hakupanga kuwauwa wahindi, wachina, waarab, waafrika nk.
 
Waliojaribu kuidhoofisha Iran toka mwaka 1979, kwa kuwawekea vikwazo vikali vya silaha na uchumi, wameshindwa hata kusogeza pua zao kufungua mlango bahari wa Straight Hormuz. Ndo utaweza wewe myahudi wa kalamabenge Kongo, usiejua hata kwenda na maji chooni!!

Kabla ya kuota ndoto ya kuidhoofisha Iran ambayo mashoga wa dunia US na Israel wameshindwa kuidhoofisha, ungeanza kwanza kufikiria kuidhoofisha Israel iliyopeleka silaha, askari na jeshi kule Afrika Kusini kushirikiana na makaburu kuwauwa waafrika wenzetu waliokuwa wanapigania uhuru wao, nchi yao na haki zao.

Kitendo cha kupeleka silaha na jeshi kule Afrika Kusini ili kwenda kupambana na raia wasiokuwa na silaha, tena wanaopigania uhuru wao katika ardhi yao, hakina tofauti na kile wanachofanya huko Palestina kwa kuendelea kuwauwa kina mama, na watoto wasiokuwa na hatia yoyote katika nchi yao.

I hope Hitler aliwajua vizuri hawa mashetani, ndio maana aliamua kuwaangamiza.

Unaweza kutumia akili yako kutafakari ni kwanini Hitler hakupanga kuwauwa wahindi, wachina, waarab, waafrika nk.
Fanya research vizuri kuhusiana na chimbuko la antisemitism Ulaya.

Usiniletee story zako za vijiwe vya kahawa na madrasa.

Fool.
 
Fanya research vizuri kuhusiana na chimbuko la antisemitism Ulaya.

Usiniletee story zako za vijiwe vya kahawa na madrasa.

Fool.
Research unatakiwa ufanye wewe, halaf uilete hapa ili watu wenye akili timamu tukufunze kile usichoelewa. Dunia ya leo sio ile ya mtu kuja kuhadithia vile alivyofunzwa na padri wake huko mazabahuni kimya kimya.

Mbwa hawa wamezoea kuishi kupitia damu za watu. So kama walivyoshindwa kuwamaliza waafrika wenzetu kule Afrika Kusini, na ndo jinsi watakavyoendelea kushindwa na maeneo mengine pia kenge wakubwa hawa.
 
Itoshe kusema kwamba kwa sasa Iran imejikuta ikikabiliwa na shinikizo kubwa kutoka Marekani na washirika wake, na kuna uwezekano wa kushuhudia hali inayoweza kufanana na ile iliyotokea Libya.
Kwq hiyo ninwazi Marekani Supapawa peke yake kazidiwa ujanja na Iran.
Kwa hiyo Sasa ni rasmi kuaarekani peke yake Hana lolote wala chochote.
Kwa hiyo ni kweli Marekani ni supapawa wa mchongo yaani paper tiger 🐅.
Kwa hiyo Marekani bila nyukilia ni sifuri,sifuri maana yake hamna kitu.
 
Kwahiyo unafurahia hizo nchi zote kwenda kupambana na nchi 1 baada ya US na Israel kushindwa kutia pua yao kwenye mlango?

Kweli ukiwa na nguvu unaweza kufanya lolote na bado ukaogopeka. Hongera Iran kwa kutembeza kichapo mpaka wanaitana robo ya dunia nzima waje kukuchangia.
Hii ni aibu kwa kweli,aibu naona mimi
 
Back
Top Bottom