mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,912
- 5,255
Wakiambiwa waruhusu na ushoga wao wananunaaa,lini waliona uchaguzi wao unafanyika vifaru vikiwa mlangoni?.sikutegemea kipya sanaa baada ya kukubali ule uteuzi.kaongea point sana lakini alipofikia hapo kwa kusema ati hawana katiba nikamdharau na kumshusha, kwani lazima mambo yao tuyafate, na sie tuna mambo yetu lazima yafatwe na yaheshimiwe, haina ulazima wa kufata yao kisa hawana katiba
Na lengo la magu ni kudharirisha ma professor na Dr wote walio kua na midomo mirefuu,tutafika mahali vijana wetu hawataona umuhimu wowote wa u professor/Dr.hapo wazungu wataporudi tena kutufundisha.